Elimu, Maarifa na Ujuzi vina Nafasi gani Katika Kuchangia Mafanikio ya Mjasiriamali?

Elimu, Maarifa na Ujuzi vina Nafasi gani Katika Kuchangia Mafanikio ya Mjasiriamali?

T

binafsi nimekupata vizuri sana mkuu na kunatokana na maelezo yako kuhusu ku aquire new habats hapo ndo nakuja kukubaliana na msemo usemao "Your thoughts makes ur own reality" so kadri mtu utakavynkuwa unafikiria kuwa something is imposible ts can be realy imposible kitu kikubwa ninachokiamin kwamba ni kweli nakubaliana na wewe kuwa unaweza kuwa mjasiriamali through training kwa mfano ukisoma historia kuhusu mtu kama Robert Kiyosaki ambaye ni mmoja wa wajasiriamali wakubwa yeye kwa kiasi kikubwa alipata "training" kwa mtu ambaye yeye anamuita Rich Dad.

Mkuu huo mfano wa Robert Kiyosaki alivyojifunza ujasiliamali/biashara kwa Rich Daddy ni mfano halisi wa jinsi ya kumtrain mtu. Kuna uwezekano kwamba neno Ujasiliamali likawa na utata ndiyo maana tunajikuta tunabishana hapa, ninaachana na neno hilo tata la Ujasilia mali nia yangu ni kusema kwamba utafutaji pesa na hatimae mtu kufikia kutajirika watu wanafundishana kuanzia Marekani hadi Ulaya yote, na kwa nini isiwe bongo!!
 
Mkuu huo mfano wa Robert Kiyosaki alivyojifunza ujasiliamali/biashara kwa Rich Daddy ni mfano halisi wa jinsi ya kumtrain mtu. Kuna uwezekano kwamba neno Ujasiliamali likawa na utata ndiyo maana tunajikuta tunabishana hapa, ninaachana na neno hilo tata la Ujasilia mali nia yangu ni kusema kwamba utafutaji pesa na hatimae mtu kufikia kutajirika watu wanafundishana kuanzia Marekani hadi Ulaya yote, na kwa nini isiwe bongo!!

yap mkuu nadhani kuna umuhimu kwanza wa kueleweshana kuhusu neno ujasiriamali inawezekana lina utata sana kuliko jinsi watu tunavyolifikiria.
 
• Definitions and Evolution of Entrepreneurship
• The word entrepreneur was derived from the French word which means to undertake
• The earliest usage of the term was recorded in 17[SUP]th[/SUP] century
• It was used in military to mean the mean the one who leads military expeditions
• It was used in business for the first time by Cantillon (A French man) in 17th century
• Definitions and Evolution of Entrepreneurship
• According to Cantillon: An entrepreneur is the one who buys goods and services at certain prices with a view of selling them at uncertain prices in the future
• Until 1950s’majority of definitions and references in entrepreneurship had come from economists
• In the present, the world is linked with free enterprises and capitalism making entrepreneurship an important profession which serves as an agent of change.
• Various Definitions of an entrepreneur
• Someone who combines the factors of production so as to increase output and welfare of the society ( Mashall 1920)
• The one who develops new profitable opportunities by combining resources in a new way (Schumpter 1934)
• An individual who owns and manages the business for principle purpose of profit and growth (Carland 1984)
• Various Definitions of entrepreneur
• Is the one who determines business opportunities, converts them into marketable ideas, bring the necessary resources and takes appropriate actions while bearing the risks of the venture for success.
• What is entrepreneurship
• Is creating something different with value by devoting time and efforts, and assuming risks for success (Olomi 2003)
• Is a dynamic process of creating incremental wealth
• Is the ability to create and build a vision from practically nothing
 
• Behaving "Entrepreneurially" in any endeavour, displaying General Enterprising Tendencies (GETs)
• Innovative
• Achievement oriented
• Pro-active
• Growth oriented
• Risk-taking
• Strategic
• Opportunistic
• Problem solving
• Tolerance for failure
• Aggressiveness
• Hard working
• Perseverance
• Independent
• Internal locus of control
• Tolerance for ambiguity
• Vision
• High energy level
• Self confidence

HIZI NDIO TABIA ZA MJASIRIAMALI KUZIHAMISHA TOKA KWA MTU MMOJA KWENDA KWA MWINGINE INAWEZEKANA LAKINI ISIPUNGUE MIAKA 10 HADI 15 KWA UKARIBU SANA SOMA ENTREPRENEURSHIP SUCCESSION PLANNING
 
•Definitional Problems
•Is entrepreneurship found is small or large firms?
•Why is it associated with small businesses?
•Is it possible to have an international definition? Why or why not ?
•There is no global agreement on the definitions of entrepreneurship
•There is the definitional debate
•Observation: Understanding the term per se is not as important as understanding the entrepreneurial events and functions
•The list of enterprising tendencies describe what enetrepreneurship is all about.
Different perspectives in defining entrepreneurship
•Starting and running a (small, independently run/owner-managed) business
•Starting and Running a Business in a Particular (entrepreneurial) Way
•Behaving in an entrepreneurial way in any undertaking
 
Intrapreneurship (ujasiriamali wa wafanyakazi/waajiriwa)
• Operating entrepreneurially within an established organization
• Also called administrative entrepreneurship or corporate entrepreneurship
– University
– Church
– Private company
– Community,
– etc
• Whatever you are (position) or whenever you will be (organisation, community) always ask yourself:
Am I an intrapreneur or just a normal employee?. If you are just a normal employee, your value is very limited
 
Entrepreneurs: Made or Born?
Studies of entrepreneurs indicate that individuals whose parents or
grandparents are self-employed are more likely to start their own
businesses than individuals born into other families.
This leads some people to the conclusion that entrepreneurs are born, not
made.
However, another possible conclusion is simply that these
entrepreneurs were influenced by their family environment. Did they
get caught up in the excitement of business-related talk around the
dinner table? Did they share the satisfaction of success with a parent
or other family member? Did they work for the family business when
they were young?
Whether entrepreneurs are born or made is likely still to be
debated many years from now.
Even though heredity is important in establishing basic entrepreneurial traits, the influences of environment cannot be dismissed.
These two factors often work together in shaping a future entrepreneur.
Although some entrepreneurs come from entrepreneurial families, many
others do not. What all entrepreneurs do share, however, is a vision for the future and the willingness to take the risk of starting a venture.

WAKUU MJASIRIAMALI ANAZALIWA NA PIA ANATENGENEZEKA
 
KWA NINI UJASIRIMALI HUAUWEZI FUNDISHWA?

Mjasirimali huongozwa na Spirit na katika kufanya kazi zake zote, huongozwa na hiyo Driving force ambayo huwezi ukajifunza kwa Jirani wala kusomea chuoni,
-Chukulia Mfano MUGUKU, Huyu jamaa wakati alipo acha kazi na kuingia kwenye ujasirimali alipitia changamoto nyingi sana na Changamoto ya kwanza ilikuwa ni kutoka kwa Bosi wake wa Kazi, Bosi wake alipingana naye vikali akiamini kwamba MUGUKU asingewe za kufanya chochote kile, na Changamoto ya Pili ilikuwa ni kutoka kwa Wazazi wake ambao walimuona Kijana wao kama amechanganyikiwa vile au amekuwa Mento, na baba yake alimuhakikishia kwamba asingiweza fika popote pale na Biashara kwa sababu hata yeye alijaribu kufuga akashindwa, na kuku walikufa wote.

HIVYO MUGUKU ALIKUWA AMECHOMA MELI MOTO NA PALE ALIKUWA ANONGOZWA NA SPRIT NA SI KINGINE KILE,

2. Katika Entreprenership Spirit huwezi sema mimi ngoja nijifunze kutoka kwa Jirani jinsi ya kuondoa Uoga, mkuu uoga ni kutoka moyoni mwako.
Huwezi Jifunza kwa jirani jinsi kuwa mvumilivu katika biashara, na huwezi sema Fulani mbona kavumilia kwenye biashara na mimi ngoja ni vumilie tu, na hakuna mkuu the only passion ndo itakayo kufikisha hapo,
Kujifunza Kuuza na jinsi ya Kuandika mchanganuoa sio Tiketi yaw ewe kuweza kupambana katika biashara,

MJASIRIMALI NA KUCHOMA MELI MOTO
Uchomaji meli moto ni wa muhimu kwa sababu hapa haijalishi una elimu kiwango gani, uejifunz akiwango gani au una pesa kiasi gani,
- Ni wangapi wamejaribu mara nyingi kutaka kuingia kwenye kujiajiri wenyewe na wameshindwa kabisa? Unazania ni elimu wamekosa? Au unazania wamekosa sehemu ya Kujifunza?
- Ni wangapi wamejaribu kutaka Kujaajiri na kukumbana na vikwazo vya wapenzi wao?
- Ni wangapi wameshauriwa na kuacha kabisa?
- Swala kama la kukumbuka Mshahara mnono unao lipwa, Malupulupu, Gari la Ofisini, Nyjumbana kazalika, hutatiza watu kuingia kwenye ajira bianafisi, hapa haihitaji kwenda shule, ili uweze kuacha kazi na kuingia kwenye ajira yako mwenyewe,
- Ni wangapi wamejaribu biashara na kuacha kabisa mara tu baada ya kushindwa? Ni wengi sana,


HIVYO KUNA VITU UNAWEZA JIFUNZA KWA JIRANI AU CHUONI KAMA KUUZA , KUHUDUMIA WATEJA NA KAZALIKA,
- Huwezi jifunza kwa mwenzako uvumilivu katika biashara, never,
- Huwezi jifunza kutoka kata tama, make kama kuto kata tama kunafundishwa wengi tungekuwa mbali make wako watu wengi wakujifunza kwao kama wakina Mengi,


ELIMU TUNAZO SOMA HUMU NA TUNAZO SOMA VYUONI ZINATUSAIDIA YAFUATAYO
- Jinsi ya kufanya biashara na watu wengi
- Jinsi ya kuuza
- Jinsi ya kupanga bei
- Jinsi ya kuandaa michanganuo
- Jinsi ya kupunguza gharama za uendeshaji wa biashara
- Jinsi ya Kuajiri wafanyakazi

SWALA ZIMA LA WEWE KUINGIA KWENYE DUNIA YA UJASIRIMALI LIKO MKONONI MWAKO, HAUHITAJI KUHUDHURIA CHUONI, AU KWENDA SEMINA, AU KUANGALIA KWA JIRANI NDO UCHOME MELI MOTO,
Ishu ya Kuchoma Meli moto linatoka moyoni mwako kwa sababu ni Maamuzi magumu sana yasiyo hitaji chochote kile bali Ujasiri, Kuchoma meli moto hakuhitaji semina,
- Hakuhitaji ushauri kutoka kwa jirani wala rafiki wala mpezi wako
- Kuchoma meli moto hakuhitaji kujipanga,
- Kuchoma meli moto hakuhitaji tahadhari



