Hplp2275H
JF-Expert Member
- Jan 21, 2021
- 556
- 1,660
Usisahau SD Bioline Test kit mkuu.Itabidi nitafute pisi kali ,nikaibanjulie hapo 😀😀😀..
Safari njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau SD Bioline Test kit mkuu.Itabidi nitafute pisi kali ,nikaibanjulie hapo 😀😀😀..
Au zile expansion joint hostel za Magufuli!Majengo yamefanana na wadi ya Sewa Haji pale Muhimbili!
Asante Boss. Kumbe sugu kiboko eehYani landscaping yake imetengenezwa kitaalam sana ndo maaana wasomi wanakuja kujifunzia hapa practical.
😀😀😀 jamaa kiboko.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila anasbo hpo asiende
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mpaka sasa hivi sred ingekuwa na peji 50 zinazosema bwana mkubwa kaharibu uchumi wa nchi! Umesahau 'sred' iliyohusu Hotel ya Ngurdoto kupokea wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu- Arusha?Hiyo hotel vipi kama ingekuwa ya mtu wa ccm? Reaction ya nyumbu ingekuwaje?
Sugu ana exposure, aliwahi kupitapita huko Marekani akiwa msanii kitambo.Asante Boss. Kumbe sugu kiboko eeh
Imetengenezwa na nani!? Kama huyo mchoraji bado yupo,wamchukuwe ndiyo akawe Mwalimu wao kabisa!!Yani landscaping yake imetengenezwa kitaalam sana ndo maaana wasomi wanakuja kujifunzia hapa practical.
Kwani Sugu ndiyo ka design!?Asante Boss. Kumbe sugu kiboko eeh
Hotel ya kisasa ya nyota 3 ya Desderia iliyoko Jijini Mbeya imejiongezea majukumu yake baada ya sasa kuanza kutumika kwenye masomo ya Chuo Kikuu nchi Tanzania.
Pichani ni wasomi kutoka Ardhi University ya Dar es Salaam wakiwa na MD wa Hotel hiyo Mh Joseph Mbilinyi walipofika Hotelini hapo kujifunza Landscaping.
Nachukua nafasi hii kuwashawishi wasomi wote dunia nzima kuchangamkia fursa hii ya kujifunza kupitia ubunifu wa kiwango cha kimataifa kwenye Hotel hii.
We unayo?Majengo yamefanana na wadi ya Sewa Haji pale Muhimbili!
We unayo?Majengo yamefanana na wadi ya Sewa Haji pale Muhimbili!
Wivu wa kike ndi huuNi hostel yenye viwango!
Kitu pesa mzeeKwani Sugu ndiyo ka design!?
Kwa hiyo nae siku hizi katoka nje ya box🗃Kingwangallah amefungua kiosk ya kuuza Maziwa ya mgando !!!!
Pesa za Maendeleo ya Jimbo yeye zote Kenda kujengea Hoteli!! Mi nataka kujua designer wa huo mchoro wa hiyo Hoteli!!Kitu pesa mzee
KufaPesa za Maendeleo ya Jimbo yeye zote Kenda kujengea Hoteli!! Mi nataka kujua designer wa huo mchoro wa hiyo Hoteli!!
Mbona Kama una hasira sana!? Kulikoni!?Kufa
Kuna siku sugu kasema alitumia hela jimbo kujengea hiyo Hoteli?Mbona Kama una hasira sana!? Kulikoni!?
Mbona hakujenga miaka yote kabla hajawa Mbunge!? Tafakari kwa kina kabla hujanena Jambo la kiutuuzima Kama hilo!!Kuna siku sugu kasema alitumia hela jimbo kujengea hiyo Hoteli?
Jikate mzee, PoteaMbona hakujenga miaka yote kabla hajawa Mbunge!? Tafakari kwa kina kabla hujanena Jambo la kiutuuzima Kama hilo!!