ELIMU BURE

Mh! kwanza ilikuwa inatakiwa na afya wafanye bure tu!
 
Mkuu una jua usi waze kwa kufikiria nafsi yako tu, Kuna watu hata hela ya Panadol Ina washinda sembuse ada ndo wataweza?

hiyo elimu bure ime fanya hata wasio kuwa na uwezo, na wao wapeleke watoto shuleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…