Elimu yetu imeingizwa siasa ndani yake

Elimu yetu imeingizwa siasa ndani yake

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Ukiangalia matokeo ya form VI toka BRN ianzishwe yamekