Elimu ya Nape Nnauye

Elimu ya Nape Nnauye

Mwanaukweli

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2007
Posts
4,786
Reaction score
1,715
'Mwosha huoshwa'.

Nape Nnauye ulianzisha mjadala juu ya elimu ya Mheshimiwa John Mnyika na mwenyewe ameshajitokeza kujibu.

Katika uzi huo wa Mheshimiwa Mnyika wachangiaji wengi wamegusia kuhusu details za elimu yako.

Swali la msingi: Matokeo yako ya Form 6 yana mashaka, wengine wanasema ulipata Division IV wengine Division 0. Uliwezaje kwenda chuo kikuu na Division IV ya Form 6?

Ona duku duku la wengi kujua matokeo yako.
Nafikiri atakuwaNape Nnauye ameelewa sasa ingawa alikuwa anajifanya haijui elimu ya John Mnyika. Nape Nnauye Haya tuwekee na wewe elimu yako ya kuungaunga pamoja na mwenzako fisadi mtoto wa the pilot au Vasco da Gama

Haya sasa napie nawe weka tokeo la form 4

Ningependa sana baada ya majibu ya Mnyika (aliyepata A-9 straight), sasa nape atupe grades zake, na Ridhwani (who has always been insignificant person ukiondoa kuwa mtoto wa rais nao wawe grades zao humu)

tuleteeni ya Nape

Habari zilizoenea mitaani ni kuwa Nape alipata Division 0 mtihani wa Kidato cha 6, mwenye uhakika au yeye mwenyewe atuhakikishie. Na aeleze aliwezaje kwenda Chuo Kikuu baada ya kupata Division 0 mithani wa kidato cha 6.

Haya Nape na wewe tuwekee matokeo ya elimu yako ya awali yaani Drs. la 7, Form IV, na Form VI hapa jamvini. Tuanzie hapo kwanza.

Vinginevyo tukisema huko vyuo vikuu uliingia kwa favour fulani tutakuwa hatukosei. Mnyika kwa matokeo yake anaweza kwenda chuo kikuu chochote dunani hata baada ya miaka 20 ijayo. Tunaomba grades zako tujiridhishe jinsi ulivyoingia Chuo. Hilo tu kwa sasa mheshimiwa.

Nape na masters yake ya kuchakachua uwezo wake ni sawa na mwanangu aliye chekechea ni kiwango duni kuliko maelezo kitu kikubwa anachotakiwa kushukuru ni mfumo sultani uliombeba lakini jamaa ni mbulula zero kilaza na ndiyo maana anakubali kutumika bila kufikiria.
Ndugu wanajamvi nasikitika tu kueleza kuwa Nape kaanzisha suala la elimu ilihali yeye akijua kabisa kuwa hana uwezo na hatokuwa na uwezo kielimu kama aliokuwa nao Mnyika.

Nape alihamia Nsumba Sekondari iliyoko Mwanza Mwaka 1995 akitokea Ngudu Sekondari iliyoko wilayani Kwimba na kunikuta mimi nikiwa kidato cha kwanza yeye akiwa kidato cha pili.

Nape alifikia kuishi bweni lijulikanalo kwa jina la Mondlane room 3. Kijana Nape alikuwa mcha Mungu sana maarufu kama mlokole.

Nape baada ya kuhitimu form four alipata division four ya point 29. Sasa mimi sijui alifikaje huko form six. baada ya hapo sikuelewa tena nini kiliendelea kwa Nape kwa elimu ya bachelor lakini kwa masters yake amehangaika sana kukamilisha dessertation yake pale Mzumbe kwa habari niliyoipata kutoka kwa Lecturer mmoja ambaye ni jamaa yangu wa karibu na aliyemfahamu tangia akiwa form two.
Baada na hata kala ya kubuni na kusambaza tuhuma za uongo dhidi ya Ndugu John Mnyika,historia ya elimu ya Ndugu Nape Nnaye imekuwa, mara kwa mara, ikihojiwa na wafuatiliaji wa masuala ya mambo, hasa wanaojali na kuamini katika weledi, umahiri na umakini wa watekelezaji na wasimamizi wa majukumu mbalimbali katika ngazi na maeneo mbalimbali ya kiutawala..

