King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 141
- Thread starter
- #21
Usikate tamaa,kumbuka kila kitu kinatokea kwa sababu!
Mmmmh..!!! Hayaa.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikate tamaa,kumbuka kila kitu kinatokea kwa sababu!
sijui hata wa kumlaumu nani..!!
Ni baada ya kukosa mkopo mimi mtoto wa MKULIMA.!
Kozi LLB ya pale Mzumbe.!!!
Waliopata mkopo mkasome na sio mkaendekeze hanasa.!!
Elimu ya kujitegemea iliwasaidia sana watz wa enzi za baba wa taifa. Darasa la saba wa enzi hizo anamiliki magari, mashule, vituo vya mafuta n.k. na kuwaajili magraduates.