Elimu: Hotel Desderia yatumika kufundishia Landscaping Ardhi University

Elimu: Hotel Desderia yatumika kufundishia Landscaping Ardhi University

Hiyo hotel vipi kama ingekuwa ya mtu wa ccm? Reaction ya nyumbu ingekuwaje?
Mpaka sasa hivi sred ingekuwa na peji 50 zinazosema bwana mkubwa kaharibu uchumi wa nchi! Umesahau 'sred' iliyohusu Hotel ya Ngurdoto kupokea wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu- Arusha?
 
Asante Boss. Kumbe sugu kiboko eeh
Sugu ana exposure, aliwahi kupitapita huko Marekani akiwa msanii kitambo.

Siko R chuga, iko day moko ntakufumania, rchuga raha madingi hawazeekagi mwana.
 
Yani landscaping yake imetengenezwa kitaalam sana ndo maaana wasomi wanakuja kujifunzia hapa practical.
Imetengenezwa na nani!? Kama huyo mchoraji bado yupo,wamchukuwe ndiyo akawe Mwalimu wao kabisa!!
 
Hotel ya kisasa ya nyota 3 ya Desderia iliyoko Jijini Mbeya imejiongezea majukumu yake baada ya sasa kuanza kutumika kwenye masomo ya Chuo Kikuu nchi Tanzania.

Pichani ni wasomi kutoka Ardhi University ya Dar es Salaam wakiwa na MD wa Hotel hiyo Mh Joseph Mbilinyi walipofika Hotelini hapo kujifunza Landscaping.


Nachukua nafasi hii kuwashawishi wasomi wote dunia nzima kuchangamkia fursa hii ya kujifunza kupitia ubunifu wa kiwango cha kimataifa kwenye Hotel hii.

Kingwangallah amefungua kiosk ya kuuza Maziwa ya mgando !!!!
 
Kuna siku sugu kasema alitumia hela jimbo kujengea hiyo Hoteli?
Mbona hakujenga miaka yote kabla hajawa Mbunge!? Tafakari kwa kina kabla hujanena Jambo la kiutuuzima Kama hilo!!
 
Back
Top Bottom