Kwa kadiri ya ufahamu wangu,ningependa kuweka wazi kabisa kuwa Ndugu Nape amepata kusoma katika ngazi ya Kidato cha Sita na hatimaye kupata daraja sifuri. Kwa matokeo hayo, ni dhahiri kuwa Nape hana Elimu ya Kidato cha Sita.Kwa kuwa inafahamika kuwa Nape alipata daraja la Nne (IV) la pointi 29 katika mtihani wa Kidato cha Nne na kwa kuwa mantiki ya kawaida inaweka sharti la mtahiniwa yeyote wa Kidato cha Sita kuwa na angalau credits tatu katika matokeo ya Kidato cha Nne; basi, inafuata kimantiki, kuwa, Ndugu Nape amepata kufanya Mtihani wa marudio kwa minajili ya kupata alama ambazo zingemwezesha kuweza kumpa sifa ya kuweza kufanya mtihani wa Kidato cha Sita.

Katika hali ya isiyojulikana msingi wala nia yake, Ndugu Nape amekuwa si muwazi na mkweli hata kidogo katika historia yake ya kielimu na kitaaluma ingawa yeye mwenyewe amejivika jukumu la kuhoji viwango vya Elimu vya wananchi wengine. Kutokana na hali hiyo, wafuatiliaji wa elimu yake wamekosa majibu sahihi na yenye kujitosheleza.

Aidha mtu huyu amethubutu hata kudanganya umma mara kadhaa kuwa amepata kusoma katika Shule ya Sekondari Mwenge iliyopo iliyopo Singida, na kuhitimu Kidato cha Sita mwaka 2000. Hii si kweli. Baadhi yetu tunajua ,yeye mwenyewe anajua, ndugu zake wanajua na hata Utawala wa Shule kuwa huu ni uongo wa wazi. Nape, ingawa anaijua vema shule hiyo kongwe kabisa iliyopo Mjini hapo, hakupata kuwa mwanafunzi katika shule hiyo. Ukweli ni kuwa alifanya mtihani wa kidato cha Sita,kama mtahiniwa wa kujitegemea katika shule hiyo na kupata daraja sifuri.

Aidha, Nape katika miaka ya mwanzoni mwa 2000 alikuwa na kawaida ya kwenda katika shule hiyo kwa shughuli za Uinjilisti, akiwekeza katika kuwalea wanafunzi kiroho wa kikundi cha CASFETA shuleni hapo. Sasa, kama kufundisha dini tu mara moja kunampatia mhusika hadhi ya uanafunzi katika shule basi tunao wanafunzi na wahitimu wengi katika nchi hii kuliko tunaowajuai!

Mwisho kabisa ningependa kumsihi Nape ajenge utamaduni na tabia ya kusema ukweli maana ukweli, daima, utamuweka huru. Hii ni muhimu kwa kuwa haiwezekani kuwa mtu mwenye hadhi ya mtumwa katika kasri la Mfalme kupanga na kuratibu mkakati na mbinu za kuwatoa watumwa wengine wa kweli na wa uongo kutoka katika vifungo vya utumwa.
MUZEEZAIDI said:
Nimeamua kueleza ukweli huu baada ya kuona upotoshaji wa makusudi unaoendelea humu.

Kuna mtu kajitokeza kujibu elimu ya Nape wengi wakahoji kwani Nape yuko wapi asijitokeze mwenyewe kujibu kama alivyofanya Mnyika?

Naomba mfahamu aliyejibu ni Nape mwenyewe kwa kutumia ID ya bandia, lakini amekuwa mno too radical hadi watu wakamshtukia.

Lakini hoja sio kuwa radical, au kutumia ID bandia, hoja ni kuwa amefanya upotoshaji wa makusudi uliotuacha mdomnd wazi wale tunaomfahamu. Sasa ukweli kuhusu elimu ya Nape huu hapa.

Mwaka 1993 alifeli darasa la saba. Wakati ule jina halali la Nape akiitwa Nahum Nnauye. Waliosoma nae wanakumbuka. Bt akafanyiwa mpango na kupewa jina la Nape Mkumbo Nyagicha mtoto masikini wa Kinyiramba, aliyefaulu lakini familia yake haikuwa na uwezo wa kumsomesha.

