Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Sikubaliani na wewe. Maana kujua mambo mengi tu theoretically ni afadhali ufahamu mambo machache ambayo unaweza kuyafanyia kazi. Najua kuna watu wengi wamesoma wanajua electrolysis ni nini lakini hawawezi kuifanyia kazi ila wapi uwanja wa kutoa maelezo sasa.Duhu hadi wewe?
Kwani wewe mkuu mfano ukiumwa si utaenda kwa daktari akutibu kwa sababu ni field yake. Mimi naungana na profesa, watoto wasome vitu vichache ambavyo wataweza kuvijua kwa undani na kuvifanyia kazi. Hapo utapata mtu anajua sheria kweli kweli, huyu ni daktari kweli kweli, huyu ni mhandisi wa barabara anajua kwelikweli sio kuwa na jack of many trades master of none.
Hapa unakutana na jamaa anakwambia anajua karibu programming language 10 lakini mwambie akuundie kitu, hawezi anajua tu kueleza.