Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Fine kwani ujuha wako unafaida gani kwa familia yako kabla hujapewa faida za mwanazuoni?
 
Hivi Unamkumbuka alie waambia
ukweli juu ya kukamatwa moja ya ndege zenu huko canada?
Nami nakubaliana na wanaomuona Lissu HAFAI! Inakuwaje anakushauri usifanye mapenzi bila kinga na mtu mwenye ukimwi, lakini wewe umefanya wewe hivyo, lakini ulipopima ukaambiwa hujaambukizwa?
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
declare kwanza kiwango chako cha elimu-product ya shule ya kata haiwezi kumuelewa LISSU.For your information,approach aliyoipendekeza Lissu kwenye issue ya makinikia ndo inafuatwa sasa baada ya badala ya approach ya malaika mkuu kufeli.ila kwa sababu ya elimu yako ndogo na kuendekeza siasa nyepesi you cant see.

watu wote wenye akili na wenye mapenzi mema na nchi hii walingámua from day one kuwa approach aliyopendekeza Lissu pale bungeni was best approach

sasa wew tueleze tumepata nini hadi sasa out of makinikia? Nyie wachumia tumbo na waadhirika wa siasa nyepesi kuja kuelewa adui wa nchi hii na watoto wenu ni ccm, itawachukua muda sana
 
Kila nikisoma utumbo kama huu huwa nasikitikia sana taifa langu pendwa. Wakati wengine wanathamini wananvchi wao kuwa na uelewa mkubwa wa mambo muhimu, sisi tunaridhika kuwa na wananchi wasioelewa kitu, wanaoongozwa na imani za ajabu ajabu na mitazamo isiyojikita katika uhalisia wa mambo. Unaposema Acacia wa wametunyonya, hivi unajua hii biashara ya uchimbaji mkubwa unavyoendesha duniani kote? Au ume base zaidi kwenye simulizi za kipropaganda wa kijamaa kuwa kila mtu mwenye juhudi ni mnyonyaji???
Nilijua nipo pekee yangu...

Huu ni ugonjwa wa taifa ndugu yangu.
#Kazi tunayo
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Na usikute una mavyeti mfukoni...eti degree/master phd holder.....ila hapo ndio mwisho wa akili yako kufanya kazi.

#Pole sana
#Pole Tanzania
#Pole nchi yangu
 
Lakini alitudanganya tutashitakiwa MIGA ili tuwaogope Accacia kuwashughulikia kama ambavyo tunawashughulikia sasa hivi...!!
Elimu yako ndogo ndo shida,Lissu alitoa one of the possible outcome kwa approach tuliyokuwa tunataka kuchukua na akatoa alternative approach-Hapo Usaliti uko wapi

Labda nitumie lugha unayoweza kuelewa
Mfano mimi na wewe tunataka kwenda Morogoro.na ukapendekeza tupitie njia ya Mbezi,Kibaha,Chalinze hadi morogoro
Mimi nikasema -tupitie njia ya Bunju,Bagamoyo,Msata,handeni,Tuliani hadi Morogoro na nikatoa na sababu kuwa daraja la Ruvu pale mlandizi limevunjika ( Professorial rubbish reports) kwa hiyo tunaweza tukashidwa kuvuka au kudumbukia mtoni na kuliwa na mamba.
Kwa mtu yeyote mstarabu angetaka kusikiliza kusikiliza hoja yangu ( na hii ndo sababu kubwa why unamasikio mawili na mdomo mmoja-ili usikilize zaidi( usikie mara mbili) na kuongea kidogo).Baada ya kunisikiliza kama hulidhika na hoja zangu,then unishawishi why unataka tupite kibaha
But kutokana na kukosa ustarabu na siasa nyepesi za awamu hii, tukaamua kutumia nguvu na propoganda ucharwa-niambie sasa tumefika wapi?

Mzungu anajua why ana masikio mawili na mdomo mmoja.Aliyosikia mayowe yetu na professorial rubbish reports zetu ikabidi aje kusikiliza kwanza,hayo mayowe yetu yanahusu nini?Sisi kwa siasa zetu nyepesi na ujinga wetu tukadhani na kuaminishana kuwa mwanaume kuja na private jet basi ametuogopa na tumemtisha. Either kwa ujinga wetu ama kwa mihemuko ya siasa zetu nyepesi tukashindwa kabisa kuelewa kuwa huyu mtu alikuja kujua tatizo au mantiki ya makelele yetu
By the way unadhani kwenye mazungumzo wanajadiriana pesa tunayowadai? I can assure you,mazungumzo yatakuwa yalianzia kwenye verification ya data zilizopo kwenye zile prefessorial rubbish report tena kwa kutumia accredited laboratories. Verification ya zile data ndo ilipelekea kutoka kuzungumzia noah hadi kuzungumzia balimi.
Sasa wewe unaona nini hapo hata kama una elimu ndogo?
Huwezi ona kuwa sisi ndo tunaweza kuwa tunambembeleza Mwizi atusamehe-Bure kabisa you people
 
