Elimu ya Nape Nnauye

Elimu ya Nape Nnauye

Nape aligraduate master mzumbe I was there. sasa wheather fake or genuine pamaoja na nchimbi PhD

Maarifa sio fake mkuu bali ni Vodafasta, kwa inji hii zinalipa si. Unaona matokeo ya form four 60% "0" ndo matunda yake hayo. Utawakuta serikalini kibao ndio ma decision maker wetu. Ila laana ya watoto wa watu kupoteza miaka minne na kutoka kapa itawarudia soon
 
Last edited by a moderator:
Wanaoimaliza Tanzania ni elites wenye madigrii kibao ya ukweli kutoka vyuo vikuu vyenye majina makubwa, siyo dagaa and sidekicks kama Nape Nnauye, Mwigulu Nchembe au Ridhwani Kikwete.

Jee, hao "Mafisadi Papa" waliyojaa Serikalini wenye degree za Oxford, Yale, Cambridge, Stanford, Cornell etc ndiyo wapewe free-pass kutokana na elimu zao zisizo na utata? Come on folks!
 
Wanaoimaliza Tanzania ni elites wenye madigrii kibao ya ukweli kutoka vyuo vikuu vywenye majina makubwa, siyo dagaa kama kama nape Nnauye au Ridhwani Kikwete. Jee, hao Mafisadi waliyojaa Serikalini wenye degree za Oxford, Yale, Cambridge, Stanford ndiyo wapewe free-pass kutokana na elimu zao zisizo na utata?

Nani serikalini wenye digrii kutoka Oxford, Yale, Cambridge, na Stanford?
 
Nani serikalini wenye digrii kutoka Oxford, Yale, Cambridge, na Stanford?

Wengi zaidi are in the employ of the Civil Service kiujumla, lakini hawafahamiki. Nenda UDSM na Wizarani utawakuta wamejazana kwenye medium-level positions while all along waiting for their chance to make their way up the bureaucratic ladder one way or another sometime in the future. We're talking about the brightest minds in the whole damn country as far as measure of academic credentials accumulated is concerned.
 
Wanaoimaliza Tanzania ni elites wenye madigrii kibao ya ukweli kutoka vyuo vikuu vyenye majina makubwa, siyo dagaa and sidekicks kama Nape Nnauye, Mwigulu Nchembe au Ridhwani Kikwete.

Jee, hao "Mafisadi Papa" waliyojaa Serikalini wenye degree za Oxford, Yale, Cambridge, Stanford, Cornell etc ndiyo wapewe free-pass kutokana na elimu zao zisizo na utata? Come on folks!

Acha uongo wewe, wangekuwa wamepata malezi ya hivyo vyuo wasingekuwa rahisi kuingizwa kwenye ufisadi. Unajua chuo kama UDSM zamani kilikuwa kinatoa magraduate wazuri na walikuwa wanapiga mzigo kwa level yetu lakini hili lichama lenu lakuleana limebadili maadili kuwa madili.....pumbawaaaaa.....v zao wote maana wanaharibu nchi yetu
 
Nape anajua sana siasa na anawajua nyie wanaJF mlivyowanazi wa elimu. Haji hapa kwani anajua akija na kutoa elimu yake na kuoenesha kuwa ana masters mtadai mnataka atoe maandiko yake kama msomi. Atoe hata makala za kwenye magazeti hata kama ni UHURU kitu ambacho hana. Sasa atoe hapa kujibu nini? Hatokei hapa ng'oo

Anaogopa atahaibika chezea mnyika wewe
 
Jifundishe kwanza kuandika "Biligate" nashindwa kuelewa unamaanisha nini?

Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu chama siku zote mfananishe Mnyika na Bill Gate wote hawana degree lakini mapigo Yao ya akili ya kuzaliwa tunayaona. Lakini huyo baba yenu anayewalipa mishahara kwa kumtetea humu amejaza mavyeti feki Kama masijala lakini hata alichosoma hajui
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama siku zote mfananishe Mnyika na Bill Gate wote hawana degree lakini mapigo Yao ya akili ya kuzaliwa tunayaona. Lakini huyo baba yenu anayewalipa mishahara kwa kumtetea humu amejaza mavyeti feki Kama masijala lakini hata alichosoma hajui

Mkuu Precise pangolin
Kwanza narudia tena siingii JF kuganga njaa kama wengi wenu wa mtaa wa Togo; pili Nape Nnauye ni kiongozi wangu kichama namheshimu na namkubali kwa hilo ila hawana uwezo wa kunilipa wala kuninunua; siku zote kaa ukijua chama ni mtu ghali sana hananunuliki na hawezi kuisaliti demokrasia na uhuru wa kisiasa tulio nao kwa tamaa ya fedha; sasa turudi hapa kwa Bill Gate na Mnyika; kwa ufupi tu Bill Gate achilia mbali ya kuwa bilionea sifa yake kubwa ni kuwa inventor sasa sielewi mpaka sas hivi Mnyika amefanya nini la kuweza kumfananisha na Bill Gate; halafu Bill Gatea hakuacha shule ili akagange njaa; baba yake ni mwanasheria ambaye tayari alikuwa na uwezo mzuri sana wa kimaisha tofauti na John Mnyika aliyeacha ili agange njaa; nilikuambia John Mnyika mfananishe na akina Mugabe kwani wote ni wapigania ukombozi ila mwenzake Mugabe aliona umuhimu wa shule pamoja na kuwa msituni alimaliza shule. Kielimu siwezi hata siku moja kuwafananisha Nape Nnauye na John Mnyika nitakuwa nimeitusi sana medani ya elimu achilia mbali kumfananisha Nape Nnauye hata kumfananisha John Mnyika na Lema kielimu ni tusi. Yeye mwenyewe John Mnyika analijua hilo na ndio sababu hawezi kuweka viwango vya elimu kwenye tovuti ya bunge; ni vilaza wenzake waliomo JF ndio wanaomtetea; ushauri wangu upo palepale ubunge haumzuii kusoma arudi shule bado ni kijana mdogo

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Precise pangolin
Kwanza narudia tena siingii JF kuganga njaa kama wengi wenu wa mtaa wa Togo; pili Nape Nnauye ni kiongozi wangu kichama namheshimu na namkubali kwa hilo ila hawana uwezo wa kunilipa wala kuninunua; siku zote kaa ukijua chama ni mtu ghali sana hananunuliki na hawezi kuisaliti demokrasia na uhuru wa kisiasa tulio nao kwa tamaa ya fedha; sasa turudi hapa kwa Bill Gate na Mnyika; kwa ufupi tu Bill Gate achilia mbali ya kuwa bilionea sifa yake kubwa ni kuwa inventor sasa sielewi mpaka sas hivi Mnyika amefanya nini la kuweza kumfananisha na Bill Gate; halafu Bill Gatea hakuacha shule ili akagange njaa; baba yake ni mwanasheria ambaye tayari alikuwa na uwezo mzuri sana wa kimaisha tofauti na John Mnyika aliyeacha ili agange njaa; nilikuambia John Mnyika mfananishe na akina Mugabe kwani wote ni wapigania ukombozi ila mwenzake Mugabe aliona umuhimu wa shule pamoja na kuwa msituni alimaliza shule. Kielimu siwezi hata siku moja kuwafananisha Nape Nnauye na John Mnyika nitakuwa nimeitusi sana medani ya elimu achilia mbali kumfananisha Nape Nnauye hata kumfananisha John Mnyika na Lema kielimu ni tusi. Yeye mwenyewe John Mnyika analijua hilo na ndio sababu hawezi kuweka viwango vya elimu kwenye tovuti ya bunge; ni vilaza wenzake waliomo JF ndio wanaomtetea; ushauri wangu upo palepale ubunge haumzuii kusoma arudi shule bado ni kijana mdogo

Chama
Gongo la mboto DSM

unajua kuwa hata lukuvi naye kaandika kwenye tovuti ya bunge eti ana masters!!!can you believe that sh*t?
 
