Elimu ya Nape Nnauye

tunataka utendaji bora, unaweza kuwa PhD holder lakini still ukawa kilaza tu kwenye utendaji wako
 

Karibu JF, Join Date : 21st February 2013

Posts : 2

Rep Power : 0
Likes Received 0

Likes Given 0


Karibu Gamba jiepushe na kukurupuka soma vizuri makala ya mnyika majibu ya maswali yako ya kitumbafu yako kule.

 
Kumbe alijifunzia matusi NSUMBA au alitoka nayo NGUDU???????????
NI kilaza tu huyo. Hana lolote katika jamii.
Mbona WASUKUMA WENZAKE NI WAJANJA????????? AU yeye sio msukuma????

Nape sio msukuma, ni chotara wa kinyakyusa na kihindi.....!!!!!!!
 

Kabisaaaaa,huo ndo ukweli halisi!!
 
Hebu tuache porojo na ngonjera zako zote hizi sasa tujikite kwenye fact, tufanye Mnyika ameishia darasa la saba sasa swali langu ni hili:

Kati ya Mnyika standard seven Graduate na hao Maprofesa wenu na Madoctor wenu na Masters holder Nape, Ni nani ambaye kazi zake na mchango wake unakubalika kwa jamii?

Hivi Profesa Kapuya anaweza kushindanishwa na Mnyika kwa lipi? jitu tangu limeingia Bungeni linachapa usingizi tu na huyu mwenye Elimu ndogo kama mnavyotaka kutuaminisha ndio anainyima usingizi Serikali hii Dhaifu ya JK.
 
Mnyika na Nape wangeweka CV zao jamvini ili tuzipime kuliko kuendelea kutupiana vijembe.
 
Kilaza ni nani mwenye masters? Au mwenye elimu ya kidato cha 6

Chama
Gongo la mboto DSM

Usisahau degree kuna za C.H. U .P I kwa baadhi ya kina dada ambao uwezo wao wa kielimu ni mdogo kama huyu mtu aliyepata Four ya 29. Sasa sijui za mwenzetu ni za nini? Pia mwambie aje atuambie jinsi alivyopta sifa za kuingia kidato cha tano.
 
Kwa nini asiweke cv yake hapa jf? Na kwa nini Nape hajibu toka juzi nimeona maswali mengi lakini Nape yuko buzy. Haipendezi!
 


alisoma pia diploma chuo cha diplomasia pale kurasini
 

Mimi nadhani wewe umeamua kubisha tu, na kuweka hoja ambazo hazina mashiko! Kwa kifupi hata wewe ukitaka kujua ulikuwa wa ngapi wakati unamaliza elimu yoyote chini ya NECTA, utajua tu! sio ishu kam Mnyika alijua amekuwa wa kwanza, mpaka leo huo utaratibu upo wa kujua nani kaongoza!

Ishu ya matokeo ya Form Six aliweka bayana kuwa alipata division II, sasa sijui ulitaka asemeje zaidi ya hapo!

Kumaliza chuo kasema kamaliza BBA udsm, labda kama wewe unajua vingine.

Halafu ishu ya shule sio haja, uwezo wa Mnyika wa kujenga hoja na kujieleza, ni zaidi hata ya wasomi wengi duniani, hilo hata Magamba wenzako wanakiri na kumpa heshima kwa hilo, cjui wewe unataka nini!

Mwisho, kama uliwahi kuangalia mdahalo ambao ulihusisha vijana na Mnyika na Neppi wakihudhuria hapo tajua tofauti ya Mnyika na gamba Nepi.

Tamati, nimemkuta Nape kwenye chumba cha mtihani Mzumbe akifanya special exams, kwa maana sisi hatukuwa wa mwaka wake..inaonyesha jinsi asivyo makini na suala la elimu!
 
Maoni yangu si-ya kisiasa:mbuzi hawezi kuwa ngombe, Mnyika ni kichwa tu kwani uwezo wake ndio una onyesha jamaa ni bright sn achana na mambo ya kisiasa.
 
You are right! people can learn a lot from Nape including rude language and inconsistance. Furthermore, people can learn from Nape that, it is possible to attain academic achievement by simply insulting CHADEMA!

There you go again! If that is case why not advising John Mnyika to do the same? Don`t you want him (Mnyika) to prevail academically? Look at Nape Nnauye courages; you know there is good story to be told; that was brilliant achievements; big up Nape!!!! this is a wake up call for Mnyika!!!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Will you kindly go back to my post to get the gist of my argument before responding!
 
Kumbe alijifunzia matusi NSUMBA au alitoka nayo NGUDU???????????
NI kilaza tu huyo. Hana lolote katika jamii.
Mbona WASUKUMA WENZAKE NI WAJANJA????????? AU yeye sio msukuma????

BUCHANAGANDE huyo atakuwa si msukuma, isitoshe wasukuma huwa hatuna tabia ya kusema matusi ovyoovyo.
 
Kwa wale wote wanaobishana na "chama" humu nanyi mtakuwa na akili za uharo kama huyo "chama" mwenyewe!!!
I'm done.................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…