Elimu ya form four iongezwe masomo zaidi, kuna maprofesa hawajui umuhumu wa kusoma topic electrolysis na electroless

Elimu ya form four iongezwe masomo zaidi, kuna maprofesa hawajui umuhumu wa kusoma topic electrolysis na electroless

Kujua electrolysis kuna kusaidia nini kama kama wewe sio sonara au mfuaju wa madini?
Profesa alikuuliza umesoma nje kwa kujua umuhimu wa electrolysis, Mh!.
Mfanyakazi wa benki electrolysis inamsaidia nini?
Bado kuna watu mnaamini masomo yaongezwe wakati yaliopo tu wanafunzi hawayamudu, hata wakijua masomo yote kwa faida gani? Hufanyii application popote kama wewe sio mtaalamu wa hio sekta.
Mzee kishimba kafundidha bungeni kuwa tuwafundishe watoto kutafuta pesa.
Elimu ilenge kutafuta pesa.
Elimu imejaa mitandaoni halafu unataka ukariri mambo mengi, ya nin?
Mimi mkulima wa viazi njombe, historia ya Hitler inanisaidia nini katka maisha yangu?
Mfuzikia,a na mkemia, engineer hio elect.. ni halali yao sio mwalimu wa kiswahili, au IT haimpunguzii chochote kutoijua.
 
Nimekutana na professor mmoja mbobezi katika kuplactise na kufundisha sheria shule kuu ya sheria chuo kikuu Dar es salaam katika hotel Moja hapa Kariakoo.
hii plactise ndio nini tena? Na mimi niunge kwa huyo 'Plofesa' maana nimeshindwa kuelewa.
 
Kujua electrolysis kuna kusaidia nini kama kama wewe sio sonara au mfuaju wa madini?
Profesa alikuuliza umesoma nje kwa kujua umuhimu wa electrolysis, Mh!.
Mfanyakazi wa benki electrolysis inamsaidia nini?
Bado kuna watu mnaamini masomo yaongezwe wakati yaliopo tu wanafunzi hawayamudu, hata wakijua masomo yote kwa faida gani? Hufanyii application popote kama wewe sio mtaalamu wa hio sekta.
Mzee kishimba kafundidha bungeni kuwa tuwafundishe watoto kutafuta pesa.
Elimu ilenge kutafuta pesa.
Elimu imejaa mitandaoni halafu unataka ukariri mambo mengi, ya nin?
Mimi mkulima wa viazi njombe, historia ya Hitler inanisaidia nini katka maisha yangu?
Mfuzikia,a na mkemia, engineer hio elect.. ni halali yao sio mwalimu wa kiswahili, au IT haimpunguzii chochote kutoijua.
Point Yako inamashiko ila siyo saana hailengi kitu tunachozungumzia kiuhalisia,, hivi tuchukulie wote tuwe ma-teller bila kuwa na taaluma zingne inchi itaendeshwa na ma- teller tu;??? Mfano mzuli pia ww hPo nyumbn kwako ndyo umesoma na sijui unataaluma Gani lakin huwezi kushindwa kupachika bulb kweny holder ili taa iwake japokuwa si taaluma Yako unaweza kufanya hvyo,, ko mm naona elimu watu wasome masomo yote wasibague masomo ili kumudu mazingira ya ki- technologia zinazotuzunguka Kwa sasa,,twende na usasa na maisha ya sas yamebeba hasa upana WA elimu kwanza, pia unavyosema tujifunze juu ya elimu ya kupata pesa huwezi kupata pesa bila kuwa na elimu aimaanish elimu ya shule ama ya kupata mtaani ila zote ni elimu

Ahxnt
 
Tatizo Lugha ya kiswahili ndio inaharibu Kila kitu kama Elimu ya msingi ingekuwa Kwa kingereza Kuna baadhi ya topic za olevel zingeshushwa darasa la Sita na la saba na wanafunzi wangeweza kujifunza vitu vya maana zaidi wanapoingia secondary
 
Kujua electrolysis kuna kusaidia nini kama kama wewe sio sonara au mfuaju wa madini?
Profesa alikuuliza umesoma nje kwa kujua umuhimu wa electrolysis, Mh!.
Mfanyakazi wa benki electrolysis inamsaidia nini?
Bado kuna watu mnaamini masomo yaongezwe wakati yaliopo tu wanafunzi hawayamudu, hata wakijua masomo yote kwa faida gani? Hufanyii application popote kama wewe sio mtaalamu wa hio sekta.
Mzee kishimba kafundidha bungeni kuwa tuwafundishe watoto kutafuta pesa.
Elimu ilenge kutafuta pesa.
Elimu imejaa mitandaoni halafu unataka ukariri mambo mengi, ya nin?
Mimi mkulima wa viazi njombe, historia ya Hitler inanisaidia nini katka maisha yangu?
Mfuzikia,a na mkemia, engineer hio elect.. ni halali yao sio mwalimu wa kiswahili, au IT haimpunguzii chochote kutoijua.
Umeona mkeka huo mkuu..
img_1_1689669326349.jpg
 
Inawezekana kuna vitu vina umuhimu mkubwa ila kwa ufundishaji wa Tz unafanya vionekana havina maana kwani zimebase katika kukariri na sio uelewa na kumjenga mwanafunzi.Kuna vitu vya O_level nilikariri nilijua umuhimu wake baada ya kusoma vitabu vya mitaala ya nje nikakuta wameeleza vizuri sana kwa namna bora ya kumjenga mwanafunzi .

