avatar ya Kiumeni hiyo haina kuremba!!Hiyo avatar ya Huyo mwamba,hata Magu mwenyewe akiiona ataikana.
Hapo umeziirisha CDM ni Wapigaji wazuri! Sugu ndani ya miaka kumi tu ya Ubunge kapiga zaidi ya Magu ambae yuko Serekalini tangu 1995!!Anaona wivu maana ile ya boss wake Kule chattle haifikii desideria.
DAR!Wapi mkuu?,Dar ama nzega huku.
Haya bana,ila mateso unayotupa dah.avatar ya Kiumeni hiyo haina kuremba!!
Ni jambo jema,ila mwambie wateja huwa hawapigishwi kichurachura.DAR!
tunazungumzia nyota 3Mbona Sewa Haji haikupokea wasomi ?
Shukrani kwa Avatar muruwaNdiyo maana Wana Mbeya tumempiga chini Sugu, maana alizidi kutupiga pesa zetu!!
Asante sana Mkuu karibu sana tuko pamoja!!Shukrani kwa Avatar muruwa
Una dhambi wewe c bure hahahahaMajengo yamefanana na wadi ya Sewa Haji pale Muhimbili!
Inaonekana hii ni rangi pendwaAu zile expansion joint hostel za Magufuli!