Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Jibu swali wewe kilazaMada jamvini elimu ya Lissu haina faida kwa taifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali wewe kilazaMada jamvini elimu ya Lissu haina faida kwa taifa!
Hatimaye Leo nimethibitisha bila shaka yoyote kwamba huna akili timamu , unajua siku zote nilikuwa najiuliza kuhusu jambo hili , Nawaomba Moderator wanisaidie kukuweka kwenye Ignore list kabla hujanisababishia matatizo .Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
ndio tatizo la kukulia vijijini unayajua mambo ukija chuo mengi unakua hujui ivi kwa akili za kawaida wewe na lisu nani anapaswa kurudisha ada? umekalia majungu tuu. hao accasia walikulipa nn sasa? nani alipitisha hiyo mikataba na acasia?Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Hahahaha umesema kweli mkuuMkuu wazungu wanamwelewa JPM vizuri sana,jamaa yuko sahihi kwa approach zote anazofanya..sisi(waafrica) hatujitambui...mzungu hawezi kuhujumu nchi yake ,sie tuna upumbavu huo..hatuwajibiki ipasavyo kwa manufaa ya nchi zetu...ndo maana tulitandikwa viboko enzi za ukoloni kujenga reli kwa manufaa yetu..
Jikite kwenye hoja au tuambie ni lipi alilosema Lisu kuhusu Acacia alafu limetimia?Hatimaye Leo nimethibitisha bila shaka yoyote kwamba huna akili timamu , unajua siku zote nilikuwa najiuliza kuhusu jambo hili , Nawaomba Moderator wanisaidie kukuweka kwenye Ignore list kabla hujanisababishia matatizo .
PHD feki ya Magufuli ndo ina msaada kwa watanzania?Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Na anayejiita jiwe naye ni mpiga kelele tu maana zile trillion kadhaa hatuajalamba hata sentiUmeona ni mpiga kelele tu huyo
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Naona ya Chenge imelisaidia sana taifa kiasi cha kwamba DAB akaamua asisome kabisa
Hivi wewe hata formfour umemaliza kweli, halafu unaita dr. Mag kuwa ana phd feki, ila kumbua yeye ni rais, na analipwa hela nyingi kwa mwezi ambazo wewe mpaka unakufa hautafikia mapato yake hata ya miezi 2 tuPHD feki ya Magufuli ndo ina msaada kwa watanzania?
Jinga kweli wewe.
Kabudi akapigwa chenga ya mwili na wazungu,then wakaondoka na trillion 423.TRA nao wakapewa pesa ya nyanya ili wapotezee.Na anayejiita jiwe naye ni mpiga kelele tu maana zile trillion kadhaa hatuajalamba hata senti
Wapumbavu nchi hii hamtaisha,hivi wewe unanijua mimi na unajua kipato changu? Ten years to come nitakuwa kama MO endapo nikiwa hai, Kama hana PHD feki kwanini alimpoteza Saanane?Hivi wewe hata formfour umemaliza kweli, halafu unaita dr. Mag kuwa ana phd feki, ila kumbua yeye ni rais, na analipwa hela nyingi kwa mwezi ambazo wewe mpaka unakufa hautafikia mapato yake hata ya miezi 2 tu
Kama Lissu anapaswa kurudisha ''kodi'' kwa kutumiwa na mabepari, wewe hupaswi kurudisha 'kodi' , unatakiwa ufungwe miaka 10 na kazi ngumu, viboko 12 ukiingia na 12 ukitoka.Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Hii ndiyo sababu ya Lisu kutetea hiyo mikataba mibovu ?Kama Lissu anapaswa kurudisha ''kodi'' kwa kutumiwa na mabepari, wewe hupaswi kurudisha 'kodi' , unatakiwa ufungwe miaka 10 na kazi ngumu, viboko 12 ukiingia na 12 ukitoka.
Upigwe marufuku kutowasiliana na jamii baada ya hapo kwa miaka 10
1. Hakuna bepari anayeweza kutoka nje na 'magreda na katapila' na kuanza kuchimba madini Tanzania. Kama yupo Bepari huyo si mjanja, bali Watanzania ni wajinga na wapumbavu sana
2. Mikataba yote imeandikwa na CCM na serikali zake.
Tangu Uhuru hakuna chama kingine kimewahi kutawala.
Walioandika mikataba wapo tena wengine wakisimamia vikao vya Bunge
Mikataba iliidhinishwa na Serikali na walioidhinisha wapo, wanajulikana na wanaongoza
Bepari anahusika vipi hapo
3. Hivi wakati tunakwenda London kusaini mikataba kwa mama Ntilie, kuna bepari alitufunga kamba? Tupande ndege wenyewe, tubebe mihuri na makaratasi, halafu tumlaumu bepari kwa ujinga wetu
JokaKuu Mag3