Elimu ya form four iongezwe masomo zaidi, kuna maprofesa hawajui umuhumu wa kusoma topic electrolysis na electroless

Elimu ya form four iongezwe masomo zaidi, kuna maprofesa hawajui umuhumu wa kusoma topic electrolysis na electroless

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
Nimekutana na professor mmoja mbobezi katika kupractise na kufundisha sheria shule kuu ya sheria chuo kikuu Dar es salaam katika hotel Moja hapa Kariakoo.

Ghafla tulifikia mada ya ubora wa elimu Tanzania. Nikamwambia watoto wanamaliza wapo weupe na mbaya zaidi hawajui hata haki zao. Akaniambia chanzo ni watoto wanasoma vitu vingi sana wapunguziwe. Mimi nikamwambia wanasoma vitu vichache sana anamaliza wanajua kusoma na kuandika.

Ghafla akarukia kuwa yeye Haoni umuhimu wa electrolysis. Nikamuuliza una Gari? Nikamwambia unayo miaka mingapi akaniambia huu ni mwaka wa tano. Nikawambia bila electrolysis itadumu mwa mmoja tu.

Nikamuuliza una saa hapo akasema ndio. Ugejisikiaje kuvaa mabati yenye kutu?
Akashangaa akaniuliza umesoma Tanzania? Nikamwambia ndio sijawahi kukutana na mtanzania mwenye uwezo kama wako.

Akaniuliza nini kifanyike nikamwambia form ndio elimu pekee mwanafunzi anatakiwa kutawala mazingira yake. Baada ya hapo anajiandaa na professionals. Akakubaliana na Mimi kuwa masomo yaongezwe halafu wanafunzi wasichague masoma ili wapate muongozo wa ulewa wa mambo ya nayo wazunguka.
 
Dah hebu ngoja waje wadau kufafanua maana hapa nimetoka empty
 
Umejitaidi Kwa mazungumzo,,, lakin Kwa hiyo level elimu yetu Bado sana maana hata waaalimu wanaokuja kumfundisha mwanafunzi wengi wao walivushwa Kwa hongo,, lakin pia ukiangalia serikali yetu hajajikita Zaid katika usomeshaji watu WA vipaji vikubwa,, na pia wanafunzi wao baada ya kusomeshwa wanakuwa madalaja ya watu kupita kwenda kufanya Yao makubwa, mm pia nasema mwanafunzi asichague masomo mwanafunzi anapaswa asome masomo yote ili kupata uelewa WA aina Aya mazingira yanayonguka maana yuko shule kuondoa ujinga na kupata elimu ya kumsaidia kuelewa mambo tofaut tofauti juu ya taifa lake



Ahxnteni
 
Umejitaidi Kwa mazungumzo,,, lakin Kwa hiyo level elimu yetu Bado sana maana hata waaalimu wanaokuja kumfundisha mwanafunzi wengi wao walivushwa Kwa hongo,, lakin pia ukiangalia serikali yetu hajajikita Zaid katika usomeshaji watu WA vipaji vikubwa,, na pia wanafunzi wao baada ya kusomeshwa wanakuwa madalaja ya watu kupita kwenda kufanya Yao makubwa
Nadhani miongozo mingi ya Elimu imepotoshwa kwahiyo nchi nzima haina elimu kabisa. Professor anaweza kuongea utumbo ukashangaa
 
Nimekutana na professor mmoja mbobezi katika kuplactise na kufundisha sheria shule kuu ya sheria chuo kikuu Dar es salaam katika hotel Moja hapa Kariakoo.

Ghafla tulifikia mada ya ubora wa elimu Tanzania. Nikamwambia watoto wanamaliza wapo weupe na mbaya zaidi hawajui hata haki zao. Akaniambia chanzo ni watoto wanasoma vitu vingi sana wapunguziwe. Mimi nikamwambia wanasoma vitu vichache sana anamaliza wanajua kusoma na kuandika.
Ghafla akarukia kuwa yeye Haoni umuhimu wa electrolysis. Nikamuuliza una Gari? Nikamwambia unayo miaka mingapi akaniambia huu ni mwaka wa tano. Nikawambia bila electrolysis itadumu mwa mmoja tu.

Nikamuuliza una saa hapo akasema ndio. Ugejisikiaje kuvaa mabati yenye kutu?
Akashangaa akaniuliza umesoma Tanzania? Nikamwambia ndio sijawahi kukutana na mtanzania mwenye uwezo kama wako.
Akaniuliza nini kifanyike nikamwambia form ndio elimu pekee mwanafunzi anatakiwa kutawala mazingira yake. Baada ya hapo anajiandaa na professionals. Akakubaliana na Mimi kuwa masomo yaongezwe halafu wanafunzi wasichague masoma ili wapate muongozo wa ulewa wa mambo ya nayo wazunguka.
Ntarudi soon
 
Umejitaidi Kwa mazungumzo,,, lakin Kwa hiyo level elimu yetu Bado sana maana hata waaalimu wanaokuja kumfundisha mwanafunzi wengi wao walivushwa Kwa hongo,, lakin pia ukiangalia serikali yetu hajajikita Zaid katika usomeshaji watu WA vipaji vikubwa,, na pia wanafunzi wao baada ya kusomeshwa wanakuwa madalaja ya watu kupita kwenda kufanya Yao makubwa, mm pia nasema mwanafunzi asichague masomo mwanafunzi anapaswa asome masomo yote ili kupata uelewa WA aina Aya mazingira yanayonguka maana yuko shule kuondoa ujinga na kupata elimu ya kumsaidia kuelewa mambo tofaut tofauti juu ya taifa lake



Ahxnteni
Serious kabisa sikupingi, anaweza akawa sawa katika alichozungumza ila pia kuboresha hata hao waleta hiyo elimu sasa unafundishwa machine mfano tu muhusika hata hiyo machine hajui.
 
Inawezekana kuna vitu vina umuhimu mkubwa ila kwa ufundishaji wa Tz unafanya vionekana havina maana kwani zimebase katika kukariri na sio uelewa na kumjenga mwanafunzi.Kuna vitu vya O_level nilikariri nilijua umuhimu wake baada ya kusoma vitabu vya mitaala ya nje nikakuta wameeleza vizuri sana kwa namna bora ya kumjenga mwanafunzi .

Kingine ni mazingira mabovu ya ufundishaji vitu vya kusomea maabara vinasomwa kama theories,hata ikitokea kuenda maabara idadi ya vifaa inakuwa vichache kuhimili idadi ya wanafunzi.Mimi shule nilizopitia asilimia kubwa ya vitu vya maabara tumesoma kea kukariri kama theories isipokuwa vile ambavyo vinatoka kwenye mtihani maalaumu ya practical hapo tulienda Lab.
 
Serious kabisa sikupingi, anaweza akawa sawa katika alichozungumza ila pia kuboresha hata hao waleta hiyo elimu sasa unafundishwa machine mfano tu muhusika hata hiyo machine hajui.
Nichangamoto kabisa yaani Mimi nisingesoma na ngozi nyeupe ningekuwa kilaza mwelevu
 
Back
Top Bottom