Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Kwa sasa tunafanywaje?Si tunategemea tu huruma yao? Je tumewagusa? Makinikia yapo?Tumewafukuza nchini? zaidi ya kuishia kusema kuwa ni wezi na kuwa hawajasajiriwa TanzaniaLisu alisema tusithubutu kuwagusa Acacia tutanyolewa kwa chupa !