Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Sawah Ila hajasomaKakuzidi kimaisha by far
Ni tejahh
Ana kizazi Cha wanjingahhh😂😂😂
Mie kwetu wasomi🤣🤣
Hata billgate ni msomi
Hajazaliwa na mamantilie wa buza🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawah Ila hajasomaKakuzidi kimaisha by far
Yh mshua wake ana mawe ya kutosha hawana njaa, kazaliwa kazikutaBenjamin Fernandez yule aliyeanzisha NALA alumnis wa IST na Havard University
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawah Ila hajasoma
Ni tejahh
Ana kizazi Cha wanjingahhh[emoji23][emoji23][emoji23]
Mie kwetu wasomi[emoji1787][emoji1787]
Hata billgate ni msomi
Hajazaliwa na mamantilie wa buza[emoji120]
1.)Na usomi wenu hata rolls royce hujawahi iona live na hamna mtu kwenye kizazi chenu aliyewahi kumiliki.Sawah Ila hajasoma
Ni tejahh
Ana kizazi Cha wanjingahhh😂😂😂
Mie kwetu wasomi🤣🤣
Hata billgate ni msomi
Hajazaliwa na mamantilie wa buza🙏
Achana na huyo mmama single maza mkuu ana wivu huyo 🤣🤣😎Kakuzidi kimaisha by far
Dada yangu acha wivu haikusaidii hata kidogoSawah Ila hajasoma
Ni tejahh
Ana kizazi Cha wanjingahhh😂😂😂
Mie kwetu wasomi🤣🤣
Hata billgate ni msomi
Hajazaliwa na mamantilie wa buza🙏
[emoji3][emoji3][emoji3]Hao humwezi Kutana popote labda kanisani mkuu
Le Mutuz alisomaga wapi?View attachment 2812618
View attachment 2812721
Pongezi kwake Naseeb Abdul kwa kuamua kuvunja kibubu kumsomesha mtoto wao yeye na Tanasha Donna aende kupata elimu bora yenye hadhi ya juu, Kama ulikuwa unajiuliza kina Mo walisoma wapi, kina Bakhresa na Gsm wanasomesha watoto wapi, watoto wa mabalozi wanasoma wapi, n.k. jua ya kwamba ni hapa hapa Tanzanja wala sio nje ila shule hizi ni Internationa schools, Ni shule ambazo zipo kila nchi zenye kufuata mitaala ya kimataifa, hata uende Uingereza, Marekani, Dubai, n.k. kuna shule za serikali na private kama huku kwetu lakini kuna shule maalum zinaitwa International schools.
Achana na hizi shule za hapa bongo zilizojipachika majina ya international kimagumashi, Shule international haiwezi kufuata mtaala wa Necta, shule hizi zina mitihani yao maalum ya kimataifs, wana tarehe za likizo tofauti, n.k. vitu wanavyofanana na shule zingine ni kufuata sheria za nchi mfano kutoruhusu matumizi ya dawa za kulevya, ushoga, udini, n.k.
International school zinazofuata mitaala ya kimataifa kama cambridge, Mwanafunzi anaweza kuhama Marekani leo hii na kesho akifika Tanzanja anaendelea na masomo ya jana kama kawaida.
Ni maalum zaidi kwa watoto wa mabalozi na watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya kimataifa wanaohama hama nchi, ada za watoto wa mabalozi zinalipiwa na serikali zao, wale wa mashirika ada zinalipwa na mashirika yao.
Ada ni ndefu sana endapo ukitaka kumsomesha mtoto wako kwa pesa zako mwenyewe inabidi usiwe na pesa za mawazo, hata watoto wa Bakhresa, Gsm, Mo wanasoma hapa hapa Tanzania lakini ni kwenye hizi International schools.
International schools ni levels nyingine, hata marekani wana shule zao za serikali na private kama huku kwetu lakini kuna international schools za tabaka la wqchache.
Ada ya mwaka kwa chekechea ni dola 8,395, kwa pesa za kitanzania ukizidisha kwa shilingi 2,500 ni takribani shilingi milioni 21.
Faida za kusomesha shule za international:
- Mtoto anapata exposure ya kuishi na watu wa mataifa mbali mbali, shuleni kuna waarabu, wahindi, wachina, wabrazil, wanaijeria, wakenya, n.k.
- Darasa moja halizidi wanafunzi 20
- wanafundishwa lugha za kimataifa kama kiingereza, kifaransa na spanish kwa ufasaha (kuandika, kusoma, kuongea, lafudhi, usikivu) kama ni yai wanatema lile original (hata Wema Sepetu kapitia huku yai analicharaza haswa), asikudanganye mtu hizi shule za english medium tumezisoma ila tulichoambulia ni kuweza kuandika na kusoma kiingereza kwa level ya kawaida sana, kwenye kuzungumza tunapata sana taabu kwa hizi lafudhi za kibantu (ze boi, ze geli, do zisi, do zati), mzungu wa Marekani au Uingereza mkiongeleshana inakuwa ni kudonoa baadhi ya maneno. huko International walimu ni waingereza, wajerumani, wahispania, n.k. wanafundisha lugha fasaha, na uzuri ni kwamba hata nje ya darasa lugha inayotumika ni kiingereza hakuna haja ya kuwalazimisha.
