Elimu, Maarifa na Ujuzi vina Nafasi gani Katika Kuchangia Mafanikio ya Mjasiriamali?

Elimu, Maarifa na Ujuzi vina Nafasi gani Katika Kuchangia Mafanikio ya Mjasiriamali?

KUBOTA naomba utuorodheshee vitu ambavyo wewe unazani unaweza kumfundisha mtu naakawa mjasirimali, ni vizuri wanao sema vinafundishwa waorodheshe hivyo vitu,

ILA BADO MSIMAMO WANGU NI KWAMBA TUNAWEZA FUNDISHA WATU MBINU AU BUSINESS SKILLS N SIO UJASIRIMALI, AU VINGINEVYO WEKA NI VITU AMBAVYO UNAZANIA UNAWEZA MFUNDISHA MTU AKAWA MJASIRIAMALI

Chasha na wewe Mkuu wangu huchoki tu! Consult ameshusha mzigo wa uthibitisho hapa! Mimi acha nitaleta akiba yangu ya mwisho, ila mkuu nihakikishie kwanza kama mtambo wako unaweza kuplay YOU Tube video ili nikuletee na wewe upigwe semina ushuhudie kwamba tunachosema ni kweli na kinaendelea. Heshima kwako Mkuu wangu Chasha na ninakutakia mfungo mwema wa Ramadhni.
 
Mkuu Chasha, nashukuru kuwa nawe unaamini kuwa mjasiliamali na sprit/driving force inside his/her heart pia ukumbuke hiyo driving force inaweza kupandikizwa kwa mtu yeyote yule ni sawa imani watu wanaamini miti kuwa ndio miungo yao na wanapona kulingana na imani yao, hiyo swala kuaminishwa au kujifunza kwa jamii inakuzunguka. unaweza fikiri kuwa umezaliwa na talent ya ujasiliamali kumbe ulisikia stori ya babu/shangazi/mjomba/jiran kuwa alikuwa mfanya biashara na we ukapenda we uwe hivo kulingana na mafanikio aliyoyapata unajikuta kuwa kuna kitu ndani ya moyo wako kinahitaji kutimiza hiyo ndoto. kwa hiyo driving force ni kuaminishwa ni sawa na kumwambia mtanzania nyoka analiwa hatakuelea wakati china ni kitoweo safi

KWA NINI UJASIRIMALI HUAUWEZI FUNDISHWA?

Mjasirimali huongozwa na Spirit na katika kufanya kazi zake zote, huongozwa na hiyo Driving force ambayo huwezi ukajifunza kwa Jirani wala kusomea chuoni,
-Chukulia Mfano MUGUKU, Huyu jamaa wakati alipo acha kazi na kuingia kwenye ujasirimali alipitia changamoto nyingi sana na Changamoto ya kwanza ilikuwa ni kutoka kwa Bosi wake wa Kazi, Bosi wake alipingana naye vikali akiamini kwamba MUGUKU asingewe za kufanya chochote kile, na Changamoto ya Pili ilikuwa ni kutoka kwa Wazazi wake ambao walimuona Kijana wao kama amechanganyikiwa vile au amekuwa Mento, na baba yake alimuhakikishia kwamba asingiweza fika popote pale na Biashara kwa sababu hata yeye alijaribu kufuga akashindwa, na kuku walikufa wote.

HIVYO MUGUKU ALIKUWA AMECHOMA MELI MOTO NA PALE ALIKUWA ANONGOZWA NA SPRIT NA SI KINGINE KILE,

2. Katika Entreprenership Spirit huwezi sema mimi ngoja nijifunze kutoka kwa Jirani jinsi ya kuondoa Uoga, mkuu uoga ni kutoka moyoni mwako.
Huwezi Jifunza kwa jirani jinsi kuwa mvumilivu katika biashara, na huwezi sema Fulani mbona kavumilia kwenye biashara na mimi ngoja ni vumilie tu, na hakuna mkuu the only passion ndo itakayo kufikisha hapo,
Kujifunza Kuuza na jinsi ya Kuandika mchanganuoa sio Tiketi yaw ewe kuweza kupambana katika biashara,

MJASIRIMALI NA KUCHOMA MELI MOTO
Uchomaji meli moto ni wa muhimu kwa sababu hapa haijalishi una elimu kiwango gani, uejifunz akiwango gani au una pesa kiasi gani,
- Ni wangapi wamejaribu mara nyingi kutaka kuingia kwenye kujiajiri wenyewe na wameshindwa kabisa? Unazania ni elimu wamekosa? Au unazania wamekosa sehemu ya Kujifunza?
- Ni wangapi wamejaribu kutaka Kujaajiri na kukumbana na vikwazo vya wapenzi wao?
- Ni wangapi wameshauriwa na kuacha kabisa?
- Swala kama la kukumbuka Mshahara mnono unao lipwa, Malupulupu, Gari la Ofisini, Nyjumbana kazalika, hutatiza watu kuingia kwenye ajira bianafisi, hapa haihitaji kwenda shule, ili uweze kuacha kazi na kuingia kwenye ajira yako mwenyewe,
- Ni wangapi wamejaribu biashara na kuacha kabisa mara tu baada ya kushindwa? Ni wengi sana,


