Elimu yangu inanitesa!

Elimu yangu inanitesa!

Zedikaya

Senior Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
119
Reaction score
14
Mimi ni mwalimu niliyejiendeleza kutoka ngazi ya certificate hadi hatua ya shahada,
tatizo ni kuwa nimeshinikizwa kuhamia sekondari bila hata kulipwa stahili zangu za uhamisho na kwa upande wa mshahara Utumishi wamekataa kunirekebishia mshahara wangu kwa kiwango cha elimu nilicho nacho na kudai kuwa hadi mwakan april ndio watafikiria,nimejaribu kwenda hadi kwa DED akasema ni mwongozo kuwapeleka walimu wote wenye shahada sekondari uwe unataka au hautaki,
jamani hii ni haki kumuongezea mtumishi majukumu bila hiari yake na kumnyima stahili zake?
Inauma sana namna walim tunavyoburuzw kila kukicha,ningeshaondoka ila kwa kuwa upatikanaji wa kazi nyingine ni mgumu,
na sijui nifanyeje maana sion msaada wa elimu yangu zaid ya kunipa stress tu!,
 
Inaitwa bureaucracy. Vumilia, good thing ni kwamba kuna uwezekano wakikupandisha daraja wanaweza kukupa na arrears zako zote. Otherwise ingia private!
 
Hili suala la kupewa majukumu mapya mimi siliafiki kabisa! Inapaswa pindi mtumishi anapojiendeleza anaboreshewa majukumu yake, kwa mfano, mfumo wa Elimu uruhusu mtumishi kujiendeleza katika ngazi yake ya majukumu, kwa mfano kuwepo na Ualimu ngazi ya Msingi, Stashahada ngazi ya Msingi na Shahada ngazi ya Msingi. Pindi Mwalimu wa Msingi anapojiendeleza na kupelekwa Sekondazi anakuwa hajajiendeleza ili kukabili changamoto za utendaji wake wa kila siku, bali amejiendeleza ili apewe changamoto nyingine. Kwa mfano, mwalimu huyo anapopelekwa Sekondari anaanza upya kusoma na kukabiliana na changamoto mpya huku zakiacha changamoto kibao ngazi ya Msingi.
 
umesomea udereva wa basi la mkoa wewe unataka uendelee kuendesha bajaj..... Kinachokuuma ni kukosa mashavu uliyokuwa unabonda..., na degree yako ubaki primary KUFANYA NINI!!!!!??
 
Komaa maisha ndo haya haya

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
umesomea udereva wa basi la mkoa wewe unataka uendelee kuendesha bajaj..... Kinachokuuma ni kukosa mashavu uliyokuwa unabonda..., na degree yako ubaki primary KUFANYA NINI!!!!!??

mkuu mbona mtoa thread hajaonesha kupata shavu lolote kabla ya uhamisho,
kwan sek na primary wapi penye shavu?
 
wee mwalimu...hivi unasoma ili upate elimu ili iweje kama sio kukusaidia kukabiliana na changamoto za maisha yako na mazingira yanayokuzunguka...

Kimyume cha hayo niliyokueleza hapo juu huna tofauti na ambaye hajawahi kuingia jengo linaloitwa darasa na kupata elimu...

mwalimu...amka achana na ulimbukeni wa kupendwa kuitwa mwalimu wakati huna hata mia na kutwa kulalamika kwa jamii mara migomo mara munafyata mikia..nenda kakope saccos pikipiki jifunze udereva na uanze kutengeneza mpaka tshs 30,000/= kwa siku na tsh 900,000/= kwa mwezi na uache kulialia mara ded mara taratibu za kazi....kwanini una-elimu kisha hujaelimika?

watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...ualimu wito ilikuwa enzi za nyerere..sahivi ni ualimu maslahi.
 
wee mwalimu...hivi unasoma ili upate elimu ili iweje kama sio kukusaidia kukabiliana na changamoto za maisha yako na mazingira yanayokuzunguka...

Kimyume cha hayo niliyokueleza hapo juu huna tofauti na ambaye hajawahi kuingia jengo linaloitwa darasa na kupata elimu...

mwalimu...amka achana na ulimbukeni wa kupendwa kuitwa mwalimu wakati huna hata mia na kutwa kulalamika kwa jamii mara migomo mara munafyata mikia..nenda kakope saccos pikipiki jifunze udereva na uanze kutengeneza mpaka tshs 30,000/= kwa siku na tsh 900,000/= kwa mwezi na uache kulialia mara ded mara taratibu za kazi....kwanini una-elimu kisha hujaelimika?

watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...ualimu wito ilikuwa enzi za nyerere..sahivi ni ualimu maslahi.

