mi napita tu.....hii jela nje nje (bAN)
kilichosemwa chaweza kuwa na ukweli je?? mhh vijizawadi vya hapa na pale vinatia mashaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi napita tu.....hii jela nje nje (bAN)
bado nayatafakari matokeo haya ya form 4.! unatakiwa mpango wa dharula wa mageuzi ya elimu...tukubali tukatae hili ndio taifa lijalo licha ya mfumo wa kisultani uliopo wa kurithishana madaraka....Kawambwa ana ujasiri ambao binadamu aliyetimamu hawezi kuwa nao.
It is said that SIMPLE MIND DISCUSSES PEOPLE WHILE GREAT MIND DISCUSSES IDEAS. Unajua yuko katika tabaka gani la kiakili? jibu unalo!Napeeee!! Hata wewe ?? Kwenye masuala ya Elimu unahoji elimu za watu ?? Kwanini haujadili hoja unafaidi watu, kweli wakati huu ni wa kutuongoza tujadili "mtu" ?? Huyaoni yaliyo mbele yetu Kama Taifa ?? Au unataka tuamini wewe hayakuhusu ?? Haya ya umaskini, udini, ukabila, uvivu wa kufikiri, maradhi, shida za maji, ubovu wa elimu, miundombinu mibovu, rushwa, ufisadi, uvivu wa kufanya kazi, ukosefu wa ajira, mikataba mibovu ya madini/gesi..., Ardhi yetu inayotwaliwa na wageni, shida za muungano, dhiki ya mikoa ya kusini na gesi yao.... Au unataka sie tunaokujua tuanze kujadili uwezo wako na jinsi ulivyobebwa na walimu na wanafunzi wenzio pale Mzumbe!! Kwanini usijipe nafasi ya kujisomea tena masomo ulivyobebwa. Unapataje muda wa kujadili MTU ??
no comentkilichosemwa chaweza kuwa na ukweli je?? mhh vijizawadi vya hapa na pale vinatia mashaka.
| Noun | 1.nape-means the back side of the neck, or cervix |
cervix, neck - the part of an organism (human or animal) that connects the head to the rest of the body; "he admired her long graceful neck"; "the horse won by a neck" back end, backside, rear - the side of an object that is opposite its front; "his room was toward the rear of the hotel" |
Mhhhhhhhhhh kweliCCM kazi yao kubwa kuchokonoa na kusepa
sasa tabia hii ishawatokea puani.
Nape alivo kilaza hatathubutu kujibu kitu hapa kesho atakuja na CD nyingine tena
nshamzoea ni mwimba taarabu bora akajiunge na khadija Kopa watoe single.
Ridhiwani ni mwanasheria wa mahakama kuu....,anayo LLB....,inadaiwa kuwa kule Hull,London ...hakumaliza...Bali ameamua kujiunga na Kampala university kumalizia degree yake ya pili...
Nape alipata Dv III form four na Div. II form six!!!