Elimu ya majirani ndio inakwamisha EAC

Elimu ya majirani ndio inakwamisha EAC

Aisee acheni kuambia ndugu zenu watz ukweli,hawapendi hilo kabisaa.Nimesoma Kajiado mimi,shule ya msingi na ya upili pia.Kajiado inapakana na tz upande wa kusini.Wanafunzi watz ni wengi tu shule za binafsi za Kajiado.Toka enzi zile nikiwa shule ya msingi hadi sasa,mwanafunzi anayetoka kidato cha pili tz akija Kenya anarudishwa hadi darasa la sita!Naye wa kidato cha kwanza kutoka tz anarudishwa hadi darasa la tano.Darasa la tano!Shule ya msingi!Kubalini tu watz,elimu yenu ni ya kipuuzi tu!Tulisoma na wanaume watz wana hadi ndevu,shule ya msingi!Bado kwenye masomo tuliwapa kichapo everidei,kama walivopenda kusema.
 
Aisee acheni kuambia ndugu zenu watz ukweli,hawapendi hilo kabisaa.Nimesoma Kajiado mimi,shule ya msingi na ya upili pia.Kajiado inapakana na tz upande wa kusini.Wanafunzi watz ni wengi tu shule za binafsi za Kajiado.Toka enzi zile nikiwa shule ya msingi hadi sasa,mwanafunzi anayetoka kidato cha pili tz akija Kenya anarudishwa hadi darasa la sita!Naye wa kidato cha kwanza kutoka tz anarudishwa hadi darasa la tano.Darasa la tano!Shule ya msingi!Kubalini tu watz,elimu yenu ni ya kipuuzi tu!Tulisoma na wanaume watz wana hadi ndevu,shule ya msingi!Bado kwenye masomo tuliwapa kichapo everidei,kama walivopenda kusema.


Sidhani kama mtu mwenye elimu kubwa anaweza kuandika uliyoyaandika...

By the way hata wakenya wapo kwenye vyuo vyetu lakini sijawahi kusikia mtanzania kawatusi ama kuwabeza na wanaishi peacefully tu...

Hope huko kwenu mnawapa watz elimu bureee
 
Sidhani kama mtu mwenye elimu kubwa anaweza kuandika uliyoyaandika...

By the way hata wakenya wapo kwenye vyuo vyetu lakini sijawahi kusikia mtanzania kawatusi ama kuwabeza na wanaishi peacefully tu...

Hope huko kwenu mnawapa watz elimu bureee
Sasa nimeandika nini ambacho si cha ukweli?Matusi umeona wapi?Wala sijawabagua watz mimi.Tulisoma nao shule ya msingi tulikuwa marafiki.Walikuwa wana umri uliozidi wetu sisi wakenya.Yote hayo ni kwasababu ya mikakati duni ilowekwa na serikali yao tz.Mnaleta ubishi mkiambiwa ukweli,kwanini?Uliza wenzenu watz waliosomea shule za msingi Kenya kama nimesema uongo.Wanafunzi watz wakitoka tz kidato cha pili,Kenya wanakuja kusoma darasa la sita,kidato cha kwanza,darasa la tano,darasa la saba kutoka tz,wanarudishwa darasa la nne Kenya.Haya kama ukweli ni matusi,pole basi.
 
Aisee acheni kuambia ndugu zenu watz ukweli,hawapendi hilo kabisaa.Nimesoma Kajiado mimi,shule ya msingi na ya upili pia.Kajiado inapakana na tz upande wa kusini.Wanafunzi watz ni wengi tu shule za binafsi za Kajiado.Toka enzi zile nikiwa shule ya msingi hadi sasa,mwanafunzi anayetoka kidato cha pili tz akija Kenya anarudishwa hadi darasa la sita!Naye wa kidato cha kwanza kutoka tz anarudishwa hadi darasa la tano.Darasa la tano!Shule ya msingi!Kubalini tu watz,elimu yenu ni ya kipuuzi tu!Tulisoma na wanaume watz wana hadi ndevu,shule ya msingi!Bado kwenye masomo tuliwapa kichapo everidei,kama walivopenda kusema.
Hatukasirikii ukweli wee nguruwe mlikaririshwa kuhusu tz sasa nyinyi hiyo elimu yenu inawasaidia nini mbona mmejaliwa njaa,ubaguzi,uwongo,wizi na fitna au hizo shule ndio mlisomea huo upuuzi???
 
Sasa nimeandika nini ambacho si cha ukweli?Matusi umeona wapi?Wala sijawabagua watz mimi.Tulisoma nao shule ya msingi tulikuwa marafiki.Walikuwa wana umri uliozidi wetu sisi wakenya.Yote hayo ni kwasababu ya mikakati duni ilowekwa na serikali yao tz.Mnaleta ubishi mkiambiwa ukweli,kwanini?Uliza wenzenu watz waliosomea shule za msingi Kenya kama nimesema uongo.Wanafunzi watz wakitoka tz kidato cha pili,Kenya wanakuja kusoma darasa la sita,kidato cha kwanza,darasa la tano,darasa la saba kutoka tz,wanarudishwa darasa la nne Kenya.Haya kama ukweli ni matusi,pole basi.
Wee juha mkubwa nyinyi elimu yenu ya secondary si mnaishia kidato cha nne mkitoka hapo hatua inayofuata ni chuo??sisi huku tz kuna kidato cha nne,tano na sita sasa unatarajia nn hapo??kwa kifupi elimu ya kenya sec ni miaka4 tz elimu ya sec ni miaka6 sasa hapo unataka tulingane nn acha ujuha wako huko hawarudii 7bu ni vilaza bali ni mifumo ya elimu kutofautiana
 
Hatukasirikii ukweli wee nguruwe mlikaririshwa kuhusu tz sasa nyinyi hiyo elimu yenu inawasaidia nini mbona mmejaliwa njaa,ubaguzi,uwongo,wizi na fitna au hizo shule ndio mlisomea huo upuuzi???
Mada ni kuhusu elimu jombaa,kama tutaenda nje ya mada anza uzi mwingine.Hapo kwenye uzi huo tutaongelea elimu yenu ilivyowafunza kuchinja na kukaanga na kula viungo vya albino.Sawa jombaa?
 
Mada ni kuhusu elimu jombaa,kama tutaenda nje ya mada anza uzi mwingine.Hapo kwenye uzi huo tutaongelea elimu yenu ilivyowafunza kuchinja na kukaanga na kula viungo vya albino.Sawa jombaa?
Vp kuhusu elimu yenu inayowafanya muolewe huko USA na wanaume wenzenu au kuchinjwa na Al shabab huko somalia
 
Wee juha mkubwa nyinyi elimu yenu ya secondary si mnaishia kidato cha nne mkitoka hapo hatua inayofuata ni chuo??sisi huku tz kuna kidato cha nne,tano na sita sasa unatarajia nn hapo??kwa kifupi elimu ya kenya sec ni miaka4 tz elimu ya sec ni miaka6 sasa hapo unataka tulingane nn acha ujuha wako huko hawarudii 7bu ni vilaza bali ni mifumo ya elimu kutofautiana
Kenya pia kuna darasa la nane,unajua hilo?Kwa kifupi unataka kuniambia elimu ya kidato cha kwanza tz ni ile ile ya darasa la tano Kenya?Sasa miaka yote hiyo ya katikati mnaitumia kufanya nini?Si hiyo ni elimu duni?Kama ni hivo,nimekuelewa vizuri.
 
Aisee acheni kuambia ndugu zenu watz ukweli,hawapendi hilo kabisaa.Nimesoma Kajiado mimi,shule ya msingi na ya upili pia.Kajiado inapakana na tz upande wa kusini.Wanafunzi watz ni wengi tu shule za binafsi za Kajiado.Toka enzi zile nikiwa shule ya msingi hadi sasa,mwanafunzi anayetoka kidato cha pili tz akija Kenya anarudishwa hadi darasa la sita!Naye wa kidato cha kwanza kutoka tz anarudishwa hadi darasa la tano.Darasa la tano!Shule ya msingi!Kubalini tu watz,elimu yenu ni ya kipuuzi tu!Tulisoma na wanaume watz wana hadi ndevu,shule ya msingi!Bado kwenye masomo tuliwapa kichapo everidei,kama walivopenda kusema.
Hahahaha,
A very poor reasoning from ndugu msomi wa Kenya,
Mitaala ya Tanzania na Kenya ni tofauti.
Mpumbavu kweli wewe.
 
Kenya pia kuna darasa la nane,unajua hilo?Kwa kifupi unataka kuniambia elimu ya kidato cha kwanza tz ni ile ile ya darasa la tano Kenya?Sasa miaka yote hiyo ya katikati mnaitumia kufanya nini?Si hiyo ni elimu duni?Kama ni hivo,nimekuelewa vizuri.
Huna tofauti na kuku aliyekatwa kichwa sasa kama hujaelewa nikichosema sina cha kukusaidia huo ubora wa mfumo wenu wa elimu upo wap???sasa kama tofauti zilizopo katka mifumo ya elimu bora ukae kimya kuliko kuonyesha ujuha wako hapa
 
Vp kuhusu elimu yenu inayowafanya muolewe huko USA na wanaume wenzenu au kuchinjwa na Al shabab huko somalia
Haha,watz kwa kusongesha 'goalpost' kila mnapoona bao limeingia,hamjambo.Sasa hao vijana wenu wanaovaa hadi nguo za kike na kujiuza mitandaoni ni matokeo ya form six au?Hao wanaume wenu maboflo wa dar nao pia?Je panya road na mazombie nao?Heri alshabaab aisee ambao si wakenya ni ma'terrorists'!Nchi yenu ya viigizo na ze comedy hamuioni?Elimu yenu baado,ona mnavojadili hoja?Mnatia kichefuchefu aisee!
 
