Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawaaa!Sihesabu nawasifia au nimekosea kiwasifia. Kwani hiyo bil saba si ya timu au ni mtu binafsi........?
Mchukueni Makolokolo atawafaa zaidi, msitupangie wababe wenu "Yanga SC"Sijui kwa nini Musonda mnamchukulia poa. Ni mmoja wa wachezaji ninaowakubali pale utopoloni
Hapana ninyi umbwa Makolokolo ndiyo mupo serious, huoni usajili wa bonge la striker toka Mamelodi Sundowns 2024 kimya kimya?Musonda mkataba wake unaisha Dec kwahiyo Uto wakitaka, hawawezi kushindwa kuvunja mkataba uliobaki miezi 4, hata kama kwa mkopo kama ilivyo kawaida yao. Hawa Umbwa wapo serious wakati wengine tumebaki na porojo tu!
MusondaHalafu wanakata na kuondoaa jina la mchezaji gani mgeni ?
Kama tetesi zina ukweli basi Musonda anaweza kuchomolewa, maana ukiangalia kwa washambuliaji wa pembeni na wa lati yeye sio chaguo la kwanza wala la piliHalafu wanakata na kuondoaa jina la mchezaji gani mgeni ?
Muamala tayari, 10000 wakala makaveli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 we jamaaa! Acha utani bhana,
Unajua nimeumia mbavu chief kwa kucheka eeeh!- 🤣🤣🤣😅😅🤣🤣
Sikubali aisee
Itabidi unilpe, siwezi umia kiasi hiki mkuu, nilipe tafadhari, tuma malipo kwa no hii, 0626.... jina mpella
Mkuu sikubali aisee 🤣🤣🤣🤣🤣
Wakala wa mpanzu anawarusha roho makolo hapo,sidhani kama Yanga wa uhitaji wa mpanzuHalafu wanakata na kuondoaa jina la mchezaji gani mgeni ?
Yanga angemtaka Mpanzu siku nyingi maana DRC kwao kule na pale As Vita wamefanya nao biashara na wana kocha aliyewahi kuwafundisha Raol ShunguWakala wa mpanzu anawarusha roho makolo hapo,sidhani kama Yanga wa uhitaji wa mpanzu
Siamini kama Yanga inamtaka MpanzuKama tetesi zina ukweli basi Musonda anaweza kuchomolewa, maana ukiangalia kwa washambuliaji wa pembeni na wa lati yeye sio chaguo la kwanza wala la pili
Chama anaenda Vita Kwa mkopoHalafu wanakata na kuondoaa jina la mchezaji gani mgeni ?
Hahahahaha Vita haiwezi kuwa na Chama kwa sasa ,pia Vita sidhani kama wataweza lipa mshahara wa chama ,maana timu za DRC zina kiwango fulani cha mishaharaChama anaenda Vita Kwa mkopo
Yote kwa yote., ikitokea uhitaji wa kuongeza mchezaji wa kigeni basi Musonda ndie atapewa thank youSiamini kama Yanga inamtaka Mpanzu
Hahahahaha kwa sidhani ila dirisha dogo huko kubaki Musonda ni ngumuYote kwa yote., ikitokea uhitaji wa kuongeza mchezaji wa kigeni basi Musonda ndie atapewa thank you