Si lazima usome Mastazi km performance yako Undergraduate ni mbovu. Utaishia kulia lia tu. Pia kuna wengine wanasoma ili kupumzika kutokana na stress za kaziKuna watu Wana masters lakini ukimwangalia unaona kweli masters ni usenge
Umeongea pointSi lazima usome Mastazi km performance yako Undergraduate ni mbovu. Utaishia kulia lia tu. Pia kuna wengine wanasoma ili kupumzika kutokana na stress za kazi
Shida yetu tumekalili kila anaesoma Masters lazima awe na maisha makali huo ni mtazamo mfu kabisa
Hata kada zingine wanalipa mwisho degree, tamisemi hawalipi masters wala PhD, au sikuhizi wamebadilisha?Kama unafanya kazi chini ya ofisi ya Rais TAMISEMI ngazi za chini hususani Ualimu harafu ukapata Elimu kubwa ya juu hususani ngazi ya Masters au doctorate degree, unanielewa vizuri.
Ngazi ya Halmashauri idara ya Elimu hawazingatii mwalimu mwenye degrees mbili au tatu. Sababu ya maana haieleweki lkn husikika ikisemwa ngazi hiyo ya Elimu ni faida ya mwalimu.
Sasa nini hutokea ukiwa na Elimu hiyo; kwanza hutegemea hutakaa uendelee kufundisha, wanahisi na kuamini utaondoka. Katika mtazamo huo linaloibuka ni kuwa unaweza usifikiriwe kwa lolote kwa maana ya post ya nafasi ya uongozi hata ngazi ndogo tu kama U- headmaster na kujikuta vijana wadogo wanateuliwa na kuanza kuwaongoza wale wazoefu kazini na wenye elimu kubwa. Hali hii inafikirisha sana kwa nini maamuzi ya teuzi hizo kuwa hivyo. Lingine Kuna ishara za mtazamo hasi kutoka wa watumishi (kundi la waajiriwa) kwa watu /walimu wenye Elimu kubwa.
Mara nyingi wenye Elimu kubwa hutazamwa na kusemwa vibaya na watumishi wengine kwa vile wanafanya kazi Kama wanazofanya wenyewe. Katika hilo huwasema wasomi hao kuwa Elimu zao hazijawasaidia. Mitazamo yao wanataka ukiwa na Masters degree au doctorate degree ukakae TAMISEMI au Elimu au Wizara yoyote au kazi nyingine tofauti na kufundisha darasani.
Kiuhalisia kusoma degree ya pili au ya tatu harafu ukarudi kituoni kwako kufundisha ni changamoto sana. Kuna watu wanatamani uwezo wako wa Elimu usijulikana, Kuna watu wanataka usionekane wala kutoka. Na usiposhtuka waweza kuzeeka na kustaafu bila kuteuliwa na kupuuzwa tu.
Maana yake ni nini Elimu hiyo kwa mashuleni Kama vituo vya kazi na Halmashauri siyo sehemu sahihi ya kwenda au kupeleka masters na PhD huko. Kingine nilichokiona, Elimu ya juu nchini bado haipokelewi vzr ngazi za chini. Kuna mwamko na exposure ndogo huko. Ukisoma sana bado unaonekana threat kwa wengi. Hapo ndo utapingwa, kutengwa na kubaguliwa kwa mengi mazuri.
Hivyo kama ni mtumishi (mwalimu) na unatamani kupata Elimu hizo kubwa jiandae kwa stress, au ujiandae kabla hujaipata uwe umetafuta sehemu nyingine ya kwenda kufanya kazi lakini si kule chini kufundisha. Kuna changamoto sana.
Hivyo vifupi vyako umetuacha, hebu tupe tafsiri.Ukimaluza masters kwanza uwe chawa, pili andaa kibunda Cha kununua huo uHM na tatu uwe na connection.
Hakuna anayekuogopa Kwa kimastaz chako cha kuunga unga.
Ukishapewa uHM kuwa chawa Mkuu, ili uwe AEK. Ukiupata huo uAEK kuwa chawa Mkuu mwandamizi, Anza safari za Dodoma ili uteuliwe kuwa DAO/SLO.