Hivyo fikilia ya Fuatayo
- Je umekuwa ukiogopa kuingia kwenye dunia ya ujasirimali?
- Je umewahi jaribu mara kibao kutaka kuanzisha biashara ila roho inasita?
- Umewahi mara ngapi kujiwekea time frame yaw ewe kuingia kwenye Dunia hiyo na mara zote hujawahi ifuata?
- Ni mara ngapi umeshauriwa na Mpenzi wako/washikaji/wazazi/Majirani na kazalika kuhusu ishu ya ujasirimali na kukuatahadharisha na wewe kukubaliana nao?
ThePointOfNoReturn.png

SO KWENYE DUNIA YA UJASIRIMALI INAHITAJIKA ONLY POINT OF NO RETURN
 
Entrepreneurs: Made or Born?
Studies of entrepreneurs indicate that individuals whose parents or
grandparents are self-employed are more likely to start their own
businesses than individuals born into other families.
This leads some people to the conclusion that entrepreneurs are born, not
made.
However, another possible conclusion is simply that these
entrepreneurs were influenced by their family environment. Did they
get caught up in the excitement of business-related talk around the
dinner table? Did they share the satisfaction of success with a parent
or other family member? Did they work for the family business when
they were young?
Whether entrepreneurs are born or made is likely still to be
debated many years from now.
Even though heredity is important in establishing basic entrepreneurial traits, the influences of environment cannot be dismissed.
These two factors often work together in shaping a future entrepreneur.
Although some entrepreneurs come from entrepreneurial families, many
others do not. What all entrepreneurs do share, however, is a vision for the future and the willingness to take the risk of starting a venture.

WAKUU MJASIRIAMALI ANAZALIWA NA PIA ANATENGENEZEKA

Asante Mkuu kwa muda wako! Mchango wako ni mkubwa.
Hiyo conclusion yako in green ni ukweli kabisa, wapo wa wajasiliamali wa kuzaliwa na wengi wa kutengeneza.
Wajasilia mali wa kuzaliwa ni wale wanaomea katikati ya lindi la umasikini ambako hakuna wa kumfundisha, hakuna wa kum-guide wala hayupo wa kumwigiza. Mtu anapigana mwenyewe hadi anakuwa dude la kutisha. Lakini wajasiliamali wanaokulia kwenye familia zenye historia ya kujiajiri hao si rahisi kutambua kama ni wajasilia mali wa kuzaliwa maana hujifunza kuanzia utotoni na kujifunza utotoni ndiyo kuna-impact kubwa zaidi. Mkuu CONSULT hapa umeleta proof ya ujasilia mali wa kuzaliwa na wa kutengenezwa, vyote vipo, asante kwa muda wako uliotumia kujenga hoja yako.
 
Entrepreneurs: Made or Born?
Studies of entrepreneurs indicate that individuals whose parents or
grandparents are self-employed are more likely to start their own
businesses than individuals born into other families.
This leads some people to the conclusion that entrepreneurs are born, not
made.
However, another possible conclusion is simply that these
entrepreneurs were influenced by their family environment. Did they
get caught up in the excitement of business-related talk around the
dinner table? Did they share the satisfaction of success with a parent
or other family member? Did they work for the family business when
they were young?
Whether entrepreneurs are born or made is likely still to be
debated many years from now.
Even though heredity is important in establishing basic entrepreneurial traits, the influences of environment cannot be dismissed.
These two factors often work together in shaping a future entrepreneur.
Although some entrepreneurs come from entrepreneurial families, many
others do not. What all entrepreneurs do share, however, is a vision for the future and the willingness to take the risk of starting a venture.

WAKUU MJASIRIAMALI ANAZALIWA NA PIA ANATENGENEZEKA

kwa faida ya wasomaji njoo na mifano hai,
 
yap mkuu nadhani kuna umuhimu kwanza wa kueleweshana kuhusu neno ujasiriamali inawezekana lina utata sana kuliko jinsi watu tunavyolifikiria.

Ya ni vitu viwili tofauti, make huku Bongo hadi waajiriwa wanajiita waasirimali, only Tanzania
 
kwa faida ya wasomaji njoo na mifano hai,

KUMBUKA KUWA TAFSIRI YA UJASIRIAMALI NI YEYOTE MWENYE SEHEMU KUBWA YA HIZO TABIA(GETs) NA LAZIMA AWE AMEFANIKISHA KATIKA MAISHA YAKE.
Je ni kweli kuwa wachaga na wakinga wengi wao wanazaliwa WAJASIRIAMALI ?
Je ni kweli kwamba watoto wote wa matajiri wajasiriamali ni lazima watajirike kwa kuwa wamezaliwa wajasiriamali ? ?
Je ni kweli kuwa mjasiriamali hawezi zaliwa toka family ya maskini ? ?
Je wahindi wote wanaoishi/kuzaliwa Tanzania wanazaliwa wakiwa wajasiriamali ? ?
Je ni kweli kuwa kwa kuwa Tanzania ni maskini basi ni kwa sababu raia wake wengi wanazaliwa hawana ujasiriamali ndani ya damu zao na itaendelea kuwa maskini sbb HAUFUNDISHIKI..? ?

Utajiri ni tabia kama tabia zingine mojawapo wa tabia za ujasiriamali (GETs) nimezitaja hapo juu, haina maana kuwa kila mjasiriamali lazima anazo zote 100% HAPANA ,,, Japo inaaminika kuwa yeyote atakayekuwa na sehemu kubwa ya hizo GETs may 85% na kuendelea lazima atakuwa na uwezo mkuwa wakuonekana pia wapo wenye hizo element za ujasiriamali (GETs) kwa kiasi kidogo labda 35% akiongezea na mazingira aliopo kumsaidia pamoja na KUFUNDISHWA (KUTAFUTA MAARIFA) wanafaulu kwa kiasi kikubwa tu.
Pia ni kweli kuwa asie na element hata kidogo 0% ha hizo TABIA (GETs) hawezi kufaulu hadi hapo atakapo badili tabia na pengine ikawa vigumu kwa kuhitaji mbinu nyingi na za gharama kubwa na hata muda mrefu sana na ndio sbb walio wengi kama tayari ni mtu mzima wanasema haiwezikani..
Mfano kwenye Family Business Succession Plan yaani namna ya kuwarithisha watoto wako ujasiriamali sio swala la kumkabidhi tu pamoja na kuwa amezaliwa kwenye biashara hiyo na kukulia humo na pia kazaliwa na wajasiliamali vyote hivyo havitoshi research zinaonyesha wazi kuwa sio watoto wote wanao zaliwa na wajasiriamali ni wajasiliamali ina kubidi kufanya nao kazi hatua kwa hatua stage kwa stage bila kupungua miaka 10 hadi miaka 15 hapo ndipo wazazi watakuwa wamewambukiza watoto UJASIRIAMALI kumbuka SIO MALI ZAKO akishakuwa mjasiriamali hizo mali zako hana shida nazo tena labda kuongezea zake tu mfano Dewji family n.k
"UJASIRIAMALI UNATENGENEZEKA / UNAFUNDISHIKA"
Ndio maana utakuta wafanyakazi wa muda mrefu sana wa wajasiriamali (WAHINDI) Wwanaweza kuambukizwa utajiri.. pia unaweza kukuta mfanyakazi wa tajiri anatajirika lakini mtoto wa tajiri huyo anabaki maskini wa kutupwa..
 
'You Can't Teach Entrepreneurship'


I didn’t say that, but I hear it from people and I can’t believe it. It continues to amaze me that I still come across learned folks who think we can’t teach entrepreneurship. On recent occasions I was in the audience for talks where “leading authorities” from top US and UK universities claimed that entrepreneurship could not be taught. They claim that entrepreneurs have certain traits that can’t be learned. Colleagues report hearing the same refrain from the leader of a major philanthropic foundation: a foundation where part of the mission is to support entrepreneurship! Wow.
What I find interesting is that these folks are not saying that we’re not teaching entrepreneurship correctly, they are still saying we can’t teach it. If the issue was the former you might be able to convince me that some universities may not be going about it in the right way. But to say we cannot teach entrepreneurship – I don’t think so! Are some folks more inclined? Perhaps, and they have a head start, but we can teach entrepreneurship to anyone.
The methods we use today have evolved and continue to do so. There is a method at the core but we also experiment both with new insights and new ways of reaching our students. Entrepreneurship educators actually practice what we preach by continuously trying new things in the classroom. We take a small risk on something new; if it works, we continue to use it. If not, we pivot and try something new. Sound familiar?
I think many of the folks who espouse that we can’t teach entrepreneurship are akin to the great ‘natural’ athletes who have hard time in the coaching profession after their playing careers end. It all came so naturally to these folks that they cannot break it down to explain, coach, and teach it to others. So perhaps these folks who say we can’t teach entrepreneurship just can’t see how to teach it because it came so naturally to them when they developed and ran their firms. Maybe.
It has to be something like this because otherwise everyone teaching entrepreneurship in the higher education industry would be perpetrating one of the greatest frauds and conspiracies of all time. The numbers for entrepreneurship education at the higher education level have grown exponentially in the past few decades. Jerry Katz, from St Louis University, has for years compiled the numbers on programs, courses, and universities. Katz reports that in 1970 there were a scant few courses in entrepreneurship but by the year 2000, there were approximately 1,600 schools offering over 2,200 courses.
But it’s not a fraud or conspiracy and we can teach entrepreneurship. Look, I know I’m biased. I’m a professor of entrepreneurship and if I were wrong I’d likely be out of a job. But I’m not. During my time at the Lally School of Management & Technology at Rensselaer Polytechnic Institute (RPI), I witnessed and was a part of teaching students who built successful businesses. Now that I’m at Babson College I do the same but also teach how to be entrepreneurial no matter path you take by teaching about entrepreneurship of all kinds®.
There truly is a method to teaching entrepreneurship but it is substantially different than traditional management teaching most of which evolves from theory focused on large existing firms. Some of the tools are the same but the mindset about what you do is clearly different. I spoke to a friend and colleague Mike Haynie from Syracuse University’s Department of Entrepreneurship and Emerging Enterprises about teaching entrepreneurship and his thoughts parse out this perspective. “Arguably, you can teach anyone 99% of the ‘activities’ related to launching and growing a venture, and we do every day in b-schools everywhere. This is because, at the end of the day, these are fundamental business skills and processes that are not necessarily idiosyncratic to entrepreneurship – other than the context of new firms. So given that, I would argue that I can teach someone to be very skilled in those processes. We can teach someone how to write a great business plan, develop a great marketing strategy, produce financial projections, etc. – thus we can teach the activities that compose that act of ‘entrepreneurship’ – starting and growing a venture.”
But there’s more. Professor Haynie then goes on to illustrate why some schools have changed how they teach entrepreneurship with a focus on bringing action and ‘doing’ into the classroom. “However, a different and more relevant and precise question is can you teach someone to recognize ‘entrepreneurial opportunity’ - the step before entrepreneurial action? This is a question that gets to both cognition and motivation. I’m not convinced that we can do this in a mainstream model of Higher-Ed, but do believe that we can ‘enable’ such learning through experiential pedagogy. In other words, while we can seed such learning in a classroom in this regard – with courses related to understanding motivation, sense-making, and other concepts – we also have to deliver a means for those seeds to be planted such that the teaching someone to be ‘entrepreneurial’ becomes about them teaching and learning on their own and by ‘doing.’
So it’s both about teaching individuals to build ventures but also teaching them to think and act entrepreneurially. And it is being done both at Babson and many others around the world. Most importantly, the old ways of teaching entrepreneurship with war stories of successful entrepreneurs and a mindset and theories taught in a straight line from the practice of large, existing organizations is dying (if not dead everywhere already). This point about the evolution of teaching entrepreneurship leads me to a thought from a good friend and mentor. Here is the perspective of Don Kuratko from Indiana University’s Kelly School.
“People who say we cannot teach entrepreneurship are dangerous people to society. They are the keepers of the old thinking and their beliefs ensure that we cannot advance ourselves. Remember that in the late 1800s it was believed then that medicine could not be taught. It was a trade to be learned “on the job.” How comforting for all those poor souls who died under the knife of incompetent doctors. Look where the medical profession is today thanks to the rise of medical schools and the “new wave” of thinking that medical practice and research could be taught! We are at the same juncture with entrepreneurship. I believe we are washing away the old thinking and revolutionizing business schools (and campuses for that matter) with the “new thinking” that entrepreneurial practice and research can be taught!
So maybe we didn’t always teach it ‘right’ over the first decades of existence and because of that it might have been fair for some to surmise that “you can’t teach entrepreneurship.” Please don’t tell me that today. Colleges and universities today can do it right. Entrepreneurship education has evolved with rigor and scope – there’s a method and it can be applied not just to building new ventures but to all walks of life. We can teach you to be a ‘classic’ entrepreneur or to be entrepreneurial in whatever you decide to do and because of this our world is going to be a much better place!
 
