Bonheur Travels Tanzania
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 252
- 499
- Thread starter
- #21
Mbona hata website kampuni yenu haina? Hii day and age mnategemea mtu anaishi arusha aje kwa ofisi yenu dar kwa mahitaji ya usafiri?
Website tunayo, ipo hewani na huduma zote unaweza kuzipata kupitia hapo. Unaweza kutembelea www.bonheurtravels.co.tz ambapo kwa sasa ipo kwenye hatua za mwisho za maboresho.
Hata hivyo, tunaendelea na utoaji wa huduma kama utawasiliana nasi moja kwa moja kupitia namba +255 737 555522 au +255 757 212122 kwa ajili ya booking na mazungumzo mengine yoyote.
Email yetu ni reservations@bonheurtravels.co.tz
Karibu sana mkuu.