HIVYO KUNA VITU UNAWEZA JIFUNZA KWA JIRANI AU CHUONI KAMA KUUZA , KUHUDUMIA WATEJA NA KAZALIKA,
- Huwezi jifunza kwa mwenzako uvumilivu katika biashara, never,
- Huwezi jifunza kutoka kata tama, make kama kuto kata tama kunafundishwa wengi tungekuwa mbali make wako watu wengi wakujifunza kwao kama wakina Mengi,


ELIMU TUNAZO SOMA HUMU NA TUNAZO SOMA VYUONI ZINATUSAIDIA YAFUATAYO
- Jinsi ya kufanya biashara na watu wengi
- Jinsi ya kuuza
- Jinsi ya kupanga bei
- Jinsi ya kuandaa michanganuo
- Jinsi ya kupunguza gharama za uendeshaji wa biashara
- Jinsi ya Kuajiri wafanyakazi

SWALA ZIMA LA WEWE KUINGIA KWENYE DUNIA YA UJASIRIMALI LIKO MKONONI MWAKO, HAUHITAJI KUHUDHURIA CHUONI, AU KWENDA SEMINA, AU KUANGALIA KWA JIRANI NDO UCHOME MELI MOTO,
Ishu ya Kuchoma Meli moto linatoka moyoni mwako kwa sababu ni Maamuzi magumu sana yasiyo hitaji chochote kile bali Ujasiri, Kuchoma meli moto hakuhitaji semina,
- Hakuhitaji ushauri kutoka kwa jirani wala rafiki wala mpezi wako
- Kuchoma meli moto hakuhitaji kujipanga,
- Kuchoma meli moto hakuhitaji tahadhari



Hivyo fikilia ya Fuatayo
- Je umekuwa ukiogopa kuingia kwenye dunia ya ujasirimali?
- Je umewahi jaribu mara kibao kutaka kuanzisha biashara ila roho inasita?
- Umewahi mara ngapi kujiwekea time frame yaw ewe kuingia kwenye Dunia hiyo na mara zote hujawahi ifuata?
- Ni mara ngapi umeshauriwa na Mpenzi wako/washikaji/wazazi/Majirani na kazalika kuhusu ishu ya ujasirimali na kukuatahadharisha na wewe kukubaliana nao?
ThePointOfNoReturn.png

SO KWENYE DUNIA YA UJASIRIMALI INAHITAJIKA ONLY POINT OF NO RETURN
 
Ujuzi; Elimu; Maarifa...

Vyote vinachangia positively ingawa haimaanishi kukosa vyote au kimojawapo inamaanisha hautafanikiwa.., ila kama hauna kimojawapo ukikipata ni faida zaidi sababu utakuwa umeongeza skills.

Ujuzi : Nadhani hii ni no brainer..., bila kujua / ujuzi na unachofanya unless una mtu anayejua mwisho wako utakuwa sooner rather than later

Elimu : Sijui ni Elimu gani inayozungumziwa hapa je ni elimu ya kile unachokifanya hence maarifa au ni elimu / just educated ? sababu sometimes elimu ya mtu inaweza ikamfanya ajione kwamba anajua sana akawa mgumu kuchukua ushauri wa watu.
 
Ujasiriamali ni inborne character, its like the way huyu anazaliwa na sauti nzuri inayofaa kuimba, na huyu inafaa kuwa mtangazaji, na huyu ni mcheza mpira, ujasiriamali ni kipaji. Sasa kusema hivyo haimaanishi kuwa watu hawawezi kusoma na kufundishwa kuwa wajasiriamali. Unaweza kuwapata trained entrepreneurs na wakawa vizuri tu, sababu unawafundisha principles muhimu za ujasiriamali. Ni kama wacheza soka , Wengi tunajua kuwa WaCHEZA SOKA WANA VIPAJI, lakin still tuna soccer academy, same to music, music ni kipaji lakin bado tuna music schools, ni hivi mtu anazaliwa na kipaji lakin hizi academy zina kazi ya kumfundisha principles. Wachagga, wahindi,jews,wakinga etc ni mfano wa group za watu ambazo most scholars believe kwamba wana zaliwa wakiwa tayari na character nyingi zinazomfanya mtu aitwe mjasiriamali.
 
Back
Top Bottom