Huyu mdudu anaitwa Splitebug Scientific name yake ni Philaenus spumarius hilo povu unaloliona siyo mate ya nyoka kama wengi wanavyodhani au walivyowahi kusimuliwa
Povu hilo ni kwa ajili ya kulinda hatua yake ya pili ya ukuaji hadi pale atakapoota mabawa maana kiumbe huyu ana hatua tatu za ukuaji yaani yai ,kiwiliwili na kiumbe kamili,
Hutoa hewa ambayo ikichanganyika na maji maji yake ambapo hutoa mapovu ambayo hulinda hatua ya pili ya ukuaji,Akishaota mabawa hutoka ndani ya mapovu tayari kwa kuruka lengo LA mapovu ni kinga dhidi ya maadui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.