Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Wabunge wa CCM tuliopitisha Mkataba wa Uwekezaji Bandarini tuko vizuri kichwani,pale Bungeni kuna wabunge wa CCM wako vizuri kichwani,mimi mwenyewe nimemaliza chuo mzumbe wakaning'ang'ania nibaki kufundisha pale kwa sababu nina akili nyingi, nilipata GPA ya juu sana, kwa hiyo hatukupitisha mkataba bila kuusoma, na tusingezeweza kupitisha mkataba usio na maslahi kwa nchi yetu" Mbunge wa jimbo Singida Magharibi"
View attachment 2685296
Toa Maoni yako
🤣🤣Hakuwahi kuwa na akili huyu!
PhD za kujikomba na uchawa nasikia.
Hakuwahi kuwa na akili huyu!
PhD za kujikomba na uchawa nasikia.
Sawasawa 👍Hakuna mtu mwenye akili nchi hii Kama Chenge, personal experience, ila utashi wake, kitu kingine.
Uitaji CPA au Udaktari kujua kwamba 1x3 maana yake ni namna ya kutumia dawa kutwa.
Elimu kwenye mambo yaliyo wazi kusoma kirahisi haina maana yeyote ya kujivuna, rubbish
Hana hata kidogoKwa hio hana akili
✍️
Aha mwambie tena hana nini?Hana hata kidogo
Fanya kazi usinichosheAha mwambie tena hana nini?
Haya mtag kwanza basiFanya kazi usinichoshe