GEORGE NDATWA
New Member
- Dec 13, 2023
- 2
- 2
Hongera Kwa maombi yako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Kwa maombi yako!
Elimu bure ni upumbavu...Ni miezi sasa takriban mitatu. Tangu Septemba hadi Desemba 2023, Serikali haijatuma fedha za ruzuku shuleni bila maelezo yoyote jambo ambalo limezua mjadala katika utekelezaji wa ebm kwa mujibu wa waraka wa elimu kama ulivyotolewa na Serikali.
Jambo hili linapelekea Walimu viongozi kuanza kupendekeza michango mbalimbali kutoka kwa Wanafunzi na wazazi! Serikali iweke wazi utekelezaji wa mradi huj ili kutowachonganisha walimu na wazazi/wananchi huko shuleni.
=== ===== =====
Serikali haijatuingizia pesa za Elimu Bure kwenye Shule, tunatumia fedha zetu za mifukoni kuendesha Taasisi
Tuna miezi miwili Oktoba na Novemba Serikali haijaingiza pesa za Elimu Bure yaani ‘CAPITATION’ na ‘POSHO YA MADARAKA’, hivyo inaleta ugumu katika utekelezaji wa majukumu ya kishule.
Badala ya kuhudumia familia zetu tunatumia mshahara kuendeshea shule kitu ambacho sio sahihi na kinatuumiza kama Walimu pia ni aibu kwa Serikali, naomba hii ifike TAMISEMI watolee ufafanuzi au Serikali haina fedha?
===== ========
Naomba Serikali ikumbuke wajibu wake ilipe pesa za elimu bure za October na November sisi kama wakuu wa shule tunapata shida sana kutoka kwa wazabuni, kila mara tunapigiwa simu kudaiwa. Naomba serikal iwe inalipa pesa kwa wakati ili kutuondolea usumbufu huu au itoe tamko ni lini italipa kuliko kukaa kimyaa huu mwezi wa tatu unaenda bila malipo.
😂😂😂Hizo pesa za posho za wakuu wa shule zifutwe wanatunyanyasa Sana hao watu zifutwe in God's name.
📌📌📌Nyinyi Wakuu wa shule hata siwaonei huruma. Maana hizo laki 2 na laki 2 na nusu mnazopewa kila mwezi, zimewageuza tu kuwa wakuda dhidi ya walimu wenzenu.
Huyo huwa anachuki na walimu wenzake ndo maana nimemwambia wampe yeye alafu huwa anajifanya sio mwalimuHongera Kwa maombi yako!
True halafu tuangalie na vipaumbele piaHuduma za kijamii kama elimu, afya, usalama et. ni sehemu ya majukumu ya msingi ya serikali. Ndio huduma zinazotoa uhalali wa serikali kukusanya kodi.....
Labda tuangalie gharama za kutoa elimu bure vs mapato ya serikali.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah! Nawaonea huruma hao wafanyakazi wenu mlio waajiri kwenye hizo shule zenu za Kata, huku mkitegemea kuwalipa mishahara kwa kutumia hela za ruzuku!! Sijui wanaishije!!! Na huu msimu wa sikukuu ndiyo kabisaaa!! Ni maumivu tu.
Nyinyi Wakuu wa shule hata siwaonei huruma. Maana hizo laki 2 na laki 2 na nusu mnazopewa kila mwezi, zimewageuza tu kuwa wakuda dhidi ya walimu wenzenu.