Kuna walakini - mbona inakuchukua muda kutoa majibu? Nape tunakusubiri ujitokeze. Duh.... ina nipa wasiwasi kwani inaonyesha kuanzia CCM na watu wake ni watu wa kubebwa tu na mfumo. tukimaliza na matokeo ya Nape na Ridhi tukarudi kwa matokeo ya urais ya CCM tangu mwaka 1995.
 
unajua kuwa hata lukuvi naye kaandika kwenye tovuti ya bunge eti ana masters!!!can you believe that sh*t?


Hayo Lukuvi siyajui wala sijayafuatilia; ila ya Nape Nnauye nayajua na ndio sababu nayajibu; Nape amesoma Mzumbe kutafuta habari zake ni rahisi sana.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Hayo Lukuvi siyajui wala sijayafuatilia; ila ya Nape Nnauye nayajua na ndio sababu nayajibu; Nape amesoma Mzumbe kutafuta habari zake ni rahisi sana.

Chama
Gongo la mboto DSM

aje atueleze form four na form six alipata alama zipi?wengi wanasema hakuwa na qualification za kujiunga na chuo,he ought to come clean the air.
 
Ndugu wanajamvi nasikitika tu kueleza kuwa Nape kaanzisha suala la elimu ilihali yeye akijua kabisa kuwa hana uwezo na hatokuwa na uwezo kielimu kama aliokuwa nao Mnyika.

Nape alihamia Nsumba Sekondari iliyoko Mwanza Mwaka 1995 akitokea Ngudu Sekondari iliyoko wilayani Kwimba na kunikuta mimi nikiwa kidato cha kwanza yeye akiwa kidato cha pili.

Nape alifikia kuishi bweni lijulikanalo kwa jina la Mondlane room 3. Kijana Nape alikuwa mcha Mungu sana maarufu kama mlokole.

Nape baada ya kuhitimu form four alipata division four ya point 29. Sasa mimi sijui alifikaje huko form six. baada ya hapo sikuelewa tena nini kiliendelea kwa Nape kwa elimu ya bachelor lakini kwa masters yake amehangaika sana kukamilisha dessertation yake pale Mzumbe kwa habari niliyoipata kutoka kwa Lecturer mmoja ambaye ni jamaa yangu wa karibu na aliyemfahamu tangia akiwa form two.
Baada na hata kala ya kubuni na kusambaza tuhuma za uongo dhidi ya Ndugu John Mnyika,historia ya elimu ya Ndugu Nape Nnaye imekuwa, mara kwa mara, ikihojiwa na wafuatiliaji wa masuala ya mambo, hasa wanaojali na kuamini katika weledi, umahiri na umakini wa watekelezaji na wasimamizi wa majukumu mbalimbali katika ngazi na maeneo mbalimbali ya kiutawala..

Kwa kadiri ya ufahamu wangu,ningependa kuweka wazi kabisa kuwa Ndugu Nape amepata kusoma katika ngazi ya Kidato cha Sita na hatimaye kupata daraja sifuri. Kwa matokeo hayo, ni dhahiri kuwa Nape hana Elimu ya Kidato cha Sita.Kwa kuwa inafahamika kuwa Nape alipata daraja la Nne (IV) la pointi 29 katika mtihani wa Kidato cha Nne na kwa kuwa mantiki ya kawaida inaweka sharti la mtahiniwa yeyote wa Kidato cha Sita kuwa na angalau credits tatu katika matokeo ya Kidato cha Nne; basi, inafuata kimantiki, kuwa, Ndugu Nape amepata kufanya Mtihani wa marudio kwa minajili ya kupata alama ambazo zingemwezesha kuweza kumpa sifa ya kuweza kufanya mtihani wa Kidato cha Sita.

Katika hali ya isiyojulikana msingi wala nia yake, Ndugu Nape amekuwa si muwazi na mkweli hata kidogo katika historia yake ya kielimu na kitaaluma ingawa yeye mwenyewe amejivika jukumu la kuhoji viwango vya Elimu vya wananchi wengine. Kutokana na hali hiyo, wafuatiliaji wa elimu yake wamekosa majibu sahihi na yenye kujitosheleza.

