Elimu ipo chuo chochote, uzito upo UDSM: Wanapewa kipaumbele kwenye ajira, maofisini asilimia kubwa ya vyeo vizito ni zao la UDSM

Elimu ipo chuo chochote, uzito upo UDSM: Wanapewa kipaumbele kwenye ajira, maofisini asilimia kubwa ya vyeo vizito ni zao la UDSM

Bado ushamba wa vyuo haujauacha tu? Wengi wenu mnakuwaga choka mbaya hamna cha kulingishia zaidi ya chuo ulichosoma
Umeshakunywa chai? Nitolee hasira na gubu zako, km hukusoma chuo alichokisema OP, hilo ni lako halinihusu. Poleeeeee
Mxxxiiiiieeeeew [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni.

Baada ya kumaliza chuo kama huna connection, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele kwenye ajira ? chuo ulichosoma kimejaza watu kwenye nafasi za juu wanaoweza kukupigia debe kwenye usaili upate ajira kisa mmesoma chuo kimoja ?

Kiufupi niseme kama ni kuiva tu, wanafunzi wa vyuo kibao wameiva, mfano mdogo nikiulizwa chuo kipi kizuri kwa sayansi, sipepesi macho ntasema ni DIT ama MUST lakini ukiniomba ushauri kwa maisha baada ya chuo kwenye advantage ya ajira, sipepesi macho nitakwambia nenda UDSM, Ni kweli kuna tatizo la ajira na wapo wahitimu wa udsm tunawaona mitaani wakipigwa jua lakini overall udsm wana nafuu.

Sitaki kuongea sana twendeni kwa facts, kwa leo tuanze na sekta ya benki tuangalie NMB na CRDB.

NMB

Ruth Zaipuna - CHIEF EXECUTIVE OFFICER
Bachelor of Commerce in Corporate Finance - University of Dar es Salaam.

Alfred Shao - CHIEF WHOLESALE BANKING
Bachelor of Commerce in Corporate Finance - University of Dar es Salaam.


Ezekiel Herman - CHIEF COMPLIANCE OFFICER
Bachelor of Commerce in Accounting) - University of Dar es Salaam

Filbert Mponzi - CHIEF RETAIL BANKING
Bachelor of Commerce in Accounting - University of Dar es Salaam

Aziz Chacha - TREASURER
Manchester Business School of the University of Manchester, United Kingdom

Doreen Joseph - CHIEF RISK OFFICER
Bachelor’s Degree in Commerce and Management - University of Dar es Salaam

Nenyuata Mejooli - CHIEF SHARED SERVICES
Bachelor of Science in Electronics - Bangalore University (India)

Kwame Makundi - CHIEF TECHNOLOGY AND DIGITAL TRANSFORMATION
Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology - University of Dar es Salaam

Emmanuel Akonaay - CHIEF HUMAN RESOURCES OFFICER
Bachelor of Arts Degree - University of Dar es Salaam

Benedicto Baragomwa - CHIEF INTERNAL AUDIT
Bachelor’s Degree in Accounting & Finance - Mzumbe

Juma Kimori - CHIEF FINANCIAL OFFICER
Bachelor of Commerce in Accounting - University of Dar es Salaam

Nishad Jinah - ACTING CHIEF CREDIT OFFICER
Bachelor’s Degree in Banking and Finance - London School of Economics.





CRDB

Abdulmajid Mussa Nsekela - Group CEO and Managing Director
Advanced Diploma in Banking - Institute of Finance Management (IFM)

Bruce Mwile Mwasenga - Chief Operations Officer
Bachelor’s Degree of Commerce both in Finance - University of Dar es Salaam

Fredrick Bayona Nshekanabo - Chief Financial Officer
Advanced Diploma in Accountancy from the Institute of Finance Management (IFM)

Godfrey Rutasingwa - Director of Human Resources
Bachelor of Education degree - University of Dar es Salaam

Boma Raballa - Chief Commercial Officer
Bachelor of Business Administration (Accounting) from Kampala International University, Uganda.