BORN AND MADE

- Mkuu ili uwe made Entrepreners ni lazima uwe na spirit ndani yako yaw ewe kuwa kutaka kweli kuwa mjasirimali, Wachaga ndo maana wapo wafanya biashara na wapo wafanya kazi na wapo wasio na kazi kabisa na wako tu vijiweni, so unaweza kujiuliza ni kwa nini basi wote wasiwe wafanya biashara kama ndugu jamaa na marafiki ni wafanya baishara? BADO NARUDI KWAMBA UTAYARI WAKO WEWE, JE UNA DRIVING FORCE YA KUKUPELEKA HUKO? KAMA HUNA BASI
- WAHINDI- Wahindi nao ingawa wako wafanya kazi sema wanapiga kazi wao kwa wao, wanaajiriwa na wenzao huwezi kuta wanaajiriwa na wabongo, Na ni kweli wengi wao wanakuja kusimamia biashara za baba zao, ila ukijarbu kucheki some time wapo wanafanya hivyo kwa sababu ya Nature kwamba wewe Fulani utakuwa unasimamia mauzo, wewe utasimamia kitu Fulani,

SO INABAKIA KWAMBA MKUU NI LAZIMA KWANZA UWE NA HIYO SPIRIT NDO BASI UNAWEZA FANYA HIVYO,

Na kwa Bongo some time kujua spirit ya mtu ni vigumu sana kwa sababu wapo ambao wanafanya biashara kwa sababu hawana jinsi nyingine na ikitokea kazi ya kulipwa vizuri basi wataachana kabisa na ishu hizo,


Mfano wa Made Entrepreners
-Chukulia Mfano wa Chuo cha Sokoine Univesity, labda Kozi ya NYUKI, Unaweza kuta katika ile kozi ya Nyuki akatokea mwanafunzi mmoja hata wawili au zaidi baada ya Kozi wao wakawa opt kwenda kuanza kufuga NYUKI, so wale wanafunzi pale tunaweza sema ni MADE ENTREPRENERS inagwa basi wale wanafunzi from mwanzo wao tiyari walikuwa na mentaility ya kuja kujiajiri so that is why baada ya kumaliza kozi ya UFUGAJI WA NYUKI wakaamua moja kwa moja kuingia field.


MFANO WA PILI:
- Chukulia Chuo Cha IT, pale IFM baada ya wanafunzi kuhitimu Degree ya IT wanaweza tokea watatu wao moja kwa moja wakaingia kwenye game la kuwa watengeneza kazi, na hapa ni baada ya wao kuwa wamepiga IT na kuhitimu
- Hawa jamaa walikuwa na mentality au spirt ya kujiajiri na so wamepata sehemu ya kutokea,

SO MKUU WAPO AMBAO WANA MENTALITY KWELI YA KUJIAJIRI NA WANA SPIRIT YA UJASIRIMALI ILA STILL NI WAFANYA KAZI NA HAWAJAPATA SEHEMU YA KULIPUKIA,

Ni kama ilivyo kwamba mtu Fulani anaweza kuwa Alisha kufanyia mabaya, kukurusha pesa zako nyingi sana nahii iko rohoni mwako na wewe unatafuta tu siku muafaka atakapo ingia kwenye 18 zako, na siku akiingia wewe utapambana naye si kwa sababu alikurusha pesa nyingi sana ila si kwa sababu leo hii kagonga Gari lako kwa Nyuma,


MAMBO MENGINE NI WIZI NA KAZALIKA, Mfani hilo la wafanya kazi kutajirika katika Dunia ya Ubapari huwezi kuwa mfanya kazi ukatajirika, hizo unakuta ni mbinu chafu ikiwemo za kuiba ambazo ni maalufu sana Bongo, Na Mkuu si kwamba wewe ukapata pesa kutoka kwa mwajiri wako na ukanunua TOYO basi wewe umekuwa Mjasirimali,
'
KURITHI BIASHARA YA FAMILIA
- Kuna hatua za kufuata katika Kurithu na mkuu si kwamba Kurithi basi umekuwa mjasirimali,anaangaliwa initiator wa Idea

