Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
ur problem was the mountain being highest? sio? That is Kilimanjaro highest for u! Do u dispute that?That had nothing to do with my post. Your level of education is pathetic.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ur problem was the mountain being highest? sio? That is Kilimanjaro highest for u! Do u dispute that?That had nothing to do with my post. Your level of education is pathetic.
Kilimanjaro is not the second highest mountain in the world. It is NOT even even in the top five, NOT even in the top ten, NOT even in the top hundred. Please Geza Ulole Kimweri MOTOCHINI sir longo etc, is this the high quality form six education you were talking of? Ati Kilimanjaro is the second highest mountain in the world when it is hardly in the top 200? MK254 saadeque look at these jokers.
Acha longo longo wee. You said Mt. Kilimanjaro is the second highest in the world when it is NOT even in the top 200. I would have forgiven you if it was in the top five but this? Lol, This is like saying Mwanza is the second largest city in the world. It simply shows your quality of education is pathetic.
As usual Geza will try going off topic to save his ass lol. My point is simple, someone who claims their country has better education can't get a fact about their country's most famous feature right. That's something class 3 kids elsewhere have on their finger tips.ur problem was the mountain being highest? sio? That is Kilimanjaro highest for u! Do u dispute that?
Lol, hydrogen was right. It's extremely hard to argue with Tanzanians. Why don't you just accept your weakness and move on? Nobody's talking about tourist attractions here.whether pathetic or not but my education is good enough to pay my bills. Any way the truth stands that it's a tourist attraction.
That is the problem because our education is pathetic and you think we are dull enough just to sit down and let you claim that Kilimanjaro is in the land of Kenya.As usual Geza will try going off topic to save his ass lol. My point is simple, someone who claims their country has better education can't get a fact about their country's most famous feature right. That's something class 3 kids elsewhere have on their finger tips.
idiot....,Mt Kilimanjaro is the highest free standing Mt in the World! U can't change that fact...As usual Geza will try going off topic to save his ass lol. My point is simple, someone who claims their country has better education can't get a fact about their country's most famous feature right. That's something class 3 kids elsewhere have on their finger tips.
As usual Geza will try going off topic to save his ass lol. My point is simple, someone who claims their country has better education can't get a fact about their country's most famous feature right. That's something class 3 kids elsewhere have on their finger tips.
Wakiwa wanapindisha ukweli wanajifanya hamnazo.Mtoto wa Odinga waziri mstaafu mdada mzima hajui olduvai gorge ilipo, ndio amejua juzi juzi hapa baada ya wabongo kumfundisha, tena mbele ya kadamnasi ya UN, na smartphone yake on her finger tips wala hakujisumbua kugoogle, maybe because she was sure what she was taught. What do you say about your education.
Hence hakuna wa kuchekana ndugu, hihiihiii. Thread closed, NEXT
idiot....,Mt Kilimanjaro is the highest free standing Mt in the World! U can't change that fact...
We can not let you call spade a spoon though.
just because there are lazy journalist in Tz, doesnt mean there arent worse problems in tz. just because tz doesnt have journalists that proactively make it their business to go out there and find their own stories and report them and tell it like it is, a cristisize without fear or favor....The poor stand no chance at education
Updated Sunday, May 22nd 2016 10:00am
![]()
Author
Vollah Owino
Gone are the days when education brought uniformity amongst members of a society irrespective of their social status. Nowadays the bourgeoisies are in control of the education system. They build private primary schools which drill children through their cram to pass technique. This has been crafted and proved effective over the years thus ensuring children of the haves in the society pass with flying colours. Thereafter, they join the limited national high schools and best county schools in their numbers.
Those who will not have the opportunity to join national schools and county schools due to their below par performance will head to private high schools for advanced drilling to justify the capita investment of their parents.
WERBUNG
inRead invented by Teads
Here spoon-feeding is the order of the day considering the favorable teacher-student ratio mostly 1:25 at most. Making them record business attractive mean scores such as 399.9999 in primary level and 10.999 in secondary level to boost the student enrollment numbers the following year.
Whereas their colleagues in the public sector, a hustlers paradise where everything is low; low teacher student ratio, low book ratio, low morale due to low remuneration of teachers and low class attendance. The only thing, which is high, is the student population which leads to ‘mediocre’ mean scores that depict teachers as jokers who just come to school for the sake of their salaries.
See Also: Hire more teachers to end current crisis
Here, read to understand technique applies if you can’t understand the train has just left you at the station. Students from these schools are often faced with financial challenges but those who manage to join national and top county schools become instant performers who are found on the upper sphere of the academic merit list.
The number of parallel students in competitive courses such as medicine, law and engineering has either doubled or tripled the number of their government sponsored counterparts. This is because varsities claim they don’t have the ‘capacity’ to train them but they always have capacity to train the privately sponsored students.
Courses such as piloting are a preserve of the rich whereas the poor shift their focus to Education and other arts courses which the government willingly sponsors them in their numbers. Some of these courses are ‘irrelevant’ to the current job market. This is the case of generational poverty where the poor are to remain poor until the Lord returns.
The poor stand no chance at education
MY TAKE
Kenya having over 40% living under a dollar a day, how will a fool come here and brag about being more educated while the poor in his backyard can not afford to pay for that luxury?
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980 , Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Mwanakijiji, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Young girl - go to a country with decent schools, get a decent education then come back. We can. engage then.
marginalising people is a defend mechanism of unsecured person.Young girl - go to a country with decent schools, get a decent education then come back. We can. engage then.
Young girl, when you start reasoning like a lady I'll call you a lady.shut up and stop calling me a young girl.
Ungetumia huu muda ulioupoteza kuandika hizi propaganda zako kuwaza jinsi yakumaliza umaskini mlionao i think mngekuwa mbali.. Kitu ambacho hujui nchi zote za Africa mashariki zina changamoto zinazofanana za kielimu,EAC ina kila kitu na kila sababu za kupaa na kuwa ukanda bora Afrika, lakini mojawapo wa sababu zinazofanya tukwame ni elimu duni ya baadhi ya majirani zetu kwenye huu muungano. Na hii imechangia sana kuona watu wana kauli za kiajabu hata huku Jamii Forums.
Mfano hai, majirani zetu Tanzania, unakuta mwanafunzi anafikia hadi darasa la saba halafu anafanya mtihani wa mwisho wakati hajui kusoma wala kuandika. Haingii akilini, yaani afikie hadi kwenye mtihani wa mwisho akiwa kilaza bila uwezo wa kusoma wala kuandika. Halafu wanaachiwa na kuingia sekondari/upili na kuendelea, hatimaye ndio hawa wanapata simu baadaye na kuingia kwenye mitandao ya kijamii na kutuzingua kila siku.
Kweli ni hatari, maana eti ndio kizazi kinachotegemewa kuhusika katika ushirikiano wa kesho baina ya nchi zetu hizi. Hapo unakuta watu wananuna kwa kila azimio, kumbe tatizo ni elimu. Juzi wametutukana sana baada ya kusikia watoto wetu wa darasa la kwanza wanapata laptops.
Taarifa kamili hii hapa
Wanafunzi wasiojua Kusoma na Kuandika wanafaulu vipi Mtihani wa Darasa la Saba? | Fikra Pevu
KILA mwaka zimekuwa zikitolewa takwimu za idadi kubwa ya wanafunzi wanaofaulu darasa la saba na kuendelea na masomo ya sekondari, lakini tukielezwa kwamba hawajui Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.
Kwa hakika kabisa, ni jambo ambalo linaumiza kichwa kwa sababu katika mfumo rasmi wa elimu katika nchi hii, kuna mitihani ya kupima uelewa wa wanafunzi kuanzia darasa la nne, ambayo lengo lake ni kuwachuja wanafunzi wanaopaswa kuendelea na masomo ya darasa la tano, kabla ya kuufikia mtihani wa Taifa wa darasa la saba.
Kutokana na mfumo huo, maana yake ni kwamba wanafunzi wote waliopita darasa la nne na hatimaye kufika darasa la saba, wana uwezo kitaaluma. Kwa hiyo, zinapokuwepo taarifa za wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza, ambao hawawezi hata kuandika majina yao, hilo kwa kiasi fulani linakuwa ni jambo la kushangaza.
Agosti 14, 2013, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, akizungumza kwenye Warsha ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, iliyoandaliwa maalum kwa ajili ya watendaji wa elimu ngazi ya kanda, mkoa na wilaya, naye alikiri kushangazwa sana na taarifa za kuwepo na wanafunzi wanaofika hadi darasa la saba wakati hawajui kusoma wala kuandika.
“Halafu Ofisa Elimu unawateua wanafunzi wa aina hiyo kwenda Sekondari. Tatizo liko wapi? Uteuzi wenu unazingatia vigezo vipi? Je, hakuna namna ya kuthibitisha wale waliochaguliwa wanajua kusoma na kuandika? Maofisa Elimu mnashirikiana vipi na walimu wakuu katika hili?”alihoji Dk Kawambwa katika warsha hiyo.
Kwa sasa, Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi kila mwaka bila kuwa na stadi za kujua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK), huku baadhi yao hao wakifikia hata kuchaguliwa kuanza kidato cha kwanza.
Takwimu kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) zilizokusanywa katika mikoa yote ya Tanzania Bara katika miaka ya hivi karibuni, ambazo FikraPevu inazo, zinaonyesha kwamba wastani wa chini kabisa wa idadi ya wanafunzi wanaomaliza darasa la saba bila kuwa na stadi za KKK katika kila mkoa ni 200, huku wastani wa juu ukiwa ni wanafunzi 400.
Aidha, akijibu maswali ya wabunge bungeni mwaka huo, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo alisema katika matokeo ya kidato cha nne mwaka 2010, asilimia 88 ya wanafunzi wote waliomaliza mwaka huo, walipata daraja la nne na sifuri, huku asilimia 12 tu wakipata daraja la kwanza hadi la tatu, huku akibainisha pia kwamba asilimia 31 ya Watanzania wote nchini walikuwa hawajui kusoma na kuandika.
![]()
Wanafunzi wa darasa la awali wapatao 90 katika shule ya msingi Puulu wilayani Nyasa mkoani Ruvuma hali inachangia kukosa stadi za KKK
Takwimu zote hizo TET na Wizara, ni ushahidi tosha kwamba kuna jitihada za ziada zinazotakiwa kuikomboa nchi hii kutoka kwenye dimbwi la ujinga. Ongezeko la wanafunzi wanaopata daraja sifuri, linakwenda sambamba na ongezeko la watu wasiojua kusoma na kuandika.
Ikumbukwe kuwa katika miaka ya 1970 na 1980, Tanzania iling’ara katika nchi za Bara la Afrika, hasa Kusini mwa Jangwa la Sahara, kutokana na kasi ya kupunguza idadi ya wananchi wake wasiojua kusoma na kuandika.
Chini ya Sera ya Elimu ya Watu Wazima, nchi iliongeza idadi ya watu wanaojua kusoma na kuandika kila mwaka. Manufaa yake yalionekana bayana kwa kuwa watu waliweza kupambana na changamoto zinazowakabili, ikiwa ni pamoja na kuongeza uzalishaji wa mazao mashambani kutokana na kuzingatia elimu ya kilimo bora, sambamba na kuongeza uelewa wa kujikinga na maradhi mbalimbali.
Hadi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere anang’atuka madarakani mwaka 1985, idadi ya Watanzania waliokuwa hawajui kusoma na kuandika ilikuwa ni takriban asilimia tisa (9) tu. Kwa hiyo, kama Taifa, kama tungefanikiwa kuendeleza kasi hiyo ya wakati wa Mwalimu hadi mwaka 2010, tungekuwa na angalau asilimia 95 ya Watanzania wanaojua kusoma na kuandika, sawa na asilimia tano (5) ya wasiojua kusoma na kuondika.
Kuongezeka kwa idadi ya wananchi wasiojua kusoma na kuandika kutoka asilimi tisa mwaka 1985 hadi asilimia 31 mwaka 2010, ni ushahidi tosha kwamba Taifa hili linarudi nyuma kwenye ujinga badala ya kusonga mbele. Historia ya Elimu ya Watu Wazima inaonyesha kwamba ilipofika Agosti mwaka 1975, Tanzania ilikuwa ni nchi ya kwanza ulimwenguni kufanya mtihani wa kisomo kwa watu wazima wapatao zaidi ya milioni 3.8, sawa na asilimia 77 ya watu wazima wote waliokuwa wanahudhuria madarasa ya kisomo hicho.
Aidha, mwaka 1981, Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza katika nchi za ulimwengu wa tatu, kuanzisha kampeni ya kitaifa ya kisomo cha kujiendeleza iliyohusisha watu wazima zaidi ya milioni 1.4 waliofuzu kisomo katika hatua ya nne. Ingawa hivi sasa juhudi zimeanza upya, huku mipango thabiti ikiwa imeandaliwa kwa lengo la kufufua upya kisomo cha kujiendeleza, uchunguzi uliofanywa na FikraPevu umebaini kuwa Taifa hili linakabiliwa na tatizo kubwa la ujinga wa kutojua kusoma na kuandika kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya Tanzania.
Kwa mujibu wa matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2002, pamoja na matokeo ya tafiti mbalimbali zilizopo, ilikadiriwa kwamba idadi ya watu wazima waliokuwepo katika nchi hii, ambao walikuwa hawajui kusoma, kuandika na kuhesabu, walikuwa ni milioni 5.5, sawa na asilimia 32 ya Watanzania wote wa mwaka huo. Miaka 10 baadaye, kwa maana ya matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012, idadi ya watu ambao hawakuwa wakijua kusoma, kuandika na kuhesabu, ilifikia jumla ya watu takriban milioni 11, sawa na ongezeko la ujinga mara mbili ya ule wa mwaka 2002.
Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa katika Sekta ya Elimu, ambao umeamua kuwaondolea mrundikano wa masomo wanafunzi wa darasa la kwanza na la pili, na kuwabakiazia masomo matatu tu ya Kuandika, Kusoma na Kuhesabu, pengine ni mikakati unaoweza kusaidia kupunguza tatizo hili la wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza bila kuwa na stadi yoyote ya KKK.
Hii ni changamoto mpya kwa Serikali, kupitia Wizara ya Elimu katika kuhakikisha kwamba mtaala huo mpya wa kujenga stadi za KKK katika shule za msingi, unatekelezeka kwa vitendo ili kuinusuru nchi hii kutoka katika wimbi kubwa la watu wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu.
mh, we nawe ni kilaza, yani wasiojua kusoma ndio wamiliki wa mabiashara makubwa.Elimu ya watanzania!!!!
Labda uliyoyasema ni kweli, lakini haohao unaowaita vilaza ndio;
Wanunuzi wakubwa wa bidhaa zenu za viwandani,
Wanawauzia na nafaka za kula na kufanyia biashara, wanawaajiri ktk shule na mahoteli yao.
Nimegundua mnachuki, hila na kijicho sana na tanzania, mnatamani hata majanga yatupate.
Huishi kuutafuta ubaya wa watanzania kwanini?
Kama tz ni kikwazo kwanini msiendelee na nchi zingine?
Tz bila kenya tutaishi bila shida.
Ninajua mnaihitaji sana tz kuliko tz kuihitaji kenya.