Prosper Nambaya - Director of Corporate Banking
Bachelor of Arts (B.A.), Economics - University of Dar es Salaam

Leo Ndimbo - Director of Business Transformation
Computer Engineering from New Horizons University

Godfrey Sigalla - Director of Internal Audit
Bachelor of Commerce in Accountancy - University of Dar es Salaam

John Baptist Rugambo - Company Secretary
Bachelor in International Business Administration - United States International University of Africa, Nairobi.

Alexander Samson Ngusaru - Director of Treasury
Bachelor of Commerce in Finance - University of Dar es Salaam.

Bonaventura Paul - Director of Retail Banking
Advanced Diploma in Accounting - Institute of Accountancy Arusha

Tully Esther Mwambapa - Director of Corporate Affairs and Public Relations
Bachelor of Arts in Public Administration & International Relations - University of Dar es Salaam.

Pendason Philemon - Director of Procurement
Procurement and Supply Chain Management - Tanzania Institute Accountancy (TIA)

Xavery Makwi - Director of Credit
Bachelor of Commerce in Accountancy - University of Dar es Salaam

Deusdedit Massuka - Director of Information Communication Technology
Bachelor of Science degree in Automation - Saint Petersburg State Technical University, Russia.

James Isaack Mabula - Director of Risk and Compliance
Advanced Diploma in Certified Accountancy -Mzumbe University
Sema hao wote waliingia kwenye soko la ajira kipindi gani........tupe hali ya kwa sasa
 
Ni hivi umeshindwa kuelewa generation iliyopo kwenye senior position kwasasa ni zao la miaka ipi, senior position nyingi kwasasa tuna umri 40+ hawa enzi zetu tulikuwa na udsm, sua na mzumbe kwahio automatically lazima utukute ktk nafas nyingi za juu... Ila haina maana udsm tuna ubora sana ktk elimu, baada ya miaka 10 senior position zote utawakuta sasa waliosoma kule udom n.k...
Ni kama ilivyo sasa ktk mziki zao la watu waliosoma chuo cha P.Funk na Master J karibia wote hawapo tena ktk soko la mziki, wameingia zao la chuo cha akina S2Kizz, Laizer n.k...
 
Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni.

Baada ya kumaliza chuo kama huna connection, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele kwenye ajira ? chuo ulichosoma kimejaza watu kwenye nafasi za juu wanaoweza kukupigia debe kwenye usaili upate ajira kisa mmesoma chuo kimoja ?

Kiufupi niseme kama ni kuiva tu, wanafunzi wa vyuo kibao wameiva, mfano mdogo nikiulizwa chuo kipi kizuri kwa sayansi, sipepesi macho ntasema ni DIT ama MUST lakini ukiniomba ushauri kwa maisha baada ya chuo kwenye advantage ya ajira, sipepesi macho nitakwambia nenda UDSM, Ni kweli kuna tatizo la ajira na wapo wahitimu wa udsm tunawaona mitaani wakipigwa jua lakini overall udsm wana nafuu.

Sitaki kuongea sana twendeni kwa facts, kwa leo tuanze na sekta ya benki tuangalie NMB na CRDB.

NMB

Ruth Zaipuna - CHIEF EXECUTIVE OFFICER
Bachelor of Commerce in Corporate Finance - University of Dar es Salaam.

Alfred Shao - CHIEF WHOLESALE BANKING
Bachelor of Commerce in Corporate Finance - University of Dar es Salaam.