Elimu yenu,hata kama mfumo wake ni tofauti na wa Kenya bado ni duni kuzidia.Wanaopitia wanamaliza wakiwa vilaza na nyumbu tu,mpende msipende,mtake,msitake ukweli ni huo!Kama elimu ingekuwa ya hali ya juu pamoja na rasimali nyingi nchini mwenu,hamngekuwa bado mpo kwenye usingizi wa pono.Mnajivunia kuitwa the 'sleeping giants' nini?Haya hongera kwenu!
 
Tanzaniaaaaaaaa,Tanzaniaaaaaaaaaaaaaaaa.Nakupenda kwa moyo woteeeeeeeeeeeeeeee.I love Tanzania my Mama Land.
 
Huna tofauti na kuku aliyekatwa kichwa sasa kama hujaelewa nikichosema sina cha kukusaidia huo ubora wa mfumo wenu wa elimu upo wap???sasa kama tofauti zilizopo katka mifumo ya elimu bora ukae kimya kuliko kuonyesha ujuha wako hapa
Ujuha gani unaozidi wako aisee?Eti kuku kafanywa nini?Haha!Ubora wa mfumo wetu wa elimu ni kwamba,mnanunua bidhaa za Kenya madukani tz wakati bidhaa zenyewe zimetengenezwa na mazao yaliyovunwa huko huko tz!Mnalialia wakenya wanawanyima nafasi za kazi wakati ni waajiri wanaotaka wakenya na si watz kwa biashara zao huko huko tz!Niendelee?Hali ya uchumi wa Kenya ukilinganisha na tz nao?Kalale kijana!
 
Elimu yenu,hata kama mfumo wake ni tofauti na wa Kenya bado ni duni kuzidia.Wanaopitia wanamaliza wakiwa vilaza na nyumbu tu,mpende msipende,mtake,msitake ukweli ni huo!Kama elimu ingekuwa ya hali ya juu pamoja na rasimali nyingi nchini mwenu,hamngekuwa bado mpo kwenye usingizi wa pono.Mnajivunia kuitwa the 'sleeping giants' nini?Haya hongera kwenu!
Walio kwenye usingizi wa pono ni hao waliouza ardhi kwa wakoloni na kuanza kutolea macho TZ.Imeandikwa"usitamani..........yako"
 
Ujuha gani unaozidi wako aisee?Eti kuku kafanywa nini?Haha!Ubora wa mfumo wetu wa elimu ni kwamba,mnanunua bidhaa za Kenya madukani tz wakati bidhaa zenyewe zimetengenezwa na mazao yaliyovunwa huko huko tz!Mnalialia wakenya wanawanyima nafasi za kazi wakati ni waajiri wanaotaka wakenya na si watz kwa biashara zao huko huko tz!Niendelee?Hali ya uchumi wa Kenya ukilinganisha na tz nao?Kalale kijana!
Hakuna mtz atakayelilia nafac za kaz kwa wakenya 7bu mna njaa kupindukia
 
Tanzaniaaaaaaaa,Tanzaniaaaaaaaaaaaaaaaa.Nakupenda kwa moyo woteeeeeeeeeeeeeeee.I love Tanzania my Mama Land.
Duh!Umenikumbusha mbali,enzi zile shule ya msingi!....nchi yangu tanzaniaaa,jina lako ni tamu sana weeee.Niamkapo asubuhi nakuwaza eweeee wanguuu.Tanzaniaaa,tanzaniaa.....duh!Watani wetu tukijadili hoja mnaona kama tuna chuki!Ndugu zenu tumeishi nao tumesoma nao na ni marafiki zetu hadi sasa.Kawaida yetu wakenya ushindani ndo maisha kwetu!
 
Walio kwenye usingizi wa pono ni hao waliouza ardhi kwa wakoloni na kuanza kutolea macho TZ.Imeandikwa"usitamani..........yako"
Umeona eeeh hii mijitu ilivyo mijinga yani ikomae ardhi ya tz iwe yao
 
Back
Top Bottom