Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Kuna taarifa kuwa boss wa AS Vita Club amemvutia waya Engineer Hersi kumweleza kuwa mchezaji Elie Mpanzu (wabongo wananwita Elia) amerudi Congo na hajafanikiwa kusajiliwa Belgium.
Boss huyo ambaye ni askari jeshi amesema kuwa mchezaji huyo yuko tayari kuja Yanga endapo atapata nafasi na ameonesha kuvutiwa na project ya Yanga.
Inasemekana Engineer ameomba atoe majibu kesho kabla ya saa 5 asubuhi ili apate muda wa kuuliza benchi la ufundi kama kuna haja ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji na endapo benchi litasema kuna uhutaji basi atatua kabla ya weekend ya kesho kutwa.
Boss huyo ambaye ni askari jeshi amesema kuwa mchezaji huyo yuko tayari kuja Yanga endapo atapata nafasi na ameonesha kuvutiwa na project ya Yanga.
Inasemekana Engineer ameomba atoe majibu kesho kabla ya saa 5 asubuhi ili apate muda wa kuuliza benchi la ufundi kama kuna haja ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji na endapo benchi litasema kuna uhutaji basi atatua kabla ya weekend ya kesho kutwa.