Elimu ya majirani ndio inakwamisha EAC

Usipate presha kwa 7bu ya kuwasema,kuwabagua na kuwachukia watanzania
Wala mimi sijawabagua watz,sijawachukia pia.Nachofanya si kuwasema ni mjadala tu!Mjadala wenyewe tunalinganisha mifumo yetu ya elimu.Kama majirani wowote wale wanavofanya.Shida inatokea na hisia nyingi wanazoingiza watu wengi kwenye mijadala.Tungejadili elimu ya Kenya,kama watu wazima ningekueleza mabaya yetu na changamoto zetu pia.Jomba,haina presha lakini,nimekuelewa.
 
NAHISI MTOA MADA HATARUDIA TENA. UNAJUA TZ NDO MAMA NA BABA YENU SO NEVER EVER TRY TO IGNORE YOUR PARENTS YOU KENYAN.
 
Watanzania na wakenya ujuaji umewazidi kazi kubishana kila siku kwa mambo ya kipuuzi badala ya kutafakari jinsi ya kuleta maendeleao.
 
Lastly, a country’s population provides significant advantages in terms of human capital that can be exploited to improve the economy. In East Africa, Kenya remains one of the states with the largest population occupied by about 45.5 million people. In the past it has exploited this through its relatively robust education system to develop a substantively literate population and qualified workforce, attracted investment and encouraged innovation.

However, again Kenya’s neighbours appear to have caught up with it in nearly all development indicators in the education sector. According the World Bank’s World Development Indicators (2015), Kenya is almost at par with other East African states in many crucial indicators like adult literacy, per-capita expenditure in education and enrolment in tertiary institutions among others.


The author is a research associate and Director for Policy and Research for Africa Centre for people Institutions and Society (Acepis). He tweets @okwaroh

The Empire is falling: Why Kenya’s influence in East Africa is on a downward spiral


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980 , Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Mwanakijiji, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Jamaa unazungumza na kujieleza kana kwamba umefika kidato cha nne na kuvuna FFFFF masomo yote, je katika ulimwengu wa digitali na nuclear utakuwa wapi unakuwa na wifi na Wakenya na system yao nzuri ya elimu! hata bila kwenda shule unaweza kununua chochote kutoka Ulaya au Marekani kama unavyonunua bidhaa kutoka Kenya, your are really in the 14th century, stop ashaming Tanzanians who have managed to produce internationally recognized academicians, Presidents and famous professors and scientists.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…