Elimu bila malipo imekufa kimyakimya

Elimu bure ni upumbavu...
 
Nyinyi Wakuu wa shule hata siwaonei huruma. Maana hizo laki 2 na laki 2 na nusu mnazopewa kila mwezi, zimewageuza tu kuwa wakuda dhidi ya walimu wenzenu.
📌📌📌
Pinned...
🤣🤣🤣🤣
 
Huduma za kijamii kama elimu, afya, usalama et. ni sehemu ya majukumu ya msingi ya serikali. Ndio huduma zinazotoa uhalali wa serikali kukusanya kodi.....

Labda tuangalie gharama za kutoa elimu bure vs mapato ya serikali.....
True halafu tuangalie na vipaumbele pia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali ingeliweka wazi hili swala La Elimu Bila malipo Shule Zina struggle sana Wazabuni Wanaua Mitaji kwa Kuzikopesha shule Na Serikali haijali kuhusu hili wakati wa Magu haya hayakufanyika Dk Samia Kuna Watu wanakwamisha juhudi zake na yeye hajawashtukia

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Serikali ya wahuni lazima itafeli tu kwemye inshu za kuendesha nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…