Mwaka 1994 Nahum Nnauye akajiunga na shule ya sekondari ya kutwa Ndugu wilayani Kwimba akiwa na jina kaiba jina jipya la Nape. Mwaka 1995 akahamishiwa shule ya Sekondari Nsumba kwa kutumia title ya baba yake Mzee Moses Nnauye.

Mwal 1997 akafeli form four kwa kupata division four ya point 29 akiwa na D 4, c 1 na F 5. Akareseat mara 2 bila mafanikio pale Butimc TTC ambacho ni kituo cha watahiniwa binafsi. Mwaka 1999 na mwaka 2000.

Akakata tamaa na hatimaye mwaka 2001 akaamua kwenda kusoma cheti cha Uhazili (cert of secretarial services) katika chuo cha Kivukoni. So kabla sijaendelea naomba ieleweke kuwa Nahum Moses Nnauye (Nape) hajawahi kusoma form 5 shule yoyote duniani. Kama anabisha aje hapa tumuulize maswali ya Geography 1 au Ecomics 2 uone atakavyochanganyikiwa. Kwanza hajui kama kuna paper 1 na 2 A.level, atasemaje amesoma A.level?

So uhazili mwaka akatumia cheti chake cha uhazili kuomba diploma pale chuo cha Diplomasia kurasini. akapata na akaanza kusoma. Mwaka mwaka 2002 akafeli kuendelea na 2nd year baada ya kupata suplimentary 4 ktk masomo 6 aliyokuwa akisoma. So kwa kifupi akadsco. Hivyo naomba ieleweke kuwa huyu jamaa anayejiita Nape hajawahi kutunukiwa diplmoma yoyote kutoka Chuo cha Diplomasia Kurasini. Kwanza asikidhalilishe chuo maana pale hakuna Diploma ya mwaka mmoja. kama anabisha aupoad picha yoyote hapa alipokuwa anatunukiwa hiyo diploma.

Grace Mwasonge unamkumbuka Nape vzr maana alikuwa classmate wako wakati huo. So najua uko humu japo kwa ID tofauti naomba ujitokeze kudhibitisha ili isionekane nafanya defamation.

Mwaka 2004 akatumia cheti chake form four kuomba degree India kwa kusaidiwa na mwandishi mmoja mashuhuri nchini kwa kuwatafutia vyuo vya nje watu waliofeli.

Na akapata kwa masharti ya kusoma miaka minne. Ikumbukwe India ni nchi yenye vyuo vya hovyo sana duniani, na ni miongoni mwa nchi ambazo hata kama una zero unaweza kusoma Bachelor bila matatizo yoyote hadi ukahitimu. Reffer kesi ya Mr.Andekisye, Lecturer aliyefukuzwa kazi Arusha University kwa kusoma elimu feki India. Andekisye aliajiriwa kama mhadhiri wa Marketing na Business Mathematics akidai ana MBA kutoka India. Bt ilipofuatiliwa ikagundulika ni kweli ana Masters bt hajawahi kusoma Bachelor. Alichomoka na Diploma yake ya Ualimu (Mathematics & Physics) kutoka Monduli TTC akaaply Masters India akapata akaenda kujoin. Sasa imagine mtu anatoka Diploma anakwenda Masters sembuse Nape kusoma bachelor?

So akapata degree yake fake ya psychology ambayo ndiyo aliyoitumia kuomba masters mzumbe. Na mzumbe hakukabidhi cheti zaidi ya kile cha degree yake ya India.

Kama anabisha aweke vyeti vyake vya o.lel na a.level hapa.

Huyo ndiye Nahum Moses Nnauye anayejiita Nape. Katibu mwenzezi wa Chama cha Mapinduzi CCM na mgombe ubunge ubungo mwaka 2010, wakati ule akijaribu kushindana na genious aliyepata A 9 O.Level yeye akiwa na D 4 tu.

Watu hawa wote, pamoja na mimi mwenyewe tunaomba majibu.