MFANO:
- Kampuni ya Magari ya FORD- Hapa jamaa Alisha kufa lakini watoto wake na wajukuu na kazalika bado wanaongoza kampuni, but anaye tambulika mjasirimali ni Henery Ford na si hawa watoto wake,

-Dunia inamtambua TOYOTA wa kwanza na si hawa wasasa hivi ingawa wanaendelezza game ya baba yao

- Dunia inamtambua Thomas Edsoni so kampuni yake kwa sasa ingawa iko kwenye game ila yeye ndo initiator wa Idea na si watoto wake



HIVYO MKUU KURITHI BIASHARA YA FAMILIA HAUKUPI GARANTEE YA WEWE KUWA MJASIRIMALI BADALA YA MAREHEMU, BADO MAREHEMU ANATAMBULIKA KAMA MWANZILISHI, NA NI SAWA NA WEWE KUWA NA WAFANYA KAZI NA WEWE UKAWA UNABAKIA NYUMBANI UMELALA,


Kinacho tazamwa ni initiator wa wazo lenyewe, na si wazo linafanya vipi kazi,

Kampuni ya Microsoft ina vichwa vy kufa mtu na wanafanya kazi usiku na mchana na hata leo hii Bil gate akifa kampuni itaendelea kuwepo, but ni Billigate ndo mjasirimali na si hawa sijui Marketing Director na kazalika
 
OK SHUKRAN CHASHA KWA KUKUBALI KUWA MJASIRIAMALI ANAWEZA TENGENEZEKA /FUNDISHIKA (MADE)

Pili tatizo lililobaki ni tafsili ya ni nani Mjasiriamali ? ? (Definition)
kwako wewe mjasiriamali ni INVENTOR NA FOUNDER na sisi tunasema mjasiriamali ni yule mwenye TABIA za waliowengi wajasiliamali waliofaulu duniani kwa mujibu wa watafiti almost wote walikuwa na hizo GETs kumbuka sio INVENTOR wote ni wajasiriamali na hao wako wengi sana wapo karibia kila sector wakiwa wafanyakazi, majeshini na ni maskini tu na pia wapo FOUNDER wengi kama wazee wetu hawa Baba wa taifa nyerere na Mandera, FOUNDER wa vilabu vya mpira nao pia wana maisha ya kawaida tu hivyo basi kuwa mgunduzi au mwanzilishi haikuweki kuwa mjasiriamali, wapo wakina bill gate wengi sana kasoro hizo Idea zao sio lazima ziwe za kuuza ili kupata pesa au hawakuwa na malengo ya kibiashara n.k.

hata hao uliowataja Billgate n.k lazima wanazo hizo tabia ikiwemo CREATIVITY AND INNOVATION.

Tatu zipo namna nyingi tu za kumpima mtu au kujipima na kutambua ni kiasi gani cha ujasiriamali umebahatika kuwa nacho na ukawa pia na mikakati ya kukiongeza kwa baada ya muda fulani

Nne kufanikisha kimaisha sio lazima uwe MJASIRIAMALI TU ndio ufanikishe wapo matajiri wengi tu duniani sio
hawana hizo gets zote ni wafanyabiashara wakubwa sana kwa kuiga tu na kufuata mkumbo..

Ushauri wangu inaonekana wewe ni msomaji wa vitabu jitahidi kutafuta na kusoma vitabu vinavyofundisha ujasiriamali na hasa pitia research paper za entrepreneurship na zipo nyingi sana utajua vema maisha yote ya jamii hii kwa upana.. vile vile ningepata muda ningewafafanulia kwa upana hizo GETs kila moja pia ingesaidia kumwelewa mjasiriamali mfano wewe unaposema SPIRIT ya Ujasiriamali ndio hiyo INTERNAL LOCUS CONTROL pamoja na achievement oriented n.k.
 
KUMBUKA KUWA TAFSIRI YA UJASIRIAMALI NI YEYOTE MWENYE SEHEMU KUBWA YA HIZO TABIA(GETs) NA LAZIMA AWE AMEFANIKISHA KATIKA MAISHA YAKE.
Je ni kweli kuwa wachaga na wakinga wengi wao wanazaliwa WAJASIRIAMALI ?
Je ni kweli kwamba watoto wote wa matajiri wajasiriamali ni lazima watajirike kwa kuwa wamezaliwa wajasiriamali ? ?
Je ni kweli kuwa mjasiriamali hawezi zaliwa toka family ya maskini ? ?
Je wahindi wote wanaoishi/kuzaliwa Tanzania wanazaliwa wakiwa wajasiriamali ? ?
Je ni kweli kuwa kwa kuwa Tanzania ni maskini basi ni kwa sababu raia wake wengi wanazaliwa hawana ujasiriamali ndani ya damu zao na itaendelea kuwa maskini sbb HAUFUNDISHIKI..? ?

