Elimu ya majirani ndio inakwamisha EAC

Nyie wakenya kiboko yenu Museveni tu

Bomba la mafuta tayari mmekosa, ebu mjitabilie nini kinafuta

Nyie yenu Chan'gaa
 
They need us more than we do, they are envious of our land, Kilimanjaro, Diamond Platinum hata na Daraja. They can even still Magufuli they will have a chance.
My dear, these pricks are nothing but idiots,
Can't they be EAC without Tz? Kama kweli wamesoma iweje wasiosoma wawawekee ngumu? Si wazimu huu,?? Nani anaonekana mjanja hapa??
And besides, why don't they make it with ug, Rwanda and Burundi,
Wapumbavu hawa,
And FTI, tz can be much more attractive to SADEC than EAC with these hypocrite Kenyans..
Halafu my dear if u didn't know before, Kenya is Nothing without Nairobi, trust me,
Outside Nairobi, or somehow Mombasa Kenya inatia huruma aisee, watu wanakufa njaa huko turkana..
Yaani hii generation ya wakenya ni Laana tupu, wanaishi kama wanyama, wanafanya maamuzi kwa kutumia miili, jazba na hasira na sio utashi, ndio maana wanachinjana wao kwa wao kwenye siasa zao za ukabila,
Wanaamini kujua kingereza (Lugha ya mzungu) ndio kuelimika.

......nasikitika kuwaambia kuwa HAKUTAKAA KUTOKEA EAC,
They need to go and bury their EAC dreams in Indian ocean.,
Sucks!!!!!
Let them stay slaves in their own country huku wakifurahia magorofa ya wahindi hapo Nai na ardhi ya wazungu na ukoo wa Kenyatta na wakikuyu. They are nothing but cowards and Bustards.
 
Their well educated and have the best lawyers but the can't challenge the rights of Kenyatta family to own the big piece of land while the citizen are dying of hunger.
 
Kuwachelea wakenya and the likes ni sawa kabisa we have to be catious with you na hiyo ndio akili pale napoona sina uwezo mkubwa wa ushindani coz nani hajui kua wakenya ni watu wezi kupindukia Mugabe na Trump walisema kenyans do graduate and qualify as best thiefs with smart certificates
 
Kwanza ww ni mtanzania sio mkenya kwanini ujifiche
 
Wee juha kweli kweli hao wazee unaowasifia sindio mliwadhurumu ndege na vitu vingine vya East Africa mkiona mmeungana,na watu wasiostahili tokeni katika huo muungano you're so pathetic boy

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna watu wenye maisha ya ajabu kama Wakenya. Kwa wale mlioko Zanzibar hebu fanyeni uchuguzi katika hotel ya kitalii iitwayo Breeze Beach Club&SPA. Kuna Wakenya wako tayari hata kuuza miili yao kwa ma afisa wa uhamiaji ili mradi wabaki Tanzania (Zanzibar). Kwa kifupi kipindi niko pale hawa watu walikuwa wanakuja huku wakichomekea makoti ila wakizoea ndipo utaona majivuno yao. Kwa kifupi Wakenya na Makaburu wana utofauti mkubwa sana.
 
Tatizo la mfumo wa elimu ni kubwa katika nchi yetu lakini hii siichukulii kama sababu kuu ya Yale uliyoyaandika....

Unajua Kenyans mpo aggressive kutokana na maisha magumu yaliyochangiwa na capitalism lakini kwetu huku ni vice versa...
Kuna sehemu hata katika nchi yetu watu ni aggressive kwa mfano watu wa dar wanaofanya kazi hadi usiku wa manane kwa ajili ya survival , arusha ,Kilimanjaro na Mbeya.

Mtu anaelima kwa misimu hadi miwili, anaeweka magunia ya mahindi, mchele na maharage..hawezi kuwa stressed na maisha kirahisi kama MTU asiyevipata hivyo vote
 
haka kajamaa kamevurugwa nashindwaga kuelewa bila kuitaja tanzania mavi yanabana sijui anapenda kuishi nchi yenye amani,njaa hakuna tofauti na kwao ardhi inamilikiwa na wageni hapo alipo hana hata kaheka kamoja tu cha kulimia sukuma wiki basi kama anapenda kuishi tanzania aje aolewa bongo maana tumemchoka anaipa mifagio nchi yake ambayo si lolote si chochote.
 
Bila kupoteza mda Hii hapa picha inahusu Elimu Kenya. Watu wanaopewa Computer Mpakato.



Na bila kufanya umbeya soma hapa:
Sorry state of infrastructure in Kenya’s primary schools

Huwezi danganya chochote wewe.
 

kitu gani TZ tumesuasua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…