Andru Chyenge
JF-Expert Member
- Oct 24, 2018
- 222
- 138
Kwanza ana elimu gani kijana mpiga kelele, nadhani hata huko ubelgiji anapigia watu kelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wananishangaza kabisa Lissu mhuni tuAmelisaidiaje yule traitor. Niambie amesaidiaje.
Kwani Lissu ndo analipaHivi tumeshalipwa?
Hakuna mabadiriko yeyote, labda ungesema Dr slaaZitto na Lissu wameleta mabadiliko sana nchi hii kupitia bunge!Sakata la buzwagi lilianzishwa na Zitto,wakiwa na Lissu walisimama vyema kupigania mrabaha kuongezwa kutoka 3%!!!!
Mtemi Chenge(alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali na sasa mwenyekiti wa bunge),msomi wa Havard university ametoa mchango gani kwa taifa?
Kila sakata la ufisadi yumo,cha ajabu yuko salama salmini!!!!
Umeona ni mpiga kelele tu huyoLissu alipiga sana kelele juu ya mikataba mibovu ya madini lakini serikali ya CCM hakumsikia na mkaingia mikataba hiyo sasa elimu ya nani haina msaada kati ya lissu na ya wanaCCM??
Wajibu gani weweMh! Lisu alishatimizwa wajibu wake na bado mkampiga masasi.
Bishana na kamishna wa madini ambaye amekiri kelele za akina Zitto na Co ndio zilisababisha mabadiliko kiasi kwenye sekta ya madini!Hakuna mabadiriko yeyote, labda ungesema Dr slaa
Haina msaada kwako na familia yako na watu wa aina yakoLisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Mkuu hivi wewe huko uliko kitengo chako ni kuzungumzia watu walio kinyume chako kimtazamo kwenye mitandao, au ndo wale mnaosemwa watu wenye akili...... akili yao nikuzungumzi maisha ya wtu.Tuambieni kama Yale makontena bado yapo bandarini basi.Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Anafikili juu ya tumbo lake tu huyo.Sidhani kama Lisu anahusika katika kusaini mikataba ya uwekezaji na Acacia au Barick Gold Mine. Mtoa mada ungeacha kufikiria kisiasa ungeuona ukweli. Tusihamishe uzembe wetu kwa kulaumu wapinzani. Acha kufunikwa na chuki ufikiri vyema bosi. Usifikirie kichama Fikiri beyond partism..
Kwani hatuja shitakiwa,upo dunia gani mwenzetuAnahusika kuitisha serikali isiwabugudhi acacia. Hata kama ccm ilikosea mwanzoni. Kwanini akawa anatutisha watatushtaki wakati sio kweli. Unafuatilia hili suala lakini
Naona kwa hilo kina lako Lina sadifu uhalisia wako.Kwani Lissu ndo analipa
unajua kuwa acacia wametushtaki mahakamani?Subiri povu kwa wasaliti wenzie wenye faida nayo!
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Vyombo gani ilhali vyote hana imani navyo?Alitoa taarifa Vyombo husika, walifanya Nini?! Elimu yako ina mchango gani kwa Taifa?(sijui hata Kama Elimu yenyewe unayo)!
nakuogopa au?Njoo na ushahidi
Kabla hujamnyoshea mwenzako kidole jiulize kwanza wewe elimu yako inamsaada gani kwa taifa...........ebu thibitisha kwamba alisomeshwa na kodi yakoLisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.