Utajiri ni tabia kama tabia zingine mojawapo wa tabia za ujasiriamali (GETs) nimezitaja hapo juu, haina maana kuwa kila mjasiriamali lazima anazo zote 100% HAPANA ,,, Japo inaaminika kuwa yeyote atakayekuwa na sehemu kubwa ya hizo GETs may 85% na kuendelea lazima atakuwa na uwezo mkuwa wakuonekana pia wapo wenye hizo element za ujasiriamali (GETs) kwa kiasi kidogo labda 35% akiongezea na mazingira aliopo kumsaidia pamoja na KUFUNDISHWA (KUTAFUTA MAARIFA) wanafaulu kwa kiasi kikubwa tu.
Pia ni kweli kuwa asie na element hata kidogo 0% ha hizo TABIA (GETs) hawezi kufaulu hadi hapo atakapo badili tabia na pengine ikawa vigumu kwa kuhitaji mbinu nyingi na za gharama kubwa na hata muda mrefu sana na ndio sbb walio wengi kama tayari ni mtu mzima wanasema haiwezikani..
Mfano kwenye Family Business Succession Plan yaani namna ya kuwarithisha watoto wako ujasiriamali sio swala la kumkabidhi tu pamoja na kuwa amezaliwa kwenye biashara hiyo na kukulia humo na pia kazaliwa na wajasiliamali vyote hivyo havitoshi research zinaonyesha wazi kuwa sio watoto wote wanao zaliwa na wajasiriamali ni wajasiliamali ina kubidi kufanya nao kazi hatua kwa hatua stage kwa stage bila kupungua miaka 10 hadi miaka 15 hapo ndipo wazazi watakuwa wamewambukiza watoto UJASIRIAMALI kumbuka SIO MALI ZAKO akishakuwa mjasiriamali hizo mali zako hana shida nazo tena labda kuongezea zake tu mfano Dewji family n.k
"UJASIRIAMALI UNATENGENEZEKA / UNAFUNDISHIKA"
Ndio maana utakuta wafanyakazi wa muda mrefu sana wa wajasiriamali (WAHINDI) Wwanaweza kuambukizwa utajiri.. pia unaweza kukuta mfanyakazi wa tajiri anatajirika lakini mtoto wa tajiri huyo anabaki maskini wa kutupwa..

Consult umenena kiukweli utafikiri ni mimi nimekutuma!! Haya hata mimi nilikuwa ninayawazia hivyo hivyo, nimekagua makabila yote tanzania ambayo ni maarufu kwa ujasiliamali nikajiuliza ni kwa vipi idadi ya wajasiliamali kwenye makabila hayo iwe kubwa hivyo? Inamaana wako genetically tofauti watu wa makabila mengine? Je akitokea mmoja kwenye jamii akafanikiwa kuibuka na kuwa tajiri hizo mbinu alizotumia akiwahadithia na kuwafundisha wengine hazitaeleweka na kutekelezeka kiasi kwamba nao wakafanya hivyo hivyo? Wheter utaitwa ufanyabiashara au ujasiliamali hapo ni kuchanganyana akili tu wote hao lengo lao ni moja na pilika zao ni zile zile, hakuna kisichofundishika! Mkuu Consult kuna watu watataka mifano zaidi ya hiyo nao waje na mifano inayothibitisha kuwa makabila yanayoongoza kwa ujasilia mali huwa wanaoteshwa ujasiliamali hakuna wanakoigiza wala kujifunza.
 
'You Can't Teach Entrepreneurship'

"People who say we cannot teach entrepreneurship are dangerous people to society. They are the keepers of the old thinking and their beliefs ensure that we cannot advance ourselves. Remember that in the late 1800s it was believed then that medicine could not be taught. It was a trade to be learned "on the job." How comforting for all those poor souls who died under the knife of incompetent doctors. Look where the medical profession is today thanks to the rise of medical schools and the "new wave" of thinking that medical practice and research could be taught! We are at the same juncture with entrepreneurship. I believe we are washing away the old thinking and revolutionizing business schools (and campuses for that matter) with the "new thinking" that entrepreneurial practice and research can be taught!
So maybe we didn't always teach it ‘right' over the first decades of existence and because of that it might have been fair for some to surmise that "you can't teach entrepreneurship." Please don't tell me that today. Colleges and universities today can do it right. Entrepreneurship education has evolved with rigor and scope – there's a method and it can be applied not just to building new ventures but to all walks of life. We can teach you to be a ‘classic' entrepreneur or to be entrepreneurial in whatever you decide to do and because of this our world is going to be a much better place!

Consult mimi hivi sasa sisemi, uthibitisho unaoutoa ni toshelevu kwa wanaofuatilia kinachoendelea duniani kwa sasa tunapoongelea hii kitu. Hapo kwenye red nakubaliana sana maana hata mimi niliwahi kutumia neno SUMU, kwamba kuaminisha watu kuwa ujasiliamali haufundishiki ni kuilisha jamii sumu. Kwa maneno yangu hayo yenye hisia ilichukuliwa kwamba eti nimekasirika nina hasira na ikashauriwa thread ifungwe. Sasa leo Mkuu Consult kwa hiyo red sentensi hapo unanifanya nisisimke hapa, asante mkubwa. Mwenye macho na atambue chuya na mchele!

Mabandiko yako Consult yatabaki utetezi uliosimama imara daima!! CONSULT JF Bronze member you are my hero!!
 
Consult mimi hivi sasa sisemi, uthibitisho unaoutoa ni toshelevu kwa wanaofuatilia kinachoendelea duniani kwa sasa tunapoongelea hii kitu. Hapo kwenye red nakubaliana sana maana hata mimi niliwahi kutumia neno SUMU, kwamba kuaminisha watu kuwa ujasiliamali haufundishiki ni kuilisha jamii sumu. Kwa maneno yangu hayo yenye hisia ilichukuliwa kwamba eti nimekasirika nina hasira na ikashauriwa thread ifungwe. Sasa leo Mkuu Consult kwa hiyo red sentensi hapo unanifanya nisisimke hapa, asante mkubwa. Mwenye macho na atambue chuya na mchele!

Mabandiko yako Consult yatabaki utetezi uliosimama imara daima!! CONSULT JF Bronze member you are my hero!!