Baada ya kuwa DAO/SLO endeleza uchawa mwandamizi daraja II, Anza kuwaroga na kuwapiga majungu maafisa elimu. Jipendekeze Kwa mbunge wa eneo lako na la ulikozaliwa ili upate connection Kwa wazito wa tamisemi. Ukipewa uDSEO au DEO ndipo unayaoatia maisha na kuifaidi masters Yako huku ukikunja LSEE2 3,400,000 yenye matupu ya nyumba, mavazi, mawasiliano nk.
Kama huwezi niliyokushauri usipoteze Hela kusoma ukitegemea muujiza eti utaonekana, never never!
Hivyo vifupi vyako umetuacha, hebu tupe tafsiri.
Wewe sio mtumishi wa halmshauri na wewe sio ticha. Hupaswi kujua bossHivyo vifupi vyako umetuacha, hebu tupe tafsiri.
Nakumbuka nilitakaga nifanye kazi chini ya mahakama najutia sana. Namshauri mtu ajiepushe na Tamisemi. Enzi za wizara ya Elimu maisha yalikuwa safi sana.Usipuuzwe. Una hoja.
Harafu ❌
Halafu ✅
Kujiendeleza kielimu kunatakiwa kuendane na malengo ya muhusika au Mwajiri wakoKama unafanya kazi chini ya ofisi ya Rais TAMISEMI ngazi za chini hususani Ualimu harafu ukapata Elimu kubwa ya juu hususani ngazi ya Masters au doctorate degree, unanielewa vizuri.
Ngazi ya Halmashauri idara ya Elimu hawazingatii mwalimu mwenye degrees mbili au tatu. Sababu ya maana haieleweki lkn husikika ikisemwa ngazi hiyo ya Elimu ni faida ya mwalimu.
Sasa nini hutokea ukiwa na Elimu hiyo; kwanza hutegemea hutakaa uendelee kufundisha, wanahisi na kuamini utaondoka. Katika mtazamo huo linaloibuka ni kuwa unaweza usifikiriwe kwa lolote kwa maana ya post ya nafasi ya uongozi hata ngazi ndogo tu kama U- headmaster na kujikuta vijana wadogo wanateuliwa na kuanza kuwaongoza wale wazoefu kazini na wenye elimu kubwa. Hali hii inafikirisha sana kwa nini maamuzi ya teuzi hizo kuwa hivyo. Lingine Kuna ishara za mtazamo hasi kutoka wa watumishi (kundi la waajiriwa) kwa watu /walimu wenye Elimu kubwa.
Mara nyingi wenye Elimu kubwa hutazamwa na kusemwa vibaya na watumishi wengine kwa vile wanafanya kazi Kama wanazofanya wenyewe. Katika hilo huwasema wasomi hao kuwa Elimu zao hazijawasaidia. Mitazamo yao wanataka ukiwa na Masters degree au doctorate degree ukakae TAMISEMI au Elimu au Wizara yoyote au kazi nyingine tofauti na kufundisha darasani.
Kiuhalisia kusoma degree ya pili au ya tatu harafu ukarudi kituoni kwako kufundisha ni changamoto sana. Kuna watu wanatamani uwezo wako wa Elimu usijulikana, Kuna watu wanataka usionekane wala kutoka. Na usiposhtuka waweza kuzeeka na kustaafu bila kuteuliwa na kupuuzwa tu.
Maana yake ni nini Elimu hiyo kwa mashuleni Kama vituo vya kazi na Halmashauri siyo sehemu sahihi ya kwenda au kupeleka masters na PhD huko. Kingine nilichokiona, Elimu ya juu nchini bado haipokelewi vzr ngazi za chini. Kuna mwamko na exposure ndogo huko. Ukisoma sana bado unaonekana threat kwa wengi. Hapo ndo utapingwa, kutengwa na kubaguliwa kwa mengi mazuri.
Hivyo kama ni mtumishi (mwalimu) na unatamani kupata Elimu hizo kubwa jiandae kwa stress, au ujiandae kabla hujaipata uwe umetafuta sehemu nyingine ya kwenda kufanya kazi lakini si kule chini kufundisha. Kuna changamoto sana.
Umeandika makala ndefu kwa kiasi fulani ni nzuri lakini kwa upande mwingine ina kawivu ndani yake. Raha ya ngoma ingia ucheze ndipo usimulie watu radha yakeNakumbuka nilitakaga nifanye kazi chini ya mahakama najutia sana. Namshauri mtu ajiepushe na Tamisemi. Enzi za wizara ya Elimu maisha yalikuwa safi sana.
