Elibariki Kingu: Wabunge wa CCM tuko vizuri kichwani, tusingezeweza kupitisha mkataba usio na maslahi kwa nchi yetu

Wabunge wote wa ccm ni wajinga mbumbumbu na wapumbavu.
 


Hakuna mtu mwenye akili nchi hii Kama Chenge, personal experience, ila utashi wake, kitu kingine.

Uitaji CPA au Udaktari kujua kwamba 1x3 maana yake ni namna ya kutumia dawa kutwa.

Elimu kwenye mambo yaliyo wazi kusoma kirahisi haina maana yeyote ya kujivuna, rubbish
 
Mpuuzi aendelee kuhonga Ma Range kwa Ma-Slay queen kina Irene.
 
Hakuwahi kuwa na akili huyu!
PhD za kujikomba na uchawa nasikia.
Sawasawa 👍
 
Angekuwa na akili asingesema wamepitisha mkataba angesema wamepitisha Makubaliano... kwangu mimi hata siendelei kumjadili huyu keshaonesha upumbavu na muongo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…