Hizo barabara za lami ,flyover, elimu bure , na ndege unazopanda zimeletwa na hiyo elimu yako uchwara?
Mkuu hayo ni matokea ya kodi zinazolipwa na watanzania. Hata tungekuweka wewe ikulu provided watanzania wanalipa kodi hivyo vitu ungefanya
 
declare kwanza kiwango chako cha elimu-product ya shule ya kata haiwezi kumuelewa LISSU.For your information,approach aliyoipendekeza Lissu kwenye issue ya makinikia ndo inafuatwa sasa baada ya badala ya approach ya malaika mkuu kufeli.ila kwa sababu ya elimu yako ndogo na kuendekeza siasa nyepesi you cant see.

watu wote wenye akili na wenye mapenzi mema na nchi hii walingámua from day one kuwa approach aliyopendekeza Lissu pale bungeni was best approach

sasa wew tueleze tumepata nini hadi sasa out of makinikia? Nyie wachumia tumbo na waadhirika wa siasa nyepesi kuja kuelewa adui wa nchi hii na watoto wenu ni ccm, itawachukua muda sana
Hata kujua tu kwamba sheria ya madini inayotumika sasa ni mpya ,nalo hujui!
 
Elimu yako ndogo ndo shida,Lissu alitoa one of the possible outcome kwa approach tuliyokuwa tunataka kuchukua na akatoa alternative approach-Hapo Usaliti uko wapi

Labda nitumie lugha unayoweza kuelewa
Mfano mimi na wewe tunataka kwenda Morogoro.na ukapendekeza tupitie njia ya Mbezi,Kibaha,Chalinze hadi morogoro
Mimi nikasema -tupitie njia ya Bunju,Bagamoyo,Msata,handeni,Tuliani hadi Morogoro na nikatoa na sababu kuwa daraja la Ruvu pale mlandizi limevunjika ( Professorial rubbish reports) kwa hiyo tunaweza tukashidwa kuvuka au kudumbukia mtoni na kuliwa na mamba.
Kwa mtu yeyote mstarabu angetaka kusikiliza kusikiliza hoja yangu ( na hii ndo sababu kubwa why unamasikio mawili na mdomo mmoja-ili usikilize zaidi( usikie mara mbili) na kuongea kidogo).Baada ya kunisikiliza kama hulidhika na hoja zangu,then unishawishi why unataka tupite kibaha
But kutokana na kukosa ustarabu na siasa nyepesi za awamu hii, tukaamua kutumia nguvu na propoganda ucharwa-niambie sasa tumefika wapi?

Mzungu anajua why ana masikio mawili na mdomo mmoja.Aliyosikia mayowe yetu na professorial rubbish reports zetu ikabidi aje kusikiliza kwanza,hayo mayowe yetu yanahusu nini?Sisi kwa siasa zetu nyepesi na ujinga wetu tukadhani na kuaminishana kuwa mwanaume kuja na private jet basi ametuogopa na tumemtisha. Either kwa ujinga wetu ama kwa mihemuko ya siasa zetu nyepesi tukashindwa kabisa kuelewa kuwa huyu mtu alikuja kujua tatizo au mantiki ya makelele yetu
By the way unadhani kwenye mazungumzo wanajadiriana pesa tunayowadai? I can assure you,mazungumzo yatakuwa yalianzia kwenye verification ya data zilizopo kwenye zile prefessorial rubbish report tena kwa kutumia accredited laboratories. Verification ya zile data ndo ilipelekea kutoka kuzungumzia noah hadi kuzungumzia balimi.
Sasa wewe unaona nini hapo hata kama una elimu ndogo?
Huwezi ona kuwa sisi ndo tunaweza kuwa tunambembeleza Mwizi atusamehe-Bure kabisa you people
Lisu alisema tusithubutu kuwagusa Acacia tutanyolewa kwa chupa !
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Teh teh teh! Kwani sasa hivi kinaendelea nini kuhusu Acacia?!
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.

Nilikuwa natafuta mjinga wa siku ya leo. Cheo hicho umekipata!!
 
Kila nikisoma utumbo kama huu huwa nasikitikia sana taifa langu pendwa. Wakati wengine wanathamini wananvchi wao kuwa na uelewa mkubwa wa mambo muhimu, sisi tunaridhika kuwa na wananchi wasioelewa kitu, wanaoongozwa na imani za ajabu ajabu na mitazamo isiyojikita katika uhalisia wa mambo. Unaposema Acacia wa wametunyonya, hivi unajua hii biashara ya uchimbaji mkubwa unavyoendesha duniani kote? Au ume base zaidi kwenye simulizi za kipropaganda wa kijamaa kuwa kila mtu mwenye juhudi ni mnyonyaji???
Utumbo mtupu hiii sio hoja yenye mashiko
 
Back
Top Bottom