Dseo na Dpseo ni viumbe wajinga sana.
Wanashirikiana na MaHM na Ma HT pamoja na MaAEK kwamba mwalimu ni kama chombo. Maisha ya ualimu ni mates makubwa sana.
Hayo makundi hapo juu yana posho wale Ma-HT 200,000 na Ma HM 250,000 pamoja na MaAEK
Dseo na Ma Dpseo wanakamata 900,000 mbali na LSSE2 ya 3,400,000/=
Haya makundi hapo hayana la ajabu ambalo ToD analikosa. Kikao flani cha Ma HM miaka kadhaa iliyopita kilikaa Nathaniel ni ukumbi wa Mlimani City wakajadili na kukubaliana kumuandikia barua ndeeefu Mh Jakaya kikwete. Niliiona kuisoma wakati wa kuifanyia editing yalikuwa makubaliano kwamba Mkuu wa shule hana nguvu yoyote na kufanya mazingira ya kiutendaji kuwa magumu.
Mapendekezo mengine ni posho. Hii posho wanayoishunda sasa hivi waliiomba wakati huo.
Kilinishangaza na kinanifurukuta hadi leo hii ni kumuacha mwl wa darasani akiwa mkiwa, hana wakumuombea chochote, wao kuanzia wale mambwiga wa Dseo na Dpeo wakila posho ya nyumba,simu na maji kitu kama 900,000 in total. Mwalimu mkuu na mkuu wa shule 200,000 na yule 250,000/= swali najiuliza sana huyo aliyeidhinisha walipwe wao peke yao, mwalimu walimuweka kwenye fungus gani. Tena leo wale ma dseo na ma madpeo wana magari mapyaaa. Juzi wakuu wa shule walichanga wamnunulie rais form ya urais 2025. Ni sawa lakini hawajui kwamba wao ni watumishi wa umma na wamefanya kosa kisheria?
Ofisi ya rais Tamisemi ina madudu mengi mengine ni hayo ya malipo ya posho, kukosa misingi ya utu, uwajibikaji na usawa katika kutoa humuma.
Mleta uzi huu ameona jambo kwa udogo lkn kuna upuuzi mkubwa mno atahitajika rais mwenye upeo pekee ajione ujinga huo auondoe.
-Aek ni afisa elimu wa kataHivyo vifupi vyako umetuacha, hebu tupe tafsiri.
Ahsante sana, una akili, siyo mwingine anajibu ovyo ovyo tu na stress zake za maisha magumu.-Aek ni afisa elimu wa kata
-Dao ni afisa taaluma wa wilaya (district academic officer)
-MK NI mwalimu mkuu, HM ni head Master
-dseo ni district secondary education officer/afisa elimu secondary
Na huyo jamaa anayejiita STATISTICS inaonekana ni Mwalimu, sasa utaona jinsi walimu walivyo na roho mbayaAhsante sana, una akili, siyo mwingine anajibu ovyo ovyo tu na stress zake za maisha magumu.
Unaposema kuwa chawa unamaanisha nini?Ukimaluza masters kwanza uwe chawa, pili andaa kibunda Cha kununua huo uHM na tatu uwe na connection.
Hakuna anayekuogopa Kwa kimastaz chako cha kuunga unga.
Ukishapewa uHM kuwa chawa Mkuu, ili uwe AEK. Ukiupata huo uAEK kuwa chawa Mkuu mwandamizi, Anza safari za Dodoma ili uteuliwe kuwa DAO/SLO.
Baada ya kuwa DAO/SLO endeleza uchawa mwandamizi daraja II, Anza kuwaroga na kuwapiga majungu maafisa elimu. Jipendekeze Kwa mbunge wa eneo lako na la ulikozaliwa ili upate connection Kwa wazito wa tamisemi. Ukipewa uDSEO au DEO ndipo unayaoatia maisha na kuifaidi masters Yako huku ukikunja LSEE2 3,400,000 yenye matupu ya nyumba, mavazi, mawasiliano nk.
Kama huwezi niliyokushauri usipoteze Hela kusoma ukitegemea muujiza eti utaonekana, never never!