Kama kuna waliosoma na Nape pia, mnaweza kutueleza mnavyomfahamu.
 
Nape, tunasubiri majibu ya grades zako za Form IV na VI

Kwa taarifa aliyotoa Mh. Mnyika, huyu mtu anayeitwa Nape, hawezi kujibu hoja wala na yeye kutoa details za elimu yake. mtasubiri mpaka Yesu harudi, nape hatoi taarifa yake kamwe. Kwa ni mara ngapi ametakiwa aeleze baba yake mzazi ni nani na ameshindwa, ndio itakuwa swala hili la elimu!!!
 
Subirini matusi kutoka kwa Nape Nnauye sasa, chezea gamba utayakoga matusi ya kejeli. Magamba kujibu hoja hayajui wanachojuwa wao ni matusi, nafikiri pale Lumumba ni chuo cha kufundishia matusi kwa Magamba
 
Hakuna kitu kinashonishangaza sana kwa wanaCCM kukurupuka kuanzisha vitu vya kipuuzi ili kutafuta nafuu!! Ona sasa jinsi dingo la elimu yake lilivyomrudi na jinsi atavyoshindwa kutoa majibu yenye mantiki. Halafu mtu anajenga chuki wakati yeye mwenyewe ndiye mwanzilishi wa upuuzi.

Ama kweli mchima kisima huingia mwenyewe.
 
Mkuu Nape hawezi kujitokeza Hadaharani Kuelezea Elimu yake. Nape analiwinda sana Jimbo la Ubungo sasa anahisi Masalia wanaweza Kumsaida

Nape alifeli Form Six baada ya Kukosa Sifa za Kujiunga Chuo Chochote Cha Tanzania. Kwa sababu Mzee Yusuph Makamba alikuwa na Uhusiano wa Karibu na Baba wa Kambo wa Nape (Mzee Moses Nnauye) Wakamtafutia kachuo huko India. Sasa nasikia anachukua Masters Mzumbe (Nani ambaye hajui MBA za Mzumbe ni Fake?)
 
hataweza jibu hoja zaidi ya kuleta blah blah za siasa kwenye elimu.
Kama kawa kuna blah blah moja kajibu leo kuhusu rushwa uchaguzi wa CCM. Kamjibu mzee wa CDM. Hakuna alichojibu, eti pilipili usiyoila yakuwashia nini.. no Nape, ile statement hukutakiwa kuitoa, pale umechemka. Chama tawala unaulizwa rushwa unajibu vile. Apart from being kuwa mwa CDM, yule mzee ni mtanzania. Sasa watanzania ndo unawajibu vilee..!!

Hili la shule umekwama, uzuri hakuna darasa la peke yako, watu wanakufahamu zaidi yako juu ya shule yako. Wenzio wale wa Msemakweli walisema watamshitaki msema kweli, lakini hadi leo kimya. Sasa kama mlivyoanzisha la kadi mbili za uanachama wa Dr. Slaa, ingawa nawe hukusema ile ya CCJ ipo wapi, hili la elimu umeuvaa mkenge... usijaribu kuongopa, kumbuka hakuna darasa la peke yako ...
 
hataweza jibu hoja zaidi ya kuleta blah blah za siasa kwenye elimu.
Kama kawa kuna blah blah moja kajibu leo kuhusu rushwa uchaguzi wa CCM. Kamjibu mzee wa CDM. Hakuna alichojibu, eti pilipili usiyoila yakuwashia nini.. no Nape, ile statement hukutakiwa kuitoa, pale umechemka. Chama tawala unaulizwa rushwa unajibu vile. Apart from being kuwa mwa CDM, yule mzee ni mtanzania. Sasa watanzania ndo unawajibu vilee..!!

Hili la shule umekwama, uzuri hakuna darasa la peke yako, watu wanakufahamu zaidi yako juu ya shule yako. Wenzio wale wa Msemakweli walisema watamshitaki msema kweli, lakini hadi leo kimya. Sasa kama mlivyoanzisha la kadi mbili za uanachama wa Dr. Slaa, ingawa nawe hukusema ile ya CCJ ipo wapi, hili la elimu umeuvaa mkenge... usijaribu kuongopa, kumbuka hakuna darasa la peke yako ...
NAPE KATEMBELEA URUSI NA KUJIONEA JINSI GANI MAKADA WA KIRUSI WALIVYO NA MATUSI KWA RAIA ZAO. ni mmoja wa vijana wa ccm aliyeathirika sana na kupenda kudanganya umma. hakika ipo siku atakuja jutia kauli zake.
 
Makamanda naomba msimsakame nape, mi naona anatusaidia sana kwenye kupromote chama chetu pendwa cha ukombozi wa kweli wa mtanzania CHADEMA. kwasababu tangia aanze hii program ya kupromote CHADEMA kwenye mikutano ya gambaz, wenyewe mmeona matokeo ya watu wa Mtwara, mmeona matokeo ya chaguzi ndogo kuanzia za ubunge, za madiwani hadi zile za ngazi ya kijiji (mf Mbozi na Magu). So mi naomba kipekee kabisa nichukue nafasi hii kuwapongeza nape na mwigulu pamoja na babu yao Wasira (muzee ya go..mb..e). Tuwatie nguvu waendelee kutupaisha kwenye mapambano ya ukombozi wa kweli wa mtanzania. HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE. Hongera nape, hongera mwigulu, na sasa hivi tumewaongezea nguvu (Shombo pamoja na Pamba)
 
Makamanda naomba msimsakame nape, mi naona anatusaidia sana kwenye kupromote chama chetu pendwa cha ukombozi wa kweli wa mtanzania CHADEMA. kwasababu tangia aanze hii program ya kupromote CHADEMA kwenye mikutano ya gambaz, wenyewe mmeona matokeo ya watu wa Mtwara, mmeona matokeo ya chaguzi ndogo kuanzia za ubunge, za madiwani hadi zile za ngazi ya kijiji (mf Mbozi na Magu). So mi naomba kipekee kabisa nichukue nafasi hii kuwapongeza nape na mwigulu pamoja na babu yao Wasira (muzee ya go..mb..e). Tuwatie nguvu waendelee kutupaisha kwenye mapambano ya ukombozi wa kweli wa mtanzania. HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE. Hongera nape, hongera mwigulu, na sasa hivi tumewaongezea nguvu (Shombo pamoja na Pamba)
Ni kweli.

Propaganda ya kadi ya Dr. Slaa ili mis-fire. Hii nayo imemgeukia yeye.

Watu wanazidi kuidharau CCM.
 
Napeeee!! Hata wewe ?? Kwenye masuala ya Elimu unahoji elimu za watu ?? Kwanini haujadili hoja unafaidi watu, kweli wakati huu ni wa kutuongoza tujadili "mtu" ?? Huyaoni yaliyo mbele yetu Kama Taifa ?? Au unataka tuamini wewe hayakuhusu ?? Haya ya umaskini, udini, ukabila, uvivu wa kufikiri, maradhi, shida za maji, ubovu wa elimu, miundombinu mibovu, rushwa, ufisadi, uvivu wa kufanya kazi, ukosefu wa ajira, mikataba mibovu ya madini/gesi..., Ardhi yetu inayotwaliwa na wageni, shida za muungano, dhiki ya mikoa ya kusini na gesi yao.... Au unataka sie tunaokujua tuanze kujadili uwezo wako na jinsi ulivyobebwa na walimu na wanafunzi wenzio pale Mzumbe!! Kwanini usijipe nafasi ya kujisomea tena masomo ulivyobebwa. Unapataje muda wa kujadili MTU ??
 
CCM kazi yao kubwa kuchokonoa na kusepa
sasa tabia hii ishawatokea puani.
Nape alivo kilaza hatathubutu kujibu kitu hapa kesho atakuja na CD nyingine tena
nshamzoea ni mwimba taarabu bora akajiunge na khadija Kopa watoe single.
 
Ni kweli.

Propaganda ya kadi ya Dr. Slaa ili mis-fire. Hii nayo imemgeukia yeye.

Watu wanazidi kuidharau CCM.

mkuu nape anaandaa single nyingine baadaya ya mnyika kufail anakuja na udr.wa slaa ni feki ndicho kinachofuata
 
Back
Top Bottom