reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Hawafanyi necta haoNa hio ni shule ambayo hata haipo kumi bora kitaifa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawafanyi necta haoNa hio ni shule ambayo hata haipo kumi bora kitaifa..
Ndondo cup au siyoo[emoji38][emoji38][emoji38]Hawafanyi mitihani yenu master ukiona huoni matokeo Yao maana yake upo upo kwenye ligi ndogo bado
Benjamin Fernandez yule aliyeanzisha NALA alumnis wa IST na Havard UniversityWatoto wanaosoma hizo shule kama IST ni wa wafanyabiashara wakubwa hawana njaa za kuingia kwenye msoto wa siasa mpaka watoboe.
Tayari pesa wamezikuta nyumbani wanaenda kusoma kuja kuendeleza biashara za familia.
Mfano ni Mohammed Dewji ni alumnus wa IST
Anashiriki ndondo anasuburi matokeo ya EPL 😁Ndondo cup au siyoo[emoji38][emoji38][emoji38]
Amiyn alianza na mtoto wa esma niliona ameenda study tour UKMashallah, Nassibu amevunja generation curse.
Na sisi kila mmoja wetu kwa nafasi yake mwenyezi Mungu atujalie tuweke utofauti na waliotutangulia katika familia na koo zetu.
Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Naomba kufahamu unajishugulisha na nn? Unafanya kazi gn?Kama mpaka umri uliofikia hujui kutofautisha achievement ya nchi kutokana na sera ya uongozi fulani kwa wakati husika una hasara kubwa!
Kama una elimu yako ya kuungaunga kachome vyeti ukauze viazi mviringo na ndizi mzuzu soko la mabibo.
we mama huna hata haya. Kwanza hata Mume huna!
usiku wa manane unazengea vijana wadogo wakuzagamue
Hata kmyaleyale tu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatariiii.Yaani, we acha tu...[emoji23]
Hata kama ukipata viza ya kusoma UK, unaweza kuleta familia yako na watasoma bure
Wahindi wanapambana hasa kwenda Europe kwa dhumuni moja tu, kusomesha watoto wao.
Wafanyakazi wa balozi za bongo, huwa wanasomba mpaka vitukuu, lakini wakitumbuliwa ndio mwisho wake[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani kwann lakini?Bora uzae watoto wachache uwapeleke kwenye hizo shule.
Kwa huu mtaala mpya, Serikali inataka kuzalisha Wajinga wengi Nchini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutafute pesa kwa kweli mi nililipa laki sita tu ya ada na laki na ishirini ya usafiri kidogo kichwa kipasuke kama bisi.Njia nzima najishauri tu .
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hawa ndio wanasoma wengine tulienda kukua tuje tubebe tofar hapa saiti muda huu jua kal bos hatak mvua anaombea jua lizid kuwa kali sana na sana
MmhhhhHivi hakuna wanaosoma havard kupitia huu mtaala wa necta? Nauliiza tu Ila pia kila mtu anaenda anapoweza kikubwa usifanye kutaka sifa ama tukufahamu na tukupe heshima unasomesha Shule za gharama.
Ameshindwa kusomesha ist Ada huko Ni 90M kwa mwaka. Huko USA zipo mpaka za 150M kwa mwaka. Bado Naona amepeleka pa Bei rahisi mno ambalo hata mwalimu anaweza somesha mwanae
Bado umepambana Sana kaka hata hvyooMwenyewe nilijaribu wanangu niwapeleke Feza schools kutwa ada shilingi 8,500,000 kwa mwaka.
Hapo bado michango ya shule n.k.
Kwa watoto watatu nimeshindwa, nimeambulia shule za ada shilingi 4,000,000 kwa Mwaka.
Waswahili tuna msemo wetu kuwa "Jikune Mkono unapofikia"
Anamnunulia Mkewe reeeenjiiiiAlafu baadaye umezeeka unamwambia mtoto akupeleke checkup India anakwambia hana hela
Kuna Feza schools na Feza international,zile Feza international ada ni 23m per year ,hizi za kawaida ada nadhani 7m plus to 8mKati ya breburn na feza school ipi. IPO juu