Ezekiel Herman - CHIEF COMPLIANCE OFFICER
Bachelor of Commerce in Accounting) - University of Dar es Salaam

Filbert Mponzi - CHIEF RETAIL BANKING
Bachelor of Commerce in Accounting - University of Dar es Salaam

Aziz Chacha - TREASURER
Manchester Business School of the University of Manchester, United Kingdom

Doreen Joseph - CHIEF RISK OFFICER
Bachelor’s Degree in Commerce and Management - University of Dar es Salaam

Nenyuata Mejooli - CHIEF SHARED SERVICES
Bachelor of Science in Electronics - Bangalore University (India)

Kwame Makundi - CHIEF TECHNOLOGY AND DIGITAL TRANSFORMATION
Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology - University of Dar es Salaam

Emmanuel Akonaay - CHIEF HUMAN RESOURCES OFFICER
Bachelor of Arts Degree - University of Dar es Salaam

Benedicto Baragomwa - CHIEF INTERNAL AUDIT
Bachelor’s Degree in Accounting & Finance - Mzumbe

Juma Kimori - CHIEF FINANCIAL OFFICER
Bachelor of Commerce in Accounting - University of Dar es Salaam

Nishad Jinah - ACTING CHIEF CREDIT OFFICER
Bachelor’s Degree in Banking and Finance - London School of Economics.





CRDB

Abdulmajid Mussa Nsekela - Group CEO and Managing Director
Advanced Diploma in Banking - Institute of Finance Management (IFM)

Bruce Mwile Mwasenga - Chief Operations Officer
Bachelor’s Degree of Commerce both in Finance - University of Dar es Salaam

Fredrick Bayona Nshekanabo - Chief Financial Officer
Advanced Diploma in Accountancy from the Institute of Finance Management (IFM)

Godfrey Rutasingwa - Director of Human Resources
Bachelor of Education degree - University of Dar es Salaam

Boma Raballa - Chief Commercial Officer
Bachelor of Business Administration (Accounting) from Kampala International University, Uganda.

Prosper Nambaya - Director of Corporate Banking
Bachelor of Arts (B.A.), Economics - University of Dar es Salaam

Leo Ndimbo - Director of Business Transformation
Computer Engineering from New Horizons University

Godfrey Sigalla - Director of Internal Audit
Bachelor of Commerce in Accountancy - University of Dar es Salaam

John Baptist Rugambo - Company Secretary
Bachelor in International Business Administration - United States International University of Africa, Nairobi.

Alexander Samson Ngusaru - Director of Treasury
Bachelor of Commerce in Finance - University of Dar es Salaam.

Bonaventura Paul - Director of Retail Banking
Advanced Diploma in Accounting - Institute of Accountancy Arusha

Tully Esther Mwambapa - Director of Corporate Affairs and Public Relations
Bachelor of Arts in Public Administration & International Relations - University of Dar es Salaam.

Pendason Philemon - Director of Procurement
Procurement and Supply Chain Management - Tanzania Institute Accountancy (TIA)

Xavery Makwi - Director of Credit
Bachelor of Commerce in Accountancy - University of Dar es Salaam

Deusdedit Massuka - Director of Information Communication Technology
Bachelor of Science degree in Automation - Saint Petersburg State Technical University, Russia.

James Isaack Mabula - Director of Risk and Compliance
Advanced Diploma in Certified Accountancy -Mzumbe University
Chuo flani hakiwezi ku define uhakika wa ajira fulani ...Bali ni how smart upo

Mfano Mimi nlipiga mzumbe ....but nna ajira safi sana .....lkn cocastic ni beki tatu wangu ingawa amegraduate udsm....coz nliona anambwela tu kitaaa....ila Kwa vilebkasomea mapishi pale Udsm....nikaona nmpe mkataba
 
Chuo flani hakiwezi ku define uhakika wa ajira fulani ...Bali ni how smart upo

Mfano Mimi nlipiga mzumbe ....but nna ajira safi sana .....lkn cocastic ni beki tatu wangu ingawa amegraduate udsm....coz nliona anambwela tu kitaaa....ila Kwa vilebkasomea mapishi pale Udsm....nikaona nmpe mkataba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan graduate wa UD awe beki 3 wa graduate wa Mzumbe? Wee ulisikia wapiii? Lini? Nani alisema?

