Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
-
- #21
baba yako anayo?Jamaa hana akili zinazofanya kazi vizuri. PhD aliyoipata "Open University" uzeeni?Ina maana hata nyumbani kwake au mtaani anaongea na madokta michongo wenzake tu mambo ya usafi wa barabara zao?
Hilo li PhD la kizamani ndio unalisifia?! PhD yenyewe kapatia kwenye chuo cha hapa nchini, vyuo ambavyo pesa yako inaweza kukupa chochote utakacho.Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Kwa sababu unaishi naye?baba yako anayo?
Jamaa wana vijiutetezi kama vya vitoto vya daycare.Absolutely fools!Hilo li PhD la kizamani ndio unalisifia?! PhD yenyewe kapatia kwenye chuo cha hapa nchini, vyuo ambavyo pesa yako inaweza kukupa chochote utakacho.
Kiinglish ni shida bandugu! Lecture ni somo na mwalimu wa somo anaitwa Lecturer. Acheni kuandika ujingaNingeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Kabudi asuse❗🆗actually,
Dr nchimbi angekubali kushiriki mdahalo ule huenda angefukuzwa kwenye nafasi yake na pengine hata uanachama wa CCM 🐒
ni aibu, kwanza muandaaji wa mdahalo wenyewe ni mshirikina 🐒Kabudi asuse❗🆗
Hoja yako ni hoja dhaifu kama wewe tu ulivyo dhaifu. Tumekuwa na Maspika Wenye digrii 1 walioongoza mijadala ya mabunge yaenye Madokta na Profs. Hata Sasa spikq ni Dr lkn kuna Wabunge Profs, anaendeshaje mijadala na watu waliomzidi elimu? Kitu gani kilihitaji hata digrii tu kwenye mdahalo wa Jana? Kama ni Dira ya Taifa mbona mnahoji mpaka Wanafunzi wa sekondari na Wanatoa maoni mazuri kabisa? Kama ni Uchaguzi uendeshwe vipi Nani Kati Yao hajashiriki uchaguzi Kati yao walioalikwa? Acheni hoja za kipuuzi kuhalalisha ujinga.Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Hukumbuki? Hiyo PhD ya Nchimbi ilikuwa na scandal miaka ileee, hata chapisho zake ziko wapi haieleweki. Masters hana chapisho PhD hana chapisho kama hivyo hivyo alivyo Bi Kidude, Tanzania imeamua Sasa hivi kwenda na fake. Watu feki feki tu.actually,
Dr nchimbi angekubali kushiriki mdahalo ule huenda angefukuzwa kwenye nafasi yake na pengine hata uanachama wa CCM 🐒
Ccm na viongoz wenu kichwani hakuna kitu Hadi midahalo mnaikimbia, viongoz wenu na nyie wafuas wao uchwara mnachoweza ni kuteka na kuuwa watu tu pale Karakana chang'ombe.Hata mimi nimehisi mjadala ule ungekosa heshima kabisa.
Nilivyoona comment za wahudhuriaji wanavyosema ni wazi kabisa walijipanga kwa ajili ya kumuattack mtu fulani.
Acha ujivuni Takataka Wewe.Elimu naNingeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Unaweza ukawa profesa lakini usijue siasa na uongozi, Tanzania tunao maprofesa wengi sana na wametufelisha kwenye maendeleo ya nchi tukibakia hatusongi mbele badala yake tunajadili kuyafuta makampuni na mashirika!Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!