Kingine ni mazingira mabovu ya ufundishaji vitu vya kusomea maabara vinasomwa kama theories,hata ikitokea kuenda maabara idadi ya vifaa inakuwa vichache kuhimili idadi ya wanafunzi.Mimi shule nilizopitia asilimia kubwa ya vitu vya maabara tumesoma kea kukariri kama theories isipokuwa vile ambavyo vinatoka kwenye mtihani maalaumu ya practical hapo tulienda Lab.
Nkwel mkuu elimu yetu imewekwa kwa kukalili lKini si kufundishwa na kuelew Nini unafundishwa na Nini kinakuja kukupa manufaa ya kile kitu ulichojifunza si mtihani kufaulu Kwa njia ya kukalili , na hata waaalimu wako katika ufundishaji WA namna ya kukalilisha wanafunzi na hata kama akitoa mtihani anatoa ndani ya mle mle ili wafaulu mitihani yake bila ya kuwapa chalanges nyingi ndan ya swali
 
Nkwel mkuu elimu yetu imewekwa kwa kukalili lKini si kufundishwa na kuelew Nini unafundishwa na Nini kinakuja kukupa manufaa ya kile kitu ulichojifunza si mtihani kufaulu Kwa njia ya kukalili , na hata waaalimu wako katika ufundishaji WA namna ya kukalilisha wanafunzi na hata kama akitoa mtihani anatoa ndani ya mle mle ili wafaulu mitihani yake bila ya kuwapa chalanges nyingi ndan ya swali
Mfumo ulihalibiwa toka mwanzo
 
Umuhimu wa kitu unatokana na appications zake, sasa hatuundi hivyo vifaa zaidi ya kuimport, hizo electrolysis za nini. Tusome na kufundisha masuala yanayoendana na maisha yetu ya kila siku.
 
Mfano electrolysis ni biashara tayari kabisa ukiwa na uelewa wa electrolysis utafanya printing na kuongeza Tija kwenye bidhaa zako.
Hoja yangu na profesa ni kwamba kuna watu kibao wanafanya PRINTING na hawajui what is electrolysis,lakini kutokujua kwao electrolysis hakuwazuwii wao kufanya printing.

Kama ambavyo mkulima kutokujua the process of photosynthesis hakumzuwii kupanda mmea na ukaota.

SO utaona kwamba electrolysis tunaisoma kama pambo tu wala haina msaada wowote kwa anayeisoma.
Sasa ujaza asali kwenye dumu buvubuvu nani atanunua
Kuna watu hawajapita shule na wanauza asali kwenye madumu ambayo sio buvubuvu na wala hawajui hiyo electrolysis ni nini.

So utaona hapo kwamba unasoma vitu ambavyo hata usingeenda shule bado vingeendelea kuleta matokeo na wewe ungeendelea kuvitumia bila kujua undani wake(yaani electrolysis unayoisema)
 
Umuhimu wa kitu unatokana na appications zake, sasa hatuundi hivyo vifaa zaidi ya kuimport, hizo electrolysis za nini. Tusome na kufundisha masuala yanayoendana na maisha yetu ya kila siku.
Profesa alikuwa na hoja ya msingi sana.

Hawa waliopita shule kuna mambo wanatetea hayana mantiki.

ELectrolysis ni mfano kama wa photosynthesis.

Wakulima wangapi hawajui namna photosynthesis inatokea lakini still wanapanda mimea na inakubali,je walisoma wapi ?

Jawabu ni kwamba wamesoma kwenye nature walivyokuta hapa duniani.

Wasomi wa shule wakishaisoma nature kwa undani kidogo wanadhani kwamba wao ndio wanaicontrol nature kwamba bila kuisoma mambo hayatoenda.

Wanasahau kwamba electrolysis ni nature ama kanuni inayojiendesha yenyewe,mgunduzi kazi yake anaangalia how nature inafanya kazi kisha anaielezea kwa watu anaitwa mgunduzi.


Hivyo hata asipoigundua nature namna inavyofunction bado nature itaendelea kufanya kazi na kuleta matokeo kwa wale wanaoitumia.
 
Ahahaha ndugu umeongea kitu nmekuelew sana
Ahahah sawa mkuu,profesa hoja yake ina msshiko kwa sababu electrolysis haileti faida yoyote katika jamii ya walioisoma.

Faida zinazoonekana ni zile ambazo zipo hata kabla ya electrolysis theory kuvumbuliwa,so kuna faida gani ? Hakuna.

Photosynthesis ina faida gani kwa mkullima kabla ya kuijua na baada ya kuijua ? Hakuna.

Mambo yanaendelea watu wanapanda mahindi na kuvuna wala hawajui upuuzi unaoitwa photosynthesis
 
🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Kwahiyo akasema ajawahi kuona mtanzania mwenye uwezo kama wako.
Na jamaa ni profesa !!!!!!!????
 
Ahahah sawa mkuu,profesa hoja yake ina msshiko kwa sababu electrolysis haileti faida yoyote katika jamii ya walioisoma.

Faida zinazoonekana ni zile ambazo zipo hata kabla ya electrolysis theory kuvumbuliwa,so kuna faida gani ? Hakuna.

Photosynthesis ina faida gani kwa mkullima kabla ya kuijua na baada ya kuijua ? Hakuna.

Mambo yanaendelea watu wanapanda mahindi na kuvuna wala hawajui upuuzi unaoitwa photosynthesis
Professor akasema """sijawahi kukutana na mtanzania mwenye uwezo kama wako"""
Daaah professor akumalizia uwezo gani huo... 🤓🤓🤓🤓🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom