ELIMU YA Mh. NYAMBALI

ELIMU YA Mh. NYAMBALI

Mtanzania haswa

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
663
Reaction score
100
wadau wenye data kuhusu elimu ya huyu mh. mwageni hapa, napata wasiwasi wa elimu yake pale anapochangia hoja bungeni.
 
Bunge la Tanzania cv yake ni ujuwe kusoma na kuandika basi, hata kama umeishia darasa la tatu.
 
Kwa Uelewa wangu Ana Elimu ya kuunga unga sana inakuwa ni vigumu kujua haswa Elimu Yake.
 
wadau wenye data kuhusu elimu ya huyu mh. mwageni hapa, napata wasiwasi wa elimu yake pale anapochangia hoja bungeni.
Huyu jamaa nilisoma naye Mara sec school alikuwa rafiki yangu wa karibu sana ingawa baada ya kumaliza o level yeye alienda shule nyingine na mimi kwenda shule nyingine lakini tuliendelea kuwasiliana na kuwa karibu. O level halikuwa hana uwezo kabisa alichukua masomo ya Art. Lakini alikuwa mwizi mkubwa sana wa mitihani mpaka alituletea matatizo makubwa sana kipindi hicho kwa ajili ya wizi( waliosoma mara sec school 1992-1995 watakumbuka), baada ya hapo alienda Mkwawa aliendeleza ishu yake ya wizi wa mitihani, UDSM nasikia aliendeleza ishu ya kuiba mitihani. UDSM alikuwa anasoma kiswahili.
 
SASA KAMA amesoma kiswahili mbona hakijui?~!!
 
mwizi pia wa haki za watunz mbali mbali wa vitabu, ni mzee wa ku copy na ku paste!
 
Kweli kabisa. Huyu jamaa sisi tulimuita Chavda pale Mar Sec sababu ya wizi wa mitihani. Alikuwa mtupu tu japokuwa alikuwa kiranja wa Kilimo. In short jamaa kichwani hajakaa sawa na uwezi wake ni mdogo sana
 
mwizi pia wa haki za watunz mbali mbali wa vitabu, ni mzee wa ku copy na ku paste!
Tehe tehe, wa hivyo atatamani kudesa yale wengine wanayochangia. Kwa mwendo wapiga kura wanapata galasha, tehe tehe.
 
Kweli kabisa. Huyu jamaa sisi tulimuita Chavda pale Mar Sec sababu ya wizi wa mitihani. Alikuwa mtupu tu japokuwa alikuwa kiranja wa Kilimo. In short jamaa kichwani hajakaa sawa na uwezi wake ni mdogo sana

sasa inakuwaje anakabidhiwa dhamana ya uongozi??hivi tufanye nini ili tupate viongozi wanaofaa?
 
Hii ndo bongoland. Sababu yuko CCM ndo maana ila ukweli jamaa ni mtupu tena sana. Hapo mara kazi yake ilikuwa kulima na kuuzia shule mboga tu hata kama yuko likizo
 
masauni
Huyu jamaa nilikuwa naye darasa moja Mara Sec. 1990 -1993. Ni kweli alikuwa anasoma masomo ya art. Namjua vizuri sana kwa wizi wa mitihani. Nilishangazwa kukuta siku moja eti ame-edit vitabu vya kemia. Mungu wangu nilisikitika sana. Huyu aliye kuwa anafeli kemia ya kidato cha 1 na 2 leo ana-edit kitu hicho hicho. Niliahapa mtoto wangu nikimkuta anasoma vitabu vya huyu jamaa nitakichana.
 
mwizi pia wa haki za watunz mbali mbali wa vitabu, ni mzee wa ku copy na ku paste!
teh teh asijekuwa yupo kama yule mwalimu wa kwenye tangazo za haki elimu.UNAZIMA COMPYUTA YAKO ALAFU ITABADILIKA RANGI INAKUWA YA BLUU AU UNA KILIKI
 
Mimi nilikuwa sijawahi kumwona, leo nimeshangaa sana maana alichokuwa anaongea hata darasa la saba anaweza kumzidi, kiswahii nacho hoi kabisa.
Nimewalaumu sana watu wa Tarime kwa kuliacha Jembe la Chadema wakachagua hili debe tupu!

Kwa jinsi nilivyomwona leo, ni halali watu wa Tarime wampige mawe maana hamna kitu ni zero sifuri!

Jamaa anaonekana umri siyo mkubwa lakini ameshakuwa mzembe sababu ya tumbo lake kubwa!

Kwa kweli kama wabunge wa upinzani wakitoka bungeni ni bora tusiwe na bunge maana magamba yanaboa sana!
Yaani ni sifuri mainazi.
 
vitabu vyake ni vingi sana! sana! mnapochangia mjue hilo, na ameanza kuandika tangu akiwa 4m 6!
 
Yule jamaa ndo ukomboz wa watoto wa kata. Point zake maelezo mistar miwili tu, bas vijana wanavyompenda, ndo chanzo cha zero nyingi sbb darasa zima wanandika point moja maelezo yale yale. Tunaita kizazi cha "Ingwine Ingwine"
 
vipi ana deliver the goods?hili ndiyo swali muhimu,manake kujua/kutokujua kuzungumza Kiswahili sanifu siyo inshu.Anaweza asiwe muongeaji mzuri jukwaani lakini akawa mchapakazi/analeta maendeleo jimboni.Tuache ujinga na kudhani wanaojua kujenga hoja vizuri majukwaani ndiyo vichwa.Tuangalie vitendo/uchapakazi,siyo porojo za majukwaani.
 
sasa inakuwaje anakabidhiwa dhamana ya uongozi??hivi tufanye nini ili tupate viongozi wanaofaa?

Tupunguze maslahi bungeni. Uongozi uwe ni wa kujitolea zaidi kuliko vile ilivyo sasa.
 
Yule jamaa ndo ukomboz wa watoto wa kata. Point zake maelezo mistar miwili tu, bas vijana wanavyompenda, ndo chanzo cha zero nyingi sbb darasa zima wanandika point moja maelezo yale yale. Tunaita kizazi cha "Ingwine Ingwine"
Duh! jF inaweza kukubakiza totally completely naked! Nyambala tepetepe!
 
Back
Top Bottom