Pa Amandu
Member
- Sep 4, 2018
- 62
- 40
Daaahhhh usinikumbushe, nilienda driving school nikiamini muda si mrefu namiliki Noah....Hivi zile noah zimeishia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaahhhh usinikumbushe, nilienda driving school nikiamini muda si mrefu namiliki Noah....Hivi zile noah zimeishia wapi?
AhahahaaaaDaaahhhh usinikumbushe, nilienda driving school nikiamini muda si mrefu namiliki Noah....
Jimboni kwake tu hana msaada wowote ,sembuse kwa taifa?Kama una akili za kuazima au kwenu mna asili ya uendawazimu huwezi kuona msaada wa Lissu, ila kama umemaliza std 7 tu na huna tatizo la akili basi utamuona Lissu kuwa anastahili kuwa 'kaka wa Taifa.
Sasa kwanini lissu ajadiliwe??Kama una akili za kuazima au kwenu mna asili ya uendawazimu huwezi kuona msaada wa Lissu, ila kama umemaliza std 7 tu na huna tatizo la akili basi utamuona Lissu kuwa anastahili kuwa 'kaka wa Taifa.
Na wew hebu taja mambo matatu aliyoyafanya jiweJimboni kwake tu hana msaada wowote ,sembuse kwa taifa?
Hebu nitajie mambo matatu aliyofanya Lisu jimboni kwake
Nenda jimboni kwa lisu,fanya utafiti utaona mambo aliyoyafanya lissu.propaganda bila ya tafiti ni uzezeta .Jimboni kwake tu hana msaada wowote ,sembuse kwa taifa?
Hebu nitajie mambo matatu aliyofanya Lisu jimboni kwake
Mfano........PhD yangu ni ya kulinda masilahi ya taifa kwa gharama yoyote ile .
Acha ujinga kafanye tafiti.Mfano........
Mshauri huyo unaemjibia akafanye utafiti atuwekee hapa maana kadai ana PhD😀😀Acha ujinga kafanye tafiti.
PhD yake ni ya kichoko.huyu sidhani kama kamaliza hata std 7 maana si kwa ufala huu.Mshauri huyo unaemjibia akafanye utafiti atuwekee hapa maana kadai ana PhD😀😀
Ila ujinga wa watanzania ndo una faida kwa ccm.Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Vipi elimu ya Palamamba, kile kishika uchumba tushapewa?Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Hakuna lolote,labda matembezi ya ikulu tu bila utekelezaji.Vipi elimu ya Palamamba, kile kishika uchumba tushapewa?
Mi nafikiri sijaelewa hapa...Lissu na Zitto Kabwe wote elimu yao ni utata mtupu, hawana kabisa faida na nchi yetu.
Oii..ipo kesi mbona London..lakini hata hivyo bado hatupo katikasalama kabisa. Kikubwa tujirekebishe tu maana demage was done na sisi ndio tumeyafanya hayo..serikali hii hii yetu. damage control is too risk than damage itself. Ukikuwa utayajua haya mdogo wangu..madai hayana mwisho wala mipaka.Anahusika kuitisha serikali isiwabugudhi acacia. Hata kama ccm ilikosea mwanzoni. Kwanini akawa anatutisha watatushtaki wakati sio kweli. Unafuatilia hili suala lakini
Mkuu wazungu wanamwelewa JPM vizuri sana,jamaa yuko sahihi kwa approach zote anazofanya..sisi(waafrica) hatujitambui...mzungu hawezi kuhujumu nchi yake ,sie tuna upumbavu huo..hatuwajibiki ipasavyo kwa manufaa ya nchi zetu...ndo maana tulitandikwa viboko enzi za ukoloni kujenga reli kwa manufaa yetu..Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Ulitaka elimu yake ikusaidie wewe wewe elimu yako imesaidia nini taifa na isitoshe lisu alisomeshwa na wazazi wake na sio weweLisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.