Woiiiiiiiih
 
Huna network ya maana hujulikani kazi huna kataa usikatae, chuo ulichosoma kina ongeza value 10% hiyo ni kuanzia sekta binafsi na sekta ya umma, wachache sana wanajipambania 10% the rest 80% ya ajira ni za connection
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan graduate wa UD awe beki 3 wa graduate wa Mzumbe? Wee ulisikia wapiii? Lini? Nani alisema?

Woiiiiiiiih
Sema tu mkataba ni Siri .....ningekaweka hadharani kamakataba Kako ka ubeki tatu[emoji23][emoji23]
 
Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni.

Baada ya kumaliza chuo kama huna connection, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele kwenye ajira ? chuo ulichosoma kimejaza watu kwenye nafasi za juu wanaoweza kukupigia debe kwenye usaili upate ajira kisa mmesoma chuo kimoja ?

Kiufupi niseme kama ni kuiva tu, wanafunzi wa vyuo kibao wameiva, mfano mdogo nikiulizwa chuo kipi kizuri kwa sayansi, sipepesi macho ntasema ni DIT ama MUST lakini ukiniomba ushauri kwa maisha baada ya chuo kwenye advantage ya ajira, sipepesi macho nitakwambia nenda UDSM, Ni kweli kuna tatizo la ajira na wapo wahitimu wa udsm tunawaona mitaani wakipigwa jua lakini overall udsm wana nafuu.

Sitaki kuongea sana twendeni kwa facts, kwa leo tuanze na sekta ya benki tuangalie NMB na CRDB.

NMB

Ruth Zaipuna - CHIEF EXECUTIVE OFFICER
Bachelor of Commerce in Corporate Finance - University of Dar es Salaam.

Alfred Shao - CHIEF WHOLESALE BANKING
Bachelor of Commerce in Corporate Finance - University of Dar es Salaam.


Ezekiel Herman - CHIEF COMPLIANCE OFFICER
Bachelor of Commerce in Accounting) - University of Dar es Salaam

Filbert Mponzi - CHIEF RETAIL BANKING
Bachelor of Commerce in Accounting - University of Dar es Salaam

Aziz Chacha - TREASURER
Manchester Business School of the University of Manchester, United Kingdom

Doreen Joseph - CHIEF RISK OFFICER
Bachelor’s Degree in Commerce and Management - University of Dar es Salaam

Nenyuata Mejooli - CHIEF SHARED SERVICES
Bachelor of Science in Electronics - Bangalore University (India)

Kwame Makundi - CHIEF TECHNOLOGY AND DIGITAL TRANSFORMATION
Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology - University of Dar es Salaam

Emmanuel Akonaay - CHIEF HUMAN RESOURCES OFFICER
Bachelor of Arts Degree - University of Dar es Salaam

Benedicto Baragomwa - CHIEF INTERNAL AUDIT
Bachelor’s Degree in Accounting & Finance - Mzumbe

Juma Kimori - CHIEF FINANCIAL OFFICER
Bachelor of Commerce in Accounting - University of Dar es Salaam

Nishad Jinah - ACTING CHIEF CREDIT OFFICER
Bachelor’s Degree in Banking and Finance - London School of Economics.





CRDB

Abdulmajid Mussa Nsekela - Group CEO and Managing Director
Advanced Diploma in Banking - Institute of Finance Management (IFM)

Bruce Mwile Mwasenga - Chief Operations Officer
Bachelor’s Degree of Commerce both in Finance - University of Dar es Salaam

Fredrick Bayona Nshekanabo - Chief Financial Officer
Advanced Diploma in Accountancy from the Institute of Finance Management (IFM)

Godfrey Rutasingwa - Director of Human Resources
Bachelor of Education degree - University of Dar es Salaam

Boma Raballa - Chief Commercial Officer
Bachelor of Business Administration (Accounting) from Kampala International University, Uganda.

