Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Sidhani kama Lisu anahusika katika kusaini mikataba ya uwekezaji na Acacia au Barick Gold Mine. Mtoa mada ungeacha kufikiria kisiasa ungeuona ukweli. Tusihamishe uzembe wetu kwa kulaumu wapinzani. Acha kufunikwa na chuki ufikiri vyema bosi. Usifikirie kichama Fikiri beyond partism..
Lakini alitudanganya tutashitakiwa MIGA ili tuwaogope Accacia kuwashughulikia kama ambavyo tunawashughulikia sasa hivi...!!
 
Ukute hata bunge hajawahi kuangalia kiumbe huyu pia inaonesha jf imevamiwa Sana yaani nahisi Kuna watu wapo kwa 7000 humu. Kazi yao Ni mmoja tu Kama huyo. Sasa na wewe elimu yako imekusaidia nini?
Jibu hoja acha mapovu!
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
We elimu yako imesaidia nn katika taifa hili zaidi ya kukaa nyuma ya keyboard na kujifanya unajua kuandika.
 
Ukiangalia hili tukio la yeye kushambuliwa risasi utagundua hiyo elimu haijamsaidia hata yeye binafsi achilia mbali taifa lenyewe.Unatishiwa maisha for months unatembea umening'iniza kende tu bila chochote cha kujihami,unagundua unafuatiliwa siku ya tukio halafu unakimbilia sehemu yenye watu ambao unawatuhumu miaka yote kwamba wanatumika na wabaya wako,suala la matibabu nalo vipi!
 
Lakini alitudanganya tutashitakiwa MIGA ili tuwaogope Accacia kuwashughulikia kama ambavyo tunawashughulikia sasa hivi...!!
Hapa ndipo ninapoona Lumumba Wote hamna akili zaidi ya kuwawezesha kuvuka barabara! Lissu alishauri Kama tunataka kuwashughulikia tunaowaita wanyonyaji tujitoe kwanza MIGA, hakusema tutashitakiwa MIGA! Oneni tofauti, MIGA Ni Mkataba. Lissu alisema tutashitakiwa kwenye Mahakama za Kimataifa, Jambo ambalo limeshafanywa na Accacia! Nyie hapo Lumumba najua mnasubiri msikie Tanzania imeshitakiwa MIGA mlivyo na akili duni kutokana na Maradhi ya minyoo na kwashiakoo! Fungueni akili, elimikeni, sii muda wa kukaza shingo, mmeshashindwa ila bado vipofu!
 
Ukiangalia hili tukio la yeye kushambuliwa risasi utagundua hiyo elimu haijamsaidia hata yeye binafsi achilia mbali taifa lenyewe.Unatishiwa maisha for months unatembea umening'iniza kende tu bila chochote cha kujihami,unagundua unafuatiliwa siku ya tukio halafu unakimbilia sehemu yenye watu ambao unawatuhumu miaka yote kwamba wanatumika na wabaya wako,suala la matibabu nalo vipi!
Alitoa taarifa Vyombo husika, walifanya Nini?! Elimu yako ina mchango gani kwa Taifa?(sijui hata Kama Elimu yenyewe unayo)!
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Wewe elimu yako ina faida gani ?? Hata kwa jamii yako haina faida !

Kwanini lissu?? Unataka akusaidie nini??
 
lissu amelisaidia sana taifa letu...
79152E86-A1D0-4C57-8998-7B0DA14B50EB.png
 
Si uoni Mwenye Enzi Mungu anavyo mtandika vikali?
Na bado walahi
 
Mada jamvini elimu ya Lissu haina faida kwa taifa!
Ni mpuuzi pekee mwenye Maono Kama yako! Huko Lumumba nipe mtu mmoja tu Elimu Yake imelisaidia Taifa angalau hata robo ya alichofanya Lissu! Kama kina Chenge na Kalemani nao elimu yao ilitumika kuliangamiza Taifa lakini bado mpo nao serikalini na chamani, mnadhani mna uwezo wa kuiongelea Elimu ya Lissu?
 
Ya
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Ya kwako imetusaidia nn?
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Mnadhani Lissu aliwadanganya kwa sababu wale ambao alisema wanaweza kuwashitaki bado hawajapata sababu ya kuwashitaki! Hawajapata sababu ya kuwashitaki kwa sababu bado hadi sasa mnacheza ngoma yao!!

Serikali ilisema tunawadai Trilioni 450... je, hadi sasa serikali imepata shilingi ngapi kati ya hizo 450 trilioni?! Ninachojua ni kwamba bado hawajatoa hata senti tano unless kama utanieleza vinginevyo! Na kama kweli hawajatoa hata senti 5, waende MIGA wakafanye nini?!

Au kama hawajatoa hata senti 5, serikali imefanya nini kuwa-pressurize kulipa hizo Trilioni 450 hata Acacia wajione wapo hatarini na kuamua kwenda MIGA?

What about zile USD 300 Million? Wametoa ngapi ingawaje waliahidi wenyewe?!

The problem nyie watu siasa zinawaharibu na matokeo yake mnashindwa kuelewa hoja za watu! Hoja ya Tundu Lissu ilikuwa kwamba, ukitaka kuwabana vizuri Acacia basi ni lazima tujiondoe kwanza MIGA kwa sababu ndiko wanakotegemea kukimbilia. Ukishajitoa MIGA ina maana hizi commercial conflicts zitaamuliwa hapa hapa na mahakama zetu kwa sababu hizo MIGA hatuzitambui!

Tupo too soft katika kudai hizo 450 Trillion na Acacia wanakuwa kiburi kwa sababu wanafahamu pressure ikishakuwa kubwa kuwazidi watakachofanya ni kukimbilia MIGA ambako tuna historia ya kushindwa!

Sasa wewe endelea kukejeli hivyo hivyo!
 
Back
Top Bottom