Elimu ya uumbaji binadamu bila kujamiiana

Mshana Jr Hii ya Mandela ukisikiliza historia vizuri na baadhi ya ithibati kutoka kwao ikiwemo Ithibati kutoka kwa Winnie mwenyewe alieleza vizuri kuhusu utjfauti wa mandela wa zamani na mpya
Na kupewa nchi ni kwa sababu Mandela yule hakukubali kuwa chini ya wazungu hivyo waliclone ili wapate mandela ataenda sawa na matakwa yao na walifanikiwa na wakampachika urais
 
Mwanzo nilikuelewa ila ulipofika kwa madiba nimegundua unatumia kitu Cha Arusha
Hahahaha mkuu yaani kama tulikuwa tunasoma wote vile mi mwenyewe mwanzo wakati nasoma alipo anza mambo ya mbegu za mahindi nilikuwa namuelewa alipo fika kwa Mandela nikajua ndiyo wale wazee wa stor za kwenye Gahawa na kucheza bao.
 
Sawa lakini baada ya kifo chake na muda kupita kila kitu kingewekwa wazi.. Labda tuupe muda wakati lakini jamani jela kusikieni hivi hivi hasa ukifungwa muda mrefu lazima ubadilike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mwamba sisi hutuamini??😂😂
Get serious man.... kama kichwa yako haifanyi kazi sawasawa!.....

Waza hata Kwa kutumia kalio lako Moja tu!... Hata la kushoto tu....

Hivi.... how can you implant a soul... to a clone...!? Na hiyo clone isurvive!?.....

Ina maana kuna binadamu siku hizi wanatoa pumzi ya uhai kwa binadamu wengine!?...to live as a clone!?

Kusingekuwa na kifo basi...!

Ungeniambia mamidoli ya Elon musk kama clone... hapo tungeelewana.
 
Kuamini upuuzi kama huu kwa karne hii ni UJINGA kama ujinga mwingine

Huu ujinga tulikuaga tunaaminishwa tukiangalia movies enzi hizooooo
 
Mtoa mada tueleweahe vizuri.

Clone ya eminem ilichukua muda gani toka kupandikizwa seli mpaka zikajimultiply na kuwa eminem mkubwa ?

Umetolea mfano wa mandela hapo kwamba alikuwa cloned,lakini ukamtaja mtu ambaye anadhaniwa kuwa gibson.

Sasa maana yake wakati mandela yupo nje hajafa means kwamba huyu bibson makhanda bado alikuwepo anaishi kama binadamu mwingine,hii ni clone gani ?

Kikawaida tumezoea kutoka mbegu kike na kiume ili ziweze kutoa mtu mwenye mwili(kitoto kichanga)basi ipite miezi tisa ndio kitatoka kitoto tena kidogo.

Sasa eminem kama alifanyiwa clone ama hii clone kutokea kupandikizwa mpaka kuwa jitu kubwa lenye mwili kama mtu wa miaka 30 inachukua muda gani ?
 
Hekaya za abunuwasi, zitasomwa kama masillmulizi ya kale.
 
Ofcz Mandelela ni clone, mwenyewe halis alijifia soon gerezani kwa mateso makali.

Ila hapo kwa Nik Minaji ku tweet 1996? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
96 Nick was 16' and tweeter founded 2004 launched to public ,2006! Mmmh hio tweet mwenyew hapana asee lakin kuhusu Eminem something is wrong somewhere..may be anatafutwa mtu mfanano inafanyika surgery hapo sawa
 
This is too low, unaweza geuza picha upande wowote. Angalia hapa chini;
View attachment 2861419
SIzungumzii Fliping mkuu ungekuwa Attentive to details ungenielewa zaidi anatomical Structure ya Eneo lililokuwa na Dot ni tofauti na eneo alilokuwa nalo kabla nazubgumzia upande wa eneo na sio flip photo...
Utetezi kama huu ni wa kitoto sana
 
SIzungumzii Fliping mkuu ungekuwa Attentive to details ungenielewa zaidi anatomical Structure ya Eneo lililokuwa na Dot ni tofauti na eneo alilokuwa nalo kabla nazubgumzia upande wa eneo na sio flip photo...
Utetezi kama huu ni wa kitoto sana
Ila hapa una unazungumzia conspiracy theory tu ambayo umesoma kwenye intenet na ukaamua kushare hapa, labda kama evidence unaweza share hapa.

Zaidi hapo ni story tu kama binadamu alikuwa nyani hapo kale.
 
Ila hapa una unazungumzia conspiracy theory tu ambayo umesoma kwenye intenet na ukaamua kushare hapa, labda kama evidence unaweza share hapa.

Zaidi hapo ni story tu kama binadamu alikuwa nyani hapo kale.
Unataka Evidence gani Mkuu...Forensic au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…