Prosper Nambaya - Director of Corporate Banking
Bachelor of Arts (B.A.), Economics - University of Dar es Salaam

Leo Ndimbo - Director of Business Transformation
Computer Engineering from New Horizons University

Godfrey Sigalla - Director of Internal Audit
Bachelor of Commerce in Accountancy - University of Dar es Salaam

John Baptist Rugambo - Company Secretary
Bachelor in International Business Administration - United States International University of Africa, Nairobi.

Alexander Samson Ngusaru - Director of Treasury
Bachelor of Commerce in Finance - University of Dar es Salaam.

Bonaventura Paul - Director of Retail Banking
Advanced Diploma in Accounting - Institute of Accountancy Arusha

Tully Esther Mwambapa - Director of Corporate Affairs and Public Relations
Bachelor of Arts in Public Administration & International Relations - University of Dar es Salaam.

Pendason Philemon - Director of Procurement
Procurement and Supply Chain Management - Tanzania Institute Accountancy (TIA)

Xavery Makwi - Director of Credit
Bachelor of Commerce in Accountancy - University of Dar es Salaam

Deusdedit Massuka - Director of Information Communication Technology
Bachelor of Science degree in Automation - Saint Petersburg State Technical University, Russia.

James Isaack Mabula - Director of Risk and Compliance
Advanced Diploma in Certified Accountancy -Mzumbe University
Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni.

Baada ya kumaliza chuo kama huna connection, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele kwenye ajira ? chuo ulichosoma kimejaza watu kwenye nafasi za juu wanaoweza kukupigia debe kwenye usaili upate ajira kisa mmesoma chuo kimoja ?

Kiufupi niseme kama ni kuiva tu, wanafunzi wa vyuo kibao wameiva, mfano mdogo nikiulizwa chuo kipi kizuri kwa sayansi, sipepesi macho ntasema ni DIT ama MUST lakini ukiniomba ushauri kwa maisha baada ya chuo kwenye advantage ya ajira, sipepesi macho nitakwambia nenda UDSM, Ni kweli kuna tatizo la ajira na wapo wahitimu wa udsm tunawaona mitaani wakipigwa jua lakini overall udsm wana nafuu.

Sitaki kuongea sana twendeni kwa facts, kwa leo tuanze na sekta ya benki tuangalie NMB na CRDB.

NMB

Ruth Zaipuna - CHIEF EXECUTIVE OFFICER
Bachelor of Commerce in Corporate Finance - University of Dar es Salaam.

Alfred Shao - CHIEF WHOLESALE BANKING
Bachelor of Commerce in Corporate Finance - University of Dar es Salaam.


Ezekiel Herman - CHIEF COMPLIANCE OFFICER
Bachelor of Commerce in Accounting) - University of Dar es Salaam

Filbert Mponzi - CHIEF RETAIL BANKING
Bachelor of Commerce in Accounting - University of Dar es Salaam

Aziz Chacha - TREASURER
Manchester Business School of the University of Manchester, United Kingdom

Doreen Joseph - CHIEF RISK OFFICER
Bachelor’s Degree in Commerce and Management - University of Dar es Salaam

Nenyuata Mejooli - CHIEF SHARED SERVICES
Bachelor of Science in Electronics - Bangalore University (India)

Kwame Makundi - CHIEF TECHNOLOGY AND DIGITAL TRANSFORMATION
Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology - University of Dar es Salaam

Emmanuel Akonaay - CHIEF HUMAN RESOURCES OFFICER
Bachelor of Arts Degree - University of Dar es Salaam

Benedicto Baragomwa - CHIEF INTERNAL AUDIT
Bachelor’s Degree in Accounting & Finance - Mzumbe

Juma Kimori - CHIEF FINANCIAL OFFICER
Bachelor of Commerce in Accounting - University of Dar es Salaam

Nishad Jinah - ACTING CHIEF CREDIT OFFICER
Bachelor’s Degree in Banking and Finance - London School of Economics.





