Elimu ya darasani haina faida zaidi ya kutengeneza vijana tegemezi

Elimu ya darasani haina faida zaidi ya kutengeneza vijana tegemezi

Umeelezea au umefafanunua ... wasomi kingereza hamjui ila mnapenda kukitumia huo ni ujinga wa kwanza.
Potelea mbali kiingereza halikusaidii bado. Huwezi jaji ubora wa elimu Kwa kigezo cha ajira. Mana ajira ni kesi tofaut na elimu... Mambo ya kisasa yote yanaenda na elimu hii hii inavyoonekana haifai. Cha ajabu elimu inaonekn haifai kila tukiwaangalia waliokosa ajira. Narudia kusema ya Ajira ni mengine kabisa sio ya elimu ya darasani
 
Nimekuuliza wewe kwenye familia yako msomi nani? Au mwingulu ndugu yako
Nimekuambia wapo wengi wamefanikiwa na wanajitegemea na nikakujibu kwa kukupa historia ya Mwigulu, au hukuelewa kama umeuliza maswali mawili yaliyohitaji majibu mawili...usichoelewa ni kipi ?
 
Potelea mbali kiingereza halikusaidii bado. Huwezi jaji ubora wa elimu Kwa kigezo cha ajira. Mana ajira ni kesi tofaut na elimu... Mambo ya kisasa yote yanaenda na elimu hii hii inavyoonekana haifai. Cha ajabu elimu inaonekn haifai kila tukiwaangalia waliokosa ajira. Narudia kusema ya Ajira ni mengine kabisa sio ya elimu ya darasani
Umeelewa nilichoandika au? ajira na elimu vitu viwili tofauti si ndio sasa unasoma ili iweje kwa elimu yetu ya kibongo.
 
Nimekuambia wapo wengi wamefanikiwa na wanajitegemea na nikakujibu kwa kukupa historia ya Mwigulu, au hukuelewa kama umeuliza maswali mawili yaliyohitaji majibu mawili...usichoelewa ni kipi ?
Mwingulu amejiajiri au ameajiriwa
 
Elimu tunayoipata na kutoa kiukweli haina uhalisia wa maisha kabisa.....hivi leo mtoto anasoma na kumeza mambo ya vita kuu ya dunia ya mwaka 1914 ili iweje labda???? Vita vya majimaji vinamsaidia nini sasa???
We ni mjinga sijawahi pata kuona.
Unafahamu Ulaya wanafundishwa Eurocentric views? Unafahamu ni kwanini?
Ni kufahamu historia, wapi wazee wa zamani walikosea na tufanyeje turekebishe makosa.
Bila kumfundisha mtoto Vita vya majimaji, hataweza kufahamu kuwa hatukuwa na Teknolojia sahihi, teknolojia yetu ilikuwa hafifu na pia Uchawi hauna faida yoyote.
 
We ni mjinga sijawahi pata kuona.
Unafahamu Ulaya wanafundishwa Eurocentric views? Unafahamu ni kwanini?
Ni kufahamu historia, wapi wazee wa zamani walikosea na tufanyeje turekebishe makosa.
Bila kumfundisha mtoto Vita vya majimaji, hataweza kufahamu kuwa hatukuwa na Teknolojia sahihi, teknolojia yetu ilikuwa hafifu na pia Uchawi hauna faida yoyote.
we ndo mjinga kabisa 📌 kwahiyo mtu kumfunidisha wizi ni elimu sahihi. Soma comment ya kiongozi utaelewa alichoimanisha. Ni sawa unafundishwa logalism afu kwenye maisha yetu unakutana nayo wapi? Kingine unapotoka form2 kwenda 3thd unaambiwa uchague vipindi kwanini unapoanza form one ukachague vipindi hivo. Mfumo mzima wa elimu Tanzania ni mbovu. Tunahitaji elimu sio tumalize elimu tupate Ajira.
 
Hemedi utaingia kwenye ignirant list ya watu wengi mnoo. Huwez jaji ubora wa elimu Kwa kigezo cha ajira. Ya Ajira ni mengine kabisa na yanasababishwa na kitu kingine kabisa sio kinachofundiahwa darasani
Watu ni wajinga mno.
Hata tukibadilisha mitaala ya elimu, tusiporuhusu foreign investors kama Google wainvest hapa, tutalalamika tena.
 
We ni mjinga sijawahi pata kuona.
Unafahamu Ulaya wanafundishwa Eurocentric views? Unafahamu ni kwanini?
Ni kufahamu historia, wapi wazee wa zamani walikosea na tufanyeje turekebishe makosa.
Bila kumfundisha mtoto Vita vya majimaji, hataweza kufahamu kuwa hatukuwa na Teknolojia sahihi, teknolojia yetu ilikuwa hafifu na pia Uchawi hauna faida yoyote.
Ni sawa, endelea kumfundisha mwanao vita yya majimaji kisha akimaliza shule akafungue duka afanye application ya hivyo vita kwenye biashara yake.....ni rahisi sana
 
Nyerere wakati wa hotuba yake aliwahi kusema Wanaojiita wasomi ndo walioiharibu elimu yetu kwa kuongeza madarasa. Awali ilitakiwa iwe elimu ya msingi pekee mtoto akisha pata kinachofuatia ni elimu ya ujuzi. Yani mtoto ataanza darasa la kwanza hadi la saba baada ya hapo aende elimu ya ujuzi ikiwemo mambo ya ufundi, ushonaji na ubunifu akitoka pale akirudi kwao anauwezo wa kua mjasiliamali na kujitegemea badala yake hawa wasomi ndo wakaamua kuharibu kabisa.
 
Ni sawa, endelea kumfundisha mwanao vita yya majimaji kisha akimaliza shule akafungue duka afanye application ya hivyo vita kwenye biashara yake.....ni rahisi sana
Huwezi endelea bila kujua historia hapo nyuma.
Lazima ufahamu wapi watu walifanikiwa na wapi walifeli na kujitahidi kutorudia kosa.
Biashara ipo hivyohivyo , lazima mtoto ajifunze historia ya uchumi na biashara ajue mwanzo na mwelekeo.
 
Huwezi endelea bila kujua historia hapo nyuma.
Lazima ufahamu wapi watu walifanikiwa na wapi walifeli na kujitahidi kutorudia kosa.
Biashara ipo hivyohivyo , lazima mtoto ajifunze historia ya uchumi na biashara ajue mwanzo na mwelekeo.
Sawa kijana mwenye akili nimekuelewa
 
Hapa nahitaji kufahamu maana halisi ya Elimu. Elimu ni nini?
🤔 me najua unapopata elimu means unaweza tatua changamoto zinazokabiri jamii yako na kuleta maono mapya ndo maana ya elimu.
hata jamii inasema sisi tunamsomi..

Ni kawaida kwa aliye na ajira kudhani wasio nazo ni wajinga
 
Huwezi endelea bila kujua historia hapo nyuma.
Lazima ufahamu wapi watu walifanikiwa na wapi walifeli na kujitahidi kutorudia kosa.
Biashara ipo hivyohivyo , lazima mtoto ajifunze historia ya uchumi na biashara ajue mwanzo na mwelekeo.
Pamoja na maelezo yako ila tuwe wakweli hii elimu inayotolewa hapa nchini haimuandai mtoto kupambana dhidi ya mazingira aliyopo. Ukisema mtoto akae darasani kujifunza tu historia ya jamii yake akimaliza shule atafanya nini sasa na hio historia aliyoisoma akiwa shule? Wakati huo hana ujuzi hana maarifa ila anaielewa jamii yake ilipitokea...
 
Tatizo saivi ni kuyabadili hayo maono kuwa pesa...ndio maana vijana wanaojilipua wako Sero...eg Jatu
 
Back
Top Bottom