Who cares?... huyu ni mwalimu mtiifu na kuchukua risk ya kuacha kazi ni ngumu sana si ameshakuambia kupata kazi nyingine ni ngumu..?!!
Ila mwalimu nikuulize swali.., kama uliweza kujiendeleza unashindwa nini kutafuta kazi nyingine nzuri ukiwa bado umejishikiza hapo ulipo sasa? Vinginevyo hiyo elimu yako uliyojiongezea inakuwa haina maana. Kama unaona serikali inakuongezea majukumu ilhali inakupiga danadana kwenye fweza.. fanya maamuzi magumu!!
Je ulizaliwa uwe mwalimu na ufe mwalimu?! Akili kumkichwa MWALIMU.
Kila la kheri!
 
Mm naona hatawalio masomoni tena kwa ghalama zao waache.Ma ded wote hawtoi msaasda na ukimaliza unaongezewa majukumu bila mshahara mpya?Shame on you JK and your party and government.
 
Mkuu Himawari nnatafta sana na bado naendelea kutafta lakini bado sijafanikiwa,
Who cares?... huyu ni mwalimu mtiifu na kuchukua risk ya kuacha kazi ni ngumu sana si ameshakuambia kupata kazi nyingine ni ngumu..?!!
Ila mwalimu nikuulize swali.., kama uliweza kujiendeleza unashindwa nini kutafuta kazi nyingine nzuri ukiwa bado umejishikiza hapo ulipo sasa? Vinginevyo hiyo elimu yako uliyojiongezea inakuwa haina maana. Kama unaona serikali inakuongezea majukumu ilhali inakupiga danadana kwenye fweza.. fanya maamuzi magumu!!
Je ulizaliwa uwe mwalimu na ufe mwalimu?! Akili kumkichwa MWALIMU.
Kila la kheri!
 
c uhame huko serikalini?private kibao ckuhiz huwez kosa shule ya kufundisha mwalim!
Tafuta private Sepa,hii gov.imenichosha
 
Mwalimu kuwa na subira,kwa kukaa katika ualimu kuanzia cheti hadi bachelor hujajua tu jinsi utendaji wa serikali ulivyo? na nilitegemea ulikuwa na malengo ya kwenda shule ili upande daraja na majukumu yaongezeke au ?Jitahidi kuwasilisha maombi yako kwa mwajiri ili yawekwe kwenye bajeti baada ya hapo utalipwa mshahara wako mpya na arrears, na usisahau kumkubusha mhasibu wako wakati anakulipa arrears alipe kodi na michango ya pensheni.
 
Wee endelea kusoma zaidi wakome ubishi. Pata PhD watakupeleka kufundisha chuo kikuu cha JK
 
Mwalimu kuwa na subira,kwa kukaa katika ualimu kuanzia cheti hadi bachelor hujajua tu jinsi utendaji wa serikali ulivyo? na nilitegemea ulikuwa na malengo ya kwenda shule ili upande daraja na majukumu yaongezeke au ?Jitahidi kuwasilisha maombi yako kwa mwajiri ili yawekwe kwenye bajeti baada ya hapo utalipwa mshahara wako mpya na arrears, na usisahau kumkubusha mhasibu wako wakati anakulipa arrears alipe kodi na michango ya pensheni.

mkuu Alzadawi,nnachokilaumu ni kutopewa haki zangu kama pesa ya uhamisho na mshahara kulingana na kiwango cha elimu,
haya yanapaswa kutolewa kwenda sambamba na kuongezeka kwa majukum,kutofanya hivyo ni kuzidi kuwaibia waalimu,
 
kwasasa kiongozi kuwa mpole, subiri mwakani then tutaona. Suala la kusoma usikate tamaa elimu hailipi siku moja kama vyenye haipatikani siku moja. Mwakani mwezi wa tano ukifika mambo yako hayajarekebishwa itabidi uniPM tujaribu kuona pale utumishi tatizo limekaaje. Kuna vijana wapo pale.
 
umesomea udereva wa basi la mkoa wewe unataka uendelee kuendesha bajaj..... Kinachokuuma ni kukosa mashavu uliyokuwa unabonda..., na degree yako ubaki primary KUFANYA NINI!!!!!??

As long as salary itakuwa ni ile ya mwenye degree, sina tabu. (My personal take!)
 
kwasasa kiongozi kuwa mpole, subiri mwakani then tutaona. Suala la kusoma usikate tamaa elimu hailipi siku moja kama vyenye haipatikani siku moja. Mwakani mwezi wa tano ukifika mambo yako hayajarekebishwa itabidi uniPM tujaribu kuona pale utumishi tatizo limekaaje. Kuna vijana wapo pale.

ahsante mkuu ,ntakukumbusha wakati ukifika.
 
Back
Top Bottom