Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Umeandika jambo la maana Sana hili..........my take: tubadili mtazamo wa kudhani kuwa na rasiimali ndo ujanja bali kuwa na akili(elimu & technology), sio kuendekeza ujinga kila siku ooh! tuna mbuga tuna miti kwani nani hana, watu wanatunyanyasia akili au ujuzi.......