Elimu ya Nape Nnauye

Elimu ya Nape Nnauye

Mbona mnaharaka vijana,am sure Nape atajibu,so guys be patient am sure the sun will not set down before NAPE hajafunguka
 
Pole sana Mh. Mnyika kwa kukosa haki yako ya msingi ya kupata elimu kwa wakati
 
'Mwosha huoshwa'.

Nape Nnauye
ulianzisha mjadala juu ya elimu ya Mheshimiwa John Mnyika na mwenyewe ameshajitokeza kujibu.

Katika uzi huo wa Mheshimiwa Mnyika wachangiaji wengi wamegusia kuhusu details za elimu yako.

Swali la msingi: Matokeo yako ya Form 6 yana mashaka, wengine wanasema ulipata Division IV wengine Division 0. Uliwezaje kwenda chuo kikuu na Division IV ya Form 6?
.
yeye alijua elimu huanzia degree ya kwanza na kuendelea. sasa mambo ya kuulizana Matokeo ya O'level na A'level ndiyo kikwazo kilipo.
 
Mkuu Nape hawezi kujitokeza Hadaharani Kuelezea Elimu yake. Nape analiwinda sana Jimbo la Ubungo sasa anahisi Masalia wanaweza Kumsaida

Nape alifeli Form Six baada ya Kukosa Sifa za Kujiunga Chuo Chochote Cha Tanzania. Kwa sababu Mzee Yusuph Makamba alikuwa na Uhusiano wa Karibu na Baba wa Kambo wa Nape (Mzee Moses Nnauye) Wakamtafutia kachuo huko India. Sasa nasikia anachukua Masters Mzumbe (Nani ambaye hajui MBA za Mzumbe ni Fake?)

Nape aligraduate master mzumbe I was there. sasa wheather fake or genuine pamaoja na nchimbi PhD
 
mzumbe wameficha report yake pale library though za wengine zipo,may be sijawa makini sana..soon tutaweka matokeo yake ya mzumbe na report yake pia
 
Nape hana ubavu wa kuweka rekodi yake ya elimu humu ndani maana hata cheti cha form four hana na kama kipo basi alikipata kwa mizengwe!!!!
 
mzumbe wameficha report yake pale library though za wengine zipo,may be sijawa makini sana..soon tutaweka matokeo yake ya mzumbe na report yake pia
naona sasa nyinyi mnataka vyeti vyake viote mbawa, maana kule India kuna uwezekano mkubwa alipeleka vyeti vya kubumba cha darasa la nne la zamani iv na cha cha darasa la sita vi aka kidatu cha sita.
 
jamani wana JF hizi mada za elimu zinazo anzishwa na maccm lengo lao ni kuwa toa kwen ye hoja kama gesi huko Mtwara, na kigoma, hoja za John Mnyika, Nasari, na Mbatia, madudu aliyoyafanya Ngombe kule mwanza, mabilioni ya uswiss...sasa nyie nganganene na elimu ya nape na Mnyika huku mkikubali kutoka kwenye hoja zinazotuhusu zaidi...
 
Jamani mnamchongea Nepi kwa boss wake,atavuliwa Ukatibu!
 
mkuu inaelekea ww hujawah kuajiriwa/ au hujui/ au unadanganya kwa maksudi.

Unapoomba ajira wanataka vyeti vyako vyote vya elimu, f4,f6, chuo nk, mpaka wakati mwingine wanataka vyet vya kuzaliwa.

TUWEKEENI NO ya simu Ya NapeTUMRUSHIE SMS kama tulivyofanya kwa supika na naibu wake.

Kwani Nape Nnauye alikwambia anatafuta ajira? Mkuu siku hizi mwajiri kama anakuuliza cheti cha 4 & 6 jua wazi hataki kukupa hiyo kazi; labda kama tunaongelea kazi ya ulinzi wa security hapo nitakubaliana na wewe

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Kwani Nape Nnauye alikwambia anatafuta ajira? Mkuu siku hizi mwajiri kama anakuuliza cheti cha 4 & 6 jua wazi hataki kukupa hiyo kazi; labda kama tunaongelea kazi ya ulinzi wa security hapo nitakubaliana na wewe

Chama
Gongo la mboto DSM

Huyo Boss wako angesoma kipindi hiki cha shule zenu (MACCM) za kata asingepata hata sufuri labda kama kuna division chini ya hapo ndo angepata. Kabebwa koote na nguvu za maGod father wake lakini hizo grades alozipata anaona aibu kutuwekea. Punguza porojo mwambie hatuna muda wa kuhesabu vyeti sisi tunapima ufahamu hapa ni kwa Ma-GT atuambie hata hiyo civics tu alipata ngapi bhaaaaasi.
 
Last edited by a moderator:
Naona huna cha kuandika, unajibaragua tu....

Kwani mkuu ulitaka kuandikwe nini? Nape Nnauye hajatafuta sympath kwa watu elimu yake wote mnaijua sasa kinabishwana kitu gani?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
jamani wana JF hizi mada za elimu zinazo anzishwa na maccm lengo lao ni kuwa toa kwen ye hoja kama gesi huko Mtwara, na kigoma, hoja za John Mnyika, Nasari, na Mbatia, madudu aliyoyafanya Ngombe kule mwanza, mabilioni ya uswiss...sasa nyie nganganene na elimu ya nape na Mnyika huku mkikubali kutoka kwenye hoja zinazotuhusu zaidi...

Crashwise kama nia yao ndio hiyo wamejipaka kinyesi Mungu kawalaani wameitoa wakati matokeo ya madogo ndo yametoka. Sasa tunawauliza wao na Vyeti vyao wamesaidia nini elimu ya mtanzania??? Maana watu hawaangalii perormance wanahesabu vyeti tu.....waache upuuzi vyeti hata mtoto ndani ya tumbo anacheti cha kliniki
 
Last edited by a moderator:
Kwani mkuu ulitaka kuandikwe nini? Nape Nnauye hajatafuta sympath kwa watu elimu yake wote mnaijua sasa kinabishwana kitu gani?

Chama
Gongo la mboto DSM

Hatutafuti elimu tunatafuta PERFORMANCE mbona Biligate hana elimu ya NAPE???? Mnakuwa wagumu kuelewa ndo maana mnaiangamiza nchi yetu kwa uzito wa akili zenu
 
Last edited by a moderator:
Hatutafuti elimu tunatafuta PERFORMANCE mbona Biligate hana elimu ya NAPE???? Mnakuwa wagumu kuelewa ndo maana mnaiangamiza nchi yetu kwa uzito wa akili zenu

Jifundishe kwanza kuandika "Biligate" nashindwa kuelewa unamaanisha nini?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kwa kweli watu kwa ujumla wamezaliwa na talents na intelligences tofauti. Hilo halipingiki.

Kama ni kwa vigezo vya matokeo ya elimu rasmi kuanzia Form 4 hadi shahada ya chuo kikuu, basi hata mimi ningekuwa mfalme wa Bongo long time, jamani... Aminia!
 
Back
Top Bottom