Elimu ya bima na ujasiriamali zifundishwe kuanzia ngazi ya shule ya msingi

Elimu ya bima na ujasiriamali zifundishwe kuanzia ngazi ya shule ya msingi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Nimesikitishwa sana na taarifa za kuungua kwa soko la Kariakoo.

Hasara iliyopatikana ni kubwa mno, haswa ikizingatiwa kuwa wafanyabiashara wetu hawana elimu ya kutosha ya bima, hivyo huwa hawakati bima, ni wachache Sana wenye kufanya Jambo hili.

With wangu kwa serikali hasa wizara ya elimu, ufundishwaji wa somo la ujasiriamali uanzie ngazi ya shule ya msingi na elimu hiyo itolewe sambamba na elimu ya bima ili pale wafanyabiashara wetu wakipatwa na majanga, waweze kufidiwa na bima walizokata.
Hotep, Hotep.
 
Kweli kabisa Bujibuji,likifundishwa mashuleni kwa faida ya wote itapunguza stress kwa wafanybiashara,maana wengine wamekopa!Bima wanakufidiaje kama hukuwa mwanachama wa Bima!?Ikifundishwa mfanyabiashara anajiunga mwenyewe,maana anakuwa na elimu hiyo na umuhimu wake anaujua.
 
Back
Top Bottom