Aidha mtu huyu amethubutu hata kudanganya umma mara kadhaa kuwa amepata kusoma katika Shule ya Sekondari Mwenge iliyopo iliyopo Singida, na kuhitimu Kidato cha Sita mwaka 2000. Hii si kweli. Baadhi yetu tunajua ,yeye mwenyewe anajua, ndugu zake wanajua na hata Utawala wa Shule kuwa huu ni uongo wa wazi. Nape, ingawa anaijua vema shule hiyo kongwe kabisa iliyopo Mjini hapo, hakupata kuwa mwanafunzi katika shule hiyo. Ukweli ni kuwa alifanya mtihani wa kidato cha Sita,kama mtahiniwa wa kujitegemea katika shule hiyo na kupata daraja sifuri.

Aidha, Nape katika miaka ya mwanzoni mwa 2000 alikuwa na kawaida ya kwenda katika shule hiyo kwa shughuli za Uinjilisti, akiwekeza katika kuwalea wanafunzi kiroho wa kikundi cha CASFETA shuleni hapo. Sasa, kama kufundisha dini tu mara moja kunampatia mhusika hadhi ya uanafunzi katika shule basi tunao wanafunzi na wahitimu wengi katika nchi hii kuliko tunaowajuai!

Mwisho kabisa ningependa kumsihi Nape ajenge utamaduni na tabia ya kusema ukweli maana ukweli, daima, utamuweka huru. Hii ni muhimu kwa kuwa haiwezekani kuwa mtu mwenye hadhi ya mtumwa katika kasri la Mfalme kupanga na kuratibu mkakati na mbinu za kuwatoa watumwa wengine wa kweli na wa uongo kutoka katika vifungo vya utumwa.

MUZEEZAIDI said:
Nimeamua kueleza ukweli huu baada ya kuona upotoshaji wa makusudi unaoendelea humu.

Kuna mtu kajitokeza kujibu elimu ya Nape wengi wakahoji kwani Nape yuko wapi asijitokeze mwenyewe kujibu kama alivyofanya Mnyika?

Naomba mfahamu aliyejibu ni Nape mwenyewe kwa kutumia ID ya bandia, lakini amekuwa mno too radical hadi watu wakamshtukia.

Lakini hoja sio kuwa radical, au kutumia ID bandia, hoja ni kuwa amefanya upotoshaji wa makusudi uliotuacha mdomnd wazi wale tunaomfahamu. Sasa ukweli kuhusu elimu ya Nape huu hapa.

Mwaka 1993 alifeli darasa la saba. Wakati ule jina halali la Nape akiitwa Nahum Nnauye. Waliosoma nae wanakumbuka. Bt akafanyiwa mpango na kupewa jina la Nape Mkumbo Nyagicha mtoto masikini wa Kinyiramba, aliyefaulu lakini familia yake haikuwa na uwezo wa kumsomesha.

Mwaka 1994 Nahum Nnauye akajiunga na shule ya sekondari ya kutwa Ndugu wilayani Kwimba akiwa na jina kaiba jina jipya la Nape. Mwaka 1995 akahamishiwa shule ya Sekondari Nsumba kwa kutumia title ya baba yake Mzee Moses Nnauye.

Mwal 1997 akafeli form four kwa kupata division four ya point 29 akiwa na D 4, c 1 na F 5. Akareseat mara 2 bila mafanikio pale Butimc TTC ambacho ni kituo cha watahiniwa binafsi. Mwaka 1999 na mwaka 2000.

Akakata tamaa na hatimaye mwaka 2001 akaamua kwenda kusoma cheti cha Uhazili (cert of secretarial services) katika chuo cha Kivukoni. So kabla sijaendelea naomba ieleweke kuwa Nahum Moses Nnauye (Nape) hajawahi kusoma form 5 shule yoyote duniani. Kama anabisha aje hapa tumuulize maswali ya Geography 1 au Ecomics 2 uone atakavyochanganyikiwa. Kwanza hajui kama kuna paper 1 na 2 A.level, atasemaje amesoma A.level?

So uhazili mwaka akatumia cheti chake cha uhazili kuomba diploma pale chuo cha Diplomasia kurasini. akapata na akaanza kusoma. Mwaka mwaka 2002 akafeli kuendelea na 2nd year baada ya kupata suplimentary 4 ktk masomo 6 aliyokuwa akisoma. So kwa kifupi akadsco. Hivyo naomba ieleweke kuwa huyu jamaa anayejiita Nape hajawahi kutunukiwa diplmoma yoyote kutoka Chuo cha Diplomasia Kurasini. Kwanza asikidhalilishe chuo maana pale hakuna Diploma ya mwaka mmoja. kama anabisha aupoad picha yoyote hapa alipokuwa anatunukiwa hiyo diploma.

Grace Mwasonge unamkumbuka Nape vzr maana alikuwa classmate wako wakati huo. So najua uko humu japo kwa ID tofauti naomba ujitokeze kudhibitisha ili isionekane nafanya defamation.

Mwaka 2004 akatumia cheti chake form four kuomba degree India kwa kusaidiwa na mwandishi mmoja mashuhuri nchini kwa kuwatafutia vyuo vya nje watu waliofeli.

Na akapata kwa masharti ya kusoma miaka minne. Ikumbukwe India ni nchi yenye vyuo vya hovyo sana duniani, na ni miongoni mwa nchi ambazo hata kama una zero unaweza kusoma Bachelor bila matatizo yoyote hadi ukahitimu. Reffer kesi ya Mr.Andekisye, Lecturer aliyefukuzwa kazi Arusha University kwa kusoma elimu feki India. Andekisye aliajiriwa kama mhadhiri wa Marketing na Business Mathematics akidai ana MBA kutoka India. Bt ilipofuatiliwa ikagundulika ni kweli ana Masters bt hajawahi kusoma Bachelor. Alichomoka na Diploma yake ya Ualimu (Mathematics & Physics) kutoka Monduli TTC akaaply Masters India akapata akaenda kujoin. Sasa imagine mtu anatoka Diploma anakwenda Masters sembuse Nape kusoma bachelor?

So akapata degree yake fake ya psychology ambayo ndiyo aliyoitumia kuomba masters mzumbe. Na mzumbe hakukabidhi cheti zaidi ya kile cha degree yake ya India.

Kama anabisha aweke vyeti vyake vya o.lel na a.level hapa.

Huyo ndiye Nahum Moses Nnauye anayejiita Nape. Katibu mwenzezi wa Chama cha Mapinduzi CCM na mgombe ubunge ubungo mwaka 2010, wakati ule akijaribu kushindana na genious aliyepata A 9 O.Level yeye akiwa na D 4 tu.
 
aje atueleze form four na form six alipata alama zipi?wengi wanasema hakuwa na qualification za kujiunga na chuo,he ought to come clean the air.

Kwani kufeli form 6 ndio mwisho wa elimu? Binafsi nawafahamu watu waliopata 0 form 6 ila hivi tunavyoongea wana bachelor na taaluma nzuri; zipo njia nyingi kujiendeleza na kupata elimu; usisahau elimu ni kama mbio za marathon John Mnyika alianza vizuri ila amemaliza vibaya; Nape Nnauye alianza vibaya ila amemaliza kifua mbele; kama hangekuwa na sifa za kusoma masters Mzumbe wasingemkubali unakumbuka mzee Mzindakaya aliwahi kulazimisha kusoma Mzumbe? Unajua matokeo yake walimuondoa pamoja na kuwa alikuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro; Nape Nnauye alikuwa na sifa zote za kujiunga na chuo ndio sababu bodi ya chuo ilikubali vyeti vyake.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Kumbe alijifunzia matusi NSUMBA au alitoka nayo NGUDU???????????
NI kilaza tu huyo. Hana lolote katika jamii.
Mbona WASUKUMA WENZAKE NI WAJANJA????????? AU yeye sio msukuma????
 
Back
Top Bottom