KERO Elimu Bure ni nini? Je, ni sawa wazazi kuendelea kuchangishwa pesa za chakula, mpishi, usafi na mitihani ya kujipima?

KERO Elimu Bure ni nini? Je, ni sawa wazazi kuendelea kuchangishwa pesa za chakula, mpishi, usafi na mitihani ya kujipima?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wachange tu kuwalisha watoto wao,mbona majumbani wanawalisha tu
 
Ili swala lipo kisasa mno...Kwani watoto wa wao wanakwambia Elimu ni Bure wapo private wanalipa Ada kubwa mno... Kwa mwaka unakuta mtoto analipa 1.8 millioni alafu mtoto wa mpiga kura yupo anasomea shule za Elimu Bure...na mzazi akiamia achangie mchango kidgo wa Chakula, Remidial ....in return mtoto wa shule hiyo ya kata au hizo shule za Elimu Bure anamaliza miaka yake 7 au 4 na matokeo ya ya Daraja F...alafu hao waliokuwa wanalalamikia michango wanaanza kulaumu serikali .
Hivyo Elimu Bure inatengeneza kizazi tawaliwa na kizazi tawala( PRIVATE SCHOOLS).
Hivi tuongee ukweli Kuna mtoto wa Mbunge au mtoto wa makuu ya Mashirika anasomea hizi shule za Elimu Bure?
Wazazi wangejua wangekataa elimu bure.

Kwa maoni ya wengi... ada ingerejeshwa haraka sana.

Serikali na wazazi wamuombe radhi mwl kwa kumdhania anaposhika pesa anania ya kuifokoa...la Hassan walimu hutpa pesa mfukoni kuwasaidia watoto wenu.


Kuna mattukio mengi watoto kulegea na kuanguka lkn baadae akipewa chakula anaamka..wazaz muone aibu.. pesa ya kununua chakula mtoto aliyezimia anatoa mwl. Hemvu kuwen na heshima na mwl
 
Back
Top Bottom