CRDB

Abdulmajid Mussa Nsekela - Group CEO and Managing Director
Advanced Diploma in Banking - Institute of Finance Management (IFM)

Bruce Mwile Mwasenga - Chief Operations Officer
Bachelor’s Degree of Commerce both in Finance - University of Dar es Salaam

Fredrick Bayona Nshekanabo - Chief Financial Officer
Advanced Diploma in Accountancy from the Institute of Finance Management (IFM)

Godfrey Rutasingwa - Director of Human Resources
Bachelor of Education degree - University of Dar es Salaam

Boma Raballa - Chief Commercial Officer
Bachelor of Business Administration (Accounting) from Kampala International University, Uganda.

Prosper Nambaya - Director of Corporate Banking
Bachelor of Arts (B.A.), Economics - University of Dar es Salaam

Leo Ndimbo - Director of Business Transformation
Computer Engineering from New Horizons University

Godfrey Sigalla - Director of Internal Audit
Bachelor of Commerce in Accountancy - University of Dar es Salaam

John Baptist Rugambo - Company Secretary
Bachelor in International Business Administration - United States International University of Africa, Nairobi.

Alexander Samson Ngusaru - Director of Treasury
Bachelor of Commerce in Finance - University of Dar es Salaam.

Bonaventura Paul - Director of Retail Banking
Advanced Diploma in Accounting - Institute of Accountancy Arusha

Tully Esther Mwambapa - Director of Corporate Affairs and Public Relations
Bachelor of Arts in Public Administration & International Relations - University of Dar es Salaam.

Pendason Philemon - Director of Procurement
Procurement and Supply Chain Management - Tanzania Institute Accountancy (TIA)

Xavery Makwi - Director of Credit
Bachelor of Commerce in Accountancy - University of Dar es Salaam

Deusdedit Massuka - Director of Information Communication Technology
Bachelor of Science degree in Automation - Saint Petersburg State Technical University, Russia.

James Isaack Mabula - Director of Risk and Compliance
Advanced Diploma in Certified Accountancy -Mzumbe University
Endelea kujidanganya
 
Umeshakunywa chai? Nitolee hasira na gubu zako, km hukusoma chuo alichokisema OP, hilo ni lako halinihusu. Poleeeeee
Mxxxiiiiieeeeew [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnakuwaga choka mbaya😂😂😂 afu ukoo mzima wewe ndio msomi lazima kaushamba kawepo

Afu uliza kozi aliyosoma sasa😂😂😂
 
Mnakuwaga choka mbaya[emoji23][emoji23][emoji23] afu ukoo mzima wewe ndio msomi lazima kaushamba kawepo

Afu uliza kozi aliyosoma sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km hukusoma UDSM poleee, hasira peleka kwa prospectus ya UD, ambayo ilikukataa kuwa Hu qualify kuwa palee.

Hiloo ni lakoooo, utavavaaa na utahanyaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km hukusoma UDSM poleee, hasira peleka kwa prospectus ya UD, ambayo ilikukataa kuwa Hu qualify kuwa palee.

Hiloo ni lakoooo, utavavaaa na utahanyaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama UDSM yenyewe inatoa product kama zako nashkuru Sijapita hapo mkuu

au mkuu ulisoma kozi gani pale?😂😂😂

Mi binafsi ni telecommunications engineering
 
Hao ulioorodhesha wamesoma enzi hakuna vyuo vikuu vingi. Tegemeo lilikuwa UDSM peke yake. Ila kwa sasa mchezo umebadilika. Hata wa vyuo vingine wanapata kazi sawa na wa UDSM kama wako vizuri. Hao wa UDSM kinachowabeba pia wengi wao walikuwa vipanga form IV na VI kwahiyo mwajiri lazima atashawishika kumcheki wa UDSM kwanza.
 
Back
Top Bottom