Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,730
- 11,576
"Elimu ni kile kinachobaki kichwani baada ya kusahau yale uliyofundishwa darasani" by Albert Einsten.
Wakuu wasalaam,bila kupoteza muda twende na mada.Nianze kwa kuelezea mambo ya tofauti kati ya elimu ya Marekani na Tanzania:-
1.wanafunzi wa marekani hawachapwi viboko,lakini wanafunzi wa Tz wanachapwa hasa wakifeli,kwa wastani kuanzia darasa la kwanza hadi form six mwanafunzi wa Tz anakuwa amechapwa fimbo 1200 jumlisha dazeni za makofi na adhabu ngumu.
2.Marekani wanasoma siku 200 kwa mwaka,lakini Tz wanasoma siku 280 hadi 300 kwa mwaka.
3.Marekani wanafunzi wanatumia simu na hakuna upuuzi wa kuvaa sare(uniform),sisi huku simu ni haramu kwa mwanafunzi zaidi ya viroba,halafu kuvaa sare ni lazima eti wote tuonekane tuko sawa kiuchumi upuuzi mtupu.
Inaendelea......
Wakuu wasalaam,bila kupoteza muda twende na mada.Nianze kwa kuelezea mambo ya tofauti kati ya elimu ya Marekani na Tanzania:-
1.wanafunzi wa marekani hawachapwi viboko,lakini wanafunzi wa Tz wanachapwa hasa wakifeli,kwa wastani kuanzia darasa la kwanza hadi form six mwanafunzi wa Tz anakuwa amechapwa fimbo 1200 jumlisha dazeni za makofi na adhabu ngumu.
2.Marekani wanasoma siku 200 kwa mwaka,lakini Tz wanasoma siku 280 hadi 300 kwa mwaka.
3.Marekani wanafunzi wanatumia simu na hakuna upuuzi wa kuvaa sare(uniform),sisi huku simu ni haramu kwa mwanafunzi zaidi ya viroba,halafu kuvaa sare ni lazima eti wote tuonekane tuko sawa kiuchumi upuuzi mtupu.
Inaendelea......