Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nadhani wewe umeamua kubisha tu, na kuweka hoja ambazo hazina mashiko! Kwa kifupi hata wewe ukitaka kujua ulikuwa wa ngapi wakati unamaliza elimu yoyote chini ya NECTA, utajua tu! sio ishu kam Mnyika alijua amekuwa wa kwanza, mpaka leo huo utaratibu upo wa kujua nani kaongoza!
Ishu ya matokeo ya Form Six aliweka bayana kuwa alipata division II, sasa sijui ulitaka asemeje zaidi ya hapo!
Kumaliza chuo kasema kamaliza BBA udsm, labda kama wewe unajua vingine.
Halafu ishu ya shule sio haja, uwezo wa Mnyika wa kujenga hoja na kujieleza, ni zaidi hata ya wasomi wengi duniani, hilo hata Magamba wenzako wanakiri na kumpa heshima kwa hilo, cjui wewe unataka nini!
Mwisho, kama uliwahi kuangalia mdahalo ambao ulihusisha vijana na Mnyika na Neppi wakihudhuria hapo tajua tofauti ya Mnyika na gamba Nepi.
Tamati, nimemkuta Nape kwenye chumba cha mtihani Mzumbe akifanya special exams, kwa maana sisi hatukuwa wa mwaka wake..inaonyesha jinsi asivyo makini na suala la elimu!
Samahani wote:Nape kasoma NGudu baadae Nsumba!?Kumbe mshamba tu huyu.Mjini kaja lini.Km ntamgusa mtu anisamehe
......ayaaaaahh ! kaka nape huku usije jamaa wameshayapata matokep yako ya form four,aibu,chungulia mwenyewe kwa ID nyingine ! dah ! mambo hadharaniiii mtumzima.....teh tehehhehhehhhh !
Kwa kweli watu kwa ujumla wamezaliwa na talents na intelligences tofauti. Hilo halipingiki.
Kama ni kwa vigezo vya matokeo ya elimu rasmi kuanzia Form 4 hadi shahada ya chuo kikuu, basi hata mimi ningekuwa mfalme wa Bongo long time, jamani... Aminia!
And your point is kwamba Division four ya Nape ya point 29 haikupi mashaka alipataje Masters?Sijaona mahala ambapo Mnyika ameweka bayana kwamba form six alita division II. Kama ni kweli alipata division II form six, basi maana yake ni kwamba alishindwa kupata "equivalent of C C C" au alama za C tatu.
Sasa basi, mwanafunzi ambaye ameongoza mkoa wa darisalama akiwa darasa la saba, kisha akapata A A A A A A A A A form 4; kisha mwanafunzi huyo huyo akashindwa kupata C C C form six; Hii imeshajibu maswali kadhaa.
1. Imejibu kwanini hakwenda Ilboru
2. Imejibu kama alipata "A" tisa au alizaa "A" tisa
3. Imejibu kwanini alichagua kusoma evening classes.
Unless someone has suffered a severe amnesia, it is accademically impossible to NOT get "triple C" at form six, if indeed the same person had achieved 9 A's at form 4.
Huyu jama ni yarabi salama huyu, kwa wale waliosoma Tanga skuli enzi za Tetti watanielewa zaidi.
In fact, the integrity of his 9 A's is not worth the podium he preaches on. Jizi la mitihani.
Mbona wewe huelezi form six ulipata ngapi?au nawe ulizaa?watu wengine mnawatafutia watu ban za makusudi,yaani Mnyika kwa maelezo yote hapo hujamwelewa unamlinganisha na mtu ambaye hatuwezi kupata uthibitisho?Mnyika angekuwa kilaza angezaje kushawishi wasomi wa mlimani wampe kura?angewezaje kuwatingisha maprofesa kama Magembe.Bila shaka wewe ndiye Yarabi Salama
And your point is kwamba Division four ya Nape ya point 29 haikupi mashaka alipataje Masters?
Mimi nilisoma Mzumbe ninamasters ya Corporate Management na sikuwahi kuandika pepa maana pale elimu yetu tunaijua wenyewe in short hakuna shule pale hivi karibuni nimemaliza tena masters yangu UDSM baada ya kuona sikupata chochote pale Mzumbe
Naona PS wa Nape unawajibika!
Form six nilipata
A-mathematics,
A-Physics,
B-Chemistry.
Form 4 nilipata A-mathematics; A-Engineering science; A-Chemistry; A-English; A-Technical Drawing, A-mechanical Drawing, C-Kiswahili; C-motor vehicle mechanics, D-civics.
Sijaona mahala ambapo Mnyika ameweka bayana kwamba form six alita division II. Kama ni kweli alipata division II form six, basi maana yake ni kwamba alishindwa kupata "equivalent of C C C" au alama za C tatu.
Sasa basi, mwanafunzi ambaye ameongoza mkoa wa darisalama akiwa darasa la saba, kisha akapata A A A A A A A A A form 4; kisha mwanafunzi huyo huyo akashindwa kupata C C C form six; Hii imeshajibu maswali kadhaa.
1. Imejibu kwanini hakwenda Ilboru
2. Imejibu kama alipata "A" tisa au alizaa "A" tisa
3. Imejibu kwanini alichagua kusoma evening classes.
Unless someone has suffered a severe amnesia, it is accademically impossible to NOT get "triple C" at form six, if indeed the same person had achieved 9 A's at form 4.
Huyu jama ni yarabi salama huyu, kwa wale waliosoma Tanga skuli enzi za Tetti watanielewa zaidi.
In fact, the integrity of his 9 A's is not worth the podium he preaches on. Jizi la mitihani.
Mnyika is University drop out and Nape is Academic criminal.Point yangu ni kwamba Nape na Mnyika are two cheeks of the same ass. One is a failure accademically, the other is an accademic cheat. You will decide which of the two is better.
Point yangu ni kwamba Nape na Mnyika are two cheeks of the same ass. One is a failure accademically, the other is an accademic cheat. You will decide which of the two is better.
Mnyika is University drop out and Nape is Academic criminal.
Kumuita Mnyika ni Academic Failure basi tukubaliane kwamba na Bill Gates ni Academic Failure maana naye ni Harvad University drop out like Mnyika. Kazi kwako nnya itakutoka mwaka huu.
Naona unajambajamba tu hapa na kingereza chako uchwara, swali ni rahisi sana Bill Gates ni Graduate?Your damn stupid! John Mnyika was not even a full time student at UDSM; he was a evening student !! BG is an inventor and he respects education that why he gives millions of US dollars to colleges in US; Mnyika is just failure but well who always stands to defends him? Another form 4 failure!!
Chama
Gongo la mboto DSM