Elimu ya unajimu

Elimu ya unajimu

Nyota inapatikana kupitia tarehe, mwezi na mwaka wako ya kuzaliwa, saa uliyozaliwa, pamoja na mji ulozaliwa.
Kwahiyo jina langu halihusiki hapo.
Mfano Nyota yangu capricorn nmezaliwa saa1 asubui kamili Dsm Tanzania nyota yangu nini[emoji15]
 
Kwahiyo jina langu halihusiki hapo.
Mfano Nyota yangu capricorn nmezaliwa saa1 asubui kamili Dsm Tanzania nyota yangu nini[emoji15]
Jina halina maana sana kwenye unajimu. Kwa tarehe hiyo uliyozaliwa ni kwamba sun ilikua kwenye nyota ya mbuzi (sign). Lakini ili tujue mengi kuhusu wewe inabidi taarifa tupate taarifa hizi;

1. Tarehe ya kuzaliwa
2. Saa ulozaliwa ( na dakika kama unazijua.
3. Mji ulozaliwa.

Hivi vinatosha kueleza kila kitu.
 
Jina halina maana sana kwenye unajimu. Kwa tarehe hiyo uliyozaliwa ni kwamba sun ilikua kwenye nyota ya mbuzi (sign). Lakini ili tujue mengi kuhusu wewe inabidi taarifa tupate taarifa hizi;

1. Tarehe ya kuzaliwa
2. Saa ulozaliwa ( na dakika kama unazijua.
3. Mji ulozaliwa.

Hivi vinatosha kueleza kila kitu.
ooh sawa mkuu
 
Yeye alikufundisha kutumia nini? Mi ninavyojua astrologer wote makini wanatumia charts mfano wa hiyo niliotuma..
Alinifundisha njia ya kuchukua tarehe ya siku ya mechi,mwezi na mwaka unajumlisha pamoja na herufi moja ya kwanza ya katika kila timu.

Sijui unaifahamu hiyo njia?
 
kuna mwanamke nataka kumuoa ye jina lake linaanzia herufi H mi jina langu linaanzia B. kuna baadhi ya wanajimu wanasema herufi ya jina ina maana kubwa katika masuala ya ndoa. Wanasema ukioa mwanamke ambaye herufi za majina haziendani eti huwezi kuwa na mafanikio maishani. Hebu nifafanulie kidogo
 
Alinifundisha njia ya kuchukua tarehe ya siku ya mechi,mwezi na mwaka unajumlisha pamoja na herufi moja ya kwanza ya katika kila timu.

Sijui unaifahamu hiyo njia?
Hapana sisi hatutumii hivyo, sisi huwa tunatumia njia mbili;

Njia ya kwanza, ni kuangalia nani mwenyeji (home team) na mgeni (away team).

Njia ya pili ni kuangalia jezi walizovaa.

Lengo la kufanya hivi ni kujua Ascendant na Descendants. Ukishajua hivi vitu, hatua inayofuata ni kuangalia planet ruler wa ascendant na Descendants.

Mwisho unaangalia aspects kati ya planet ruler na moon.

Hizo ndo primary factors za kujua hatma ya kila mechi.

Lakini kwanza lazima uwe na msingi wa Unajimu ili kuelewa haya ntakayosema.
 
Na mimi ntakutafuta nipate hiyo elimu...! Maana hutakiwi kuacha kujifunza
 
Kwa nini Aries anakuwa ni first zodiac sign?
Aries anakua first zodiac sign kwa sababu ya nature yake. Aries ni leader by nature. Na haogopi ku take action katika mazingira yeyote yale.

Hiyo lakini kwa universal chart, kumbuka kila mtu ana chart yake ambayo ni tofauti na mwingine. Kuna mwingine chart yake haianzii na Aries, inaweza ikaanza hata na Pisces ambayo ni sign ya mwisho.
 
Najua kama tumetofautiana Imani, mitizamo pamoja masuala ya kiitikadi. Lakini nipo hapa kwa ajili ya wale wote wanaotaka kuisoma hii elimu na kuweza kuwasiadia wenyewe katika mambo yao binafsi.

Mi nina kazi mbili tu kwenye unajimu ambazo ni kufundisha na kutoa ushauri kuhusiana na masuala ya nyota.

Nilikua natak niandike makala ndefu ambayo ningeeleza mambo mengi kuhusiana na hii elimu, lakini nikagundua tayari si wote watakaoelewa na kuamini kutokana na background ambayo kila mtu ametokea.

Hivyo sitaki kusema sana hapa kuhusiana na hii elimu kwa sababu kuibadilisha imani ya mtu ambayo imejengwa miaka takribani 20 si kazi ndogo. Maana nina uhakika 100% humu ndani kuna watu ambao nawaheshimu sana, sasa sitaki ifike pahala tutoleane kauli mbovu kwa sababu ya bandiko hili.


Nimetumia miaka 2 na nusu kuisoma hii elimu. Nimesoma course hizi zote kupitia online. Na kuanzia machapisho, majarida, vipeperushi, vyote nimesoma kwa lugha ya kiingereza. Lakini mimi nitafundisha kwa kiswahili kwa faida ya wote wasiofahamu vyema lugha ya kiingereza.


Branches of Astrology. (Matawi ya Unajimu).


Kwanza tufahamu matawi muhimu ya Astrology (Unajimu). Ambayo yapo mengi, yanaweza kufikia hata 9. Lakini yenye umuhimu mkubwa na maarufu yapo manne ambayo ni;

1. Mundane astrology
2. Natal Astrology
3. Horary Astrology
4. Election astrology.

Katika kozi yetu tutaanza na tawi la Natal Astrology, hilo ni tawi muhimu na lina mambo mengi sana.

SYLLABUS YA NATAL ASTROLOGY.

Huu ni mtaala ama mambo ambayo kwa mwanafunzi yeyote anayeanza unajimu unatakiwa ajifunze na kuyajua. Nitafundisha kwa kiswahili ingawa kuna maneno mengine tafsiri zake hazipatikani ama hazieleweki kwa kiswahili. Kwa hiyo kwa maneno machache kama hayo ambayo tafsiri zake hazipo basi tutatumia kiingereza. Lakini 95% ya masomo yetu tutatumia kiswahili ili kila mmoja aelewe.


Kwa watakaojiunga na group jipya watajifunza mambo haya;

DARAJA LA KWANZA. (level 1.)

1. Historia ya unajimu.

2. Ten planets (sayari 10)

Sun, Moon, Mercury, Venus, Mars, Jupiter, Saturn, Uranus, Neptune, Pluto.

3. Twelve zodiac sign (alama au maumbo 12 ya Nyota).

Aries (Kondoo), Taurus (Ng'ombe), Gemini (Mapacha), Cancer (Kaa), Leo (Simba), Virgo (Mashuke), Libra (Mizani), Scorpion (Nge), Sagittarius (Mshale), Capricorn ( Mbuzi), Aquarius (Ndoo), Pisces (Samaki).


4. Twelve houses (nyumba 12).

Kwa hapa nitataja mambo makuu (viwakilishi) katika kila nyumba ila tukifikia hii kozi basi tutasoma kwa undani zaidi.


Nyumba ya 1: Muonekano wa mwili mitazamo yako kuhusu dunia.


Nyumba ya 2: Kipato, utajiri, mali unazomiliki, namna unavyoingiza na kutumia pesa yako binafsi.


Nyumba ya 3: Ndugu zako, maduka, Jirani zako,vyombo vya mawasiliano, vyombo vya usafri, safari fupi (ndani ya jamii yako).


Nyumba ya 4: Nyumbani ulipokulia, familia, historia yako ulipotokea, makazi, ardhi, kilimo, Taifa, asili yako, makabila, uzalendo, hisia.


Nyumba ya 5: mtoto wako wa kwanza ,sherehe, mapenzi,michezo na anasa za kila aina, elimu ya awali, uwekezaji, kamari, ubunifu.


Nyumba ya 6: Kazi unazofanya kila siku (kujitolea au kulipwa),usafi binafsi, mifugo, chakula, matunda, afya, utumishi, jeshi la nchi. Mazoezi.


Nyumba ya 7: Mkeo au mumeo, ndoa, mikataba, amani, mahusiano ya kila aina, mpinzani, biashara, rafiki wa karibu, mapatano.


Nyumba ya 8: Mali ya mkeo au mumeo, Madeni, kodi, mabadiliko, kufa na kuzaliwa, zinaa, umasikini, vita, michango ya aina zote, talaka, chini ya ardhi na vilivyomo, magenge ya kihalifu.


Nyumba ya 9: Elimu ya kiwango cha juu, safari za mbali, nchi na tamaduni za kigeni, dini, bahati nasibu, falsafa, sheria, ndugu wa mkeo au mumeo, mjukuu wako, utalii.