KUBOTA naomba utuorodheshee vitu ambavyo wewe unazani unaweza kumfundisha mtu naakawa mjasirimali, ni vizuri wanao sema vinafundishwa waorodheshe hivyo vitu,

ILA BADO MSIMAMO WANGU NI KWAMBA TUNAWEZA FUNDISHA WATU MBINU AU BUSINESS SKILLS N SIO UJASIRIMALI, AU VINGINEVYO WEKA NI VITU AMBAVYO UNAZANIA UNAWEZA MFUNDISHA MTU AKAWA MJASIRIAMALI
 
BORN AND MADE

- Mkuu ili uwe made Entrepreners ni lazima uwe na spirit ndani yako yaw ewe kuwa kutaka kweli kuwa mjasirimali, Wachaga ndo maana wapo wafanya biashara na wapo wafanya kazi na wapo wasio na kazi kabisa na wako tu vijiweni, so unaweza kujiuliza ni kwa nini basi wote wasiwe wafanya biashara kama ndugu jamaa na marafiki ni wafanya baishara? BADO NARUDI KWAMBA UTAYARI WAKO WEWE, JE UNA DRIVING FORCE YA KUKUPELEKA HUKO? KAMA HUNA BASI
- WAHINDI- Wahindi nao ingawa wako wafanya kazi sema wanapiga kazi wao kwa wao, wanaajiriwa na wenzao huwezi kuta wanaajiriwa na wabongo, Na ni kweli wengi wao wanakuja kusimamia biashara za baba zao, ila ukijarbu kucheki some time wapo wanafanya hivyo kwa sababu ya Nature kwamba wewe Fulani utakuwa unasimamia mauzo, wewe utasimamia kitu Fulani,

SO INABAKIA KWAMBA MKUU NI LAZIMA KWANZA UWE NA HIYO SPIRIT NDO BASI UNAWEZA FANYA HIVYO,

Na kwa Bongo some time kujua spirit ya mtu ni vigumu sana kwa sababu wapo ambao wanafanya biashara kwa sababu hawana jinsi nyingine na ikitokea kazi ya kulipwa vizuri basi wataachana kabisa na ishu hizo,


Mfano wa Made Entrepreners
-Chukulia Mfano wa Chuo cha Sokoine Univesity, labda Kozi ya NYUKI, Unaweza kuta katika ile kozi ya Nyuki akatokea mwanafunzi mmoja hata wawili au zaidi baada ya Kozi wao wakawa opt kwenda kuanza kufuga NYUKI, so wale wanafunzi pale tunaweza sema ni MADE ENTREPRENERS inagwa basi wale wanafunzi from mwanzo wao tiyari walikuwa na mentaility ya kuja kujiajiri so that is why baada ya kumaliza kozi ya UFUGAJI WA NYUKI wakaamua moja kwa moja kuingia field.


MFANO WA PILI:
- Chukulia Chuo Cha IT, pale IFM baada ya wanafunzi kuhitimu Degree ya IT wanaweza tokea watatu wao moja kwa moja wakaingia kwenye game la kuwa watengeneza kazi, na hapa ni baada ya wao kuwa wamepiga IT na kuhitimu
- Hawa jamaa walikuwa na mentality au spirt ya kujiajiri na so wamepata sehemu ya kutokea,

SO MKUU WAPO AMBAO WANA MENTALITY KWELI YA KUJIAJIRI NA WANA SPIRIT YA UJASIRIMALI ILA STILL NI WAFANYA KAZI NA HAWAJAPATA SEHEMU YA KULIPUKIA,

Ni kama ilivyo kwamba mtu Fulani anaweza kuwa Alisha kufanyia mabaya, kukurusha pesa zako nyingi sana nahii iko rohoni mwako na wewe unatafuta tu siku muafaka atakapo ingia kwenye 18 zako, na siku akiingia wewe utapambana naye si kwa sababu alikurusha pesa nyingi sana ila si kwa sababu leo hii kagonga Gari lako kwa Nyuma,


MAMBO MENGINE NI WIZI NA KAZALIKA, Mfani hilo la wafanya kazi kutajirika katika Dunia ya Ubapari huwezi kuwa mfanya kazi ukatajirika, hizo unakuta ni mbinu chafu ikiwemo za kuiba ambazo ni maalufu sana Bongo, Na Mkuu si kwamba wewe ukapata pesa kutoka kwa mwajiri wako na ukanunua TOYO basi wewe umekuwa Mjasirimali,
‘
KURITHI BIASHARA YA FAMILIA
- Kuna hatua za kufuata katika Kurithu na mkuu si kwamba Kurithi basi umekuwa mjasirimali,anaangaliwa initiator wa Idea

MFANO:
- Kampuni ya Magari ya FORD- Hapa jamaa Alisha kufa lakini watoto wake na wajukuu na kazalika bado wanaongoza kampuni, but anaye tambulika mjasirimali ni Henery Ford na si hawa watoto wake,

-Dunia inamtambua TOYOTA wa kwanza na si hawa wasasa hivi ingawa wanaendelezza game ya baba yao

- Dunia inamtambua Thomas Edsoni so kampuni yake kwa sasa ingawa iko kwenye game ila yeye ndo initiator wa Idea na si watoto wake



HIVYO MKUU KURITHI BIASHARA YA FAMILIA HAUKUPI GARANTEE YA WEWE KUWA MJASIRIMALI BADALA YA MAREHEMU, BADO MAREHEMU ANATAMBULIKA KAMA MWANZILISHI, NA NI SAWA NA WEWE KUWA NA WAFANYA KAZI NA WEWE UKAWA UNABAKIA NYUMBANI UMELALA,


Kinacho tazamwa ni initiator wa wazo lenyewe, na si wazo linafanya vipi kazi,

Kampuni ya Microsoft ina vichwa vy kufa mtu na wanafanya kazi usiku na mchana na hata leo hii Bil gate akifa kampuni itaendelea kuwepo, but ni Billigate ndo mjasirimali na si hawa sijui Marketing Director na kazalika

very good analysis tupo pamoja mkuu.
 
Back
Top Bottom