- Mtoto ana chance kubwa ya kuja kusoma vyuo bora duniani kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k.
- kusafiri nje ya nchi kwajili ya trips.
- watoto wanapata connections za watoto wenzao wazito, huwa zinawasaidoa sana hasa wakianza maisha ya kujitegemea, sehemu ambayo mtu unaweza kuchukua mwaka kuingia wao ni suala la kupiga simu tu.
- Mtoto anapata moto mkali vibaya mno akisoma hizo shule hawezi kuridhika anavyoitwa wa kishua na rafiki zake wa kibongo, anaingia rasmi kwenye tabaka la malengo ya kuingiza walau milioni 20 kwa mwezi ili aweze kuja kuendana na wenzake, sio kuwaza mishahara ya milioni 3
- Kibiashara ni shule zinazoweza kukuza biashra za familia, Kama baba ni tajiri wa mashamba ya maparachi anayouza kwa wakenya basi mtoto kwa connections na exposure anaweza kupata masoko ya ulaya moja kwa moja na hata kuanzisha kiwanda cha bidhaa, kusoma hizi shule ni sawa na mtu alieishi sana Dar anaenda kijijini anaweza kuona fursa kibao.
- kwenye kuanzisha biashara kwa wale wasio na biashara za familia zinawasadia, wana uwezekano mkubwa wa kupata wadhamini / grants hasa katika nchi zetu hizi masikini, wana connections za wenzao wa mashirika ya kimataifa na wana exposure, Mfano ni Benjamin Fenandes app yake ni ya kawaida tu lakini imejipatia misaada ya pesa ndefu sana, na hivi sasa kaihamishia huko Kenya, connections na kuwa na exposure ya kuishi nchi zingine kunasaidia.
- Ajira zenye maokoto marefu, kwa wale wataoamua kufanya ajira mara nyingi hufanya kazi mashirika ya kimataifa kama UN, AU, EAC, Google, Microsoft, n.k. exposure wanayopata, kuzicharaza lugha za kimataifa na connections walizonazo zinawabeba.
Bora were mkuu Lucha, mi nili kuwa nasoma kwa mwanga wa radi.Si angalau hata wewe umesoma English medium.
Mi ilifika hatua nyumban hamna taa nikawa nasoma kwa hisia kwa kupapasa daftari huku nimefunga macho
Dah aisee Ume bahatika Sana, kumbe uli kuwa na madaftari😃.Bora we umesoma kwa mwanga wa radi mi ilifika hatua nikawa nanusa tu daftari nalala
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora we umesoma kwa mwanga wa radi mi ilifika hatua nikawa nanusa tu daftari nalala
atakua alisoma shule za kawaida tu, udogoni alilelewa na mama yake sio baba yake aliekuwa waziriLe Mutuz alisomaga wapi?
Usekwen u knowatakua alisoma shule za kawaida tu, udogoni alilelewa na mama yake sio baba yake aliekuwa waziri
Eh nini kinaendelea hapa😂😂😂😂😂1.)Na usomi wenu hata rolls royce hujawahi iona live na hamna mtu kwenye kizazi chenu aliyewahi kumiliki.
2.) na usomi wenu hamna mwenye mali hata 25% ya alichonacho domo.
3.) mama ake alikuwa mama ntilie ila saivi katakata kangaa
We mmama embu lea watoto wako huko wanakutegemea sana au bado unaendelea kudangia vijana na sura yako mbovu?
View attachment 2816058
As if kidnapping is simple like that ,[emoji4][emoji4]Umefanya makosa kutaja shule anayosoma mtoto wa Diamond. Watu wenye nia mbaya wanaweza kum kidnap na kumtaka ransom kuutoka kwa wazazi wake. Naamini hata Braeburn School wakiona hii thread hawatapendezwa
Dada una hekima sana !Mashallah, Nassibu amevunja generation curse.
Na sisi kila mmoja wetu kwa nafasi yake mwenyezi Mungu atujalie tuweke utofauti na waliotutangulia katika familia na koo zetu.
Moja ya tatu izingatiwe!Mil 20 kwa Mwaka si pesa ndefu kwa huyo Jamaa, ila kwa Mimi kapuku.. aisee huo ni mkopo wa miaka 8 nakatwa kila mwezi mpk hela ya watu irudi..[emoji1787]
'system' hufanya selection ya watu wake.Sio kwamba Fikra zimepitwa na wakati... hilo la vigogo kusomesha shule kali watoto wao nalijua pia.
Hunielewi na huwezi kunielewa na hautanielewa. Nchi kuongozwa na kiongozi wa aina fulani kunataka protokali mzee ambazo katu hutakaa ukazijua wewe mwananchi wa kawaida.
Tuombeane uhai uone kama nchi itakujwa kuongozwa na waliosoma IST na Braeburn... unafkiri sisi ni mazwazwa sana? [emoji3][emoji3][emoji3]
Wataishia hukohuko ilipopataja, kuwa Rais kuna nidhamu zake bwamdogo. Huwezi katu kuyajua hayo mpaka uwe kwenye game