Nyumba ya 10: Heshima,Ufalme, Mamlaka, Serikali, cheo, mahakama, jinsi watu wanavyokuongelea,
mafanikio.


Nyumba ya 11: Marafiki, Makundi tofauti ya watu, malengo, matumaini, sayansi na taknolojia, ugunduzi, mitandao ya kijamii, asasi za kiraia, wanaharakati, mambo ya ghafla, mambo yote mapya.


Nyumba ya 12: Hujuma, majini na mashetani, jela, hospitali, wagonjwa wasiojiweza, ala za muziki, filamu, wapelelezi, maadui tusiowaona, siri, ugaidi, kujitoa kafara, pombe, madawa ya kulevya, mauaji, majuto, mafichoni, ndoto, maono. Uwongo, simanzi, utabiri, unabii.


Hizo ni nyumba ambazo tutazisoma nimetaja mambo yake machache tu.


Baada ya hapo tutaangalia kitu cha mwisho katika daraja la kwanza ambacho kinaitwa aspects.


Hapa kwa nyie mnaoanza tutaangalia aspects 5 tu lakini zipo nyingi sana.

Tutaangalia hizi zifuatazo:

1. Conjunction

2. Sextiles

3. Square

4. Trine

5. Opposition.


Ukimaliza hayo utakua umemaliza basics ( msingi) wa unajimu. Ni kama mtu ambae kamliza form one. Baada ya hapo tutaingia form two.


Kwa watakaofanikiwa kumaliza daraja la kwanza tutaendelea nao daraja la pili. Ambalo ni muendelezo wa haya ya daraja la kwanza.

Kwa wanaohitaji kusoma elimu hii nicheki WhatsApp, kwa namba hii 0782 82 11 77.

Ntakuadd kwenye group la WhatsApp kwa malipo ya 3000 kwa mwezi. Hii ni kwa sasa hivi kwa watakaochelewa na kukuta kundi lishajaa basi watakaonza na kundi jipya malipo yatakua 5000.


Mwisho kabisa, nawapa nafasi mniulize swali lolote kuhusiana na unajimu, nami ntawajbu hapa hapa. Swali litakaloambatana na kejeli, dharau au matusi sitalijibu.
Is the sun a planet?
 
Is the sun a planet?
Kwenye Unajimu Sun na Moon zinahesabika kama Planets.

Lakini katika Astronomy sun is the star na moon ni luminary.

Mfate mnajimu yeyote unayemjua aje kupinga hizi sentensi.
 
Kwenye Unajimu Sun na Moon zinahesabika kama Planets.

Lakini katika Astronomy sun is the star na moon ni luminary.

Mfate mnajimu yeyote unayemjua aje kupinga hizi sentensi.
Kwa nini jua liwe sayari na si nyota?

Clearly jua ni nyota inayozungukwa na sayari. Na mwezi ni satellite inayozunguka dunia. Na dunia ni sayari inayozunguka jua.

Kwa nininuziite zote hizi sayari wakati nenonsayari lina maana yake specific?

Nikisema astrology ni primitive astronomy kama alchemy ilivyo primitive chemistry nitakuwa nakosea?
 
Jina halina maana sana kwenye unajimu. Kwa tarehe hiyo uliyozaliwa ni kwamba sun ilikua kwenye nyota ya mbuzi (sign). Lakini ili tujue mengi kuhusu wewe inabidi taarifa tupate taarifa hizi;

1. Tarehe ya kuzaliwa
2. Saa ulozaliwa ( na dakika kama unazijua.
3. Mji ulozaliwa.

Hivi vinatosha kueleza kila kitu.
Hebu nichekie mimi hapa tarehe 30/9/1987 kuzaliwa alfajiri mida ya azana mkoa dar ilaLa, nch tanzania
 
Hapana sisi hatutumii hivyo, sisi huwa tunatumia njia mbili;

Njia ya kwanza, ni kuangalia nani mwenyeji (home team) na mgeni (away team).

Njia ya pili ni kuangalia jezi walizovaa.

Lengo la kufanya hivi ni kujua Ascendant na Descendants. Ukishajua hivi vitu, hatua inayofuata ni kuangalia planet ruler wa ascendant na Descendants.

Mwisho unaangalia aspects kati ya planet ruler na moon.

Hizo ndo primary factors za kujua hatma ya kila mechi.

Lakini kwanza lazima uwe na msingi wa Unajimu ili kuelewa haya ntakayosema.
Kwa njia hizo unaweza kujua hadi na idadi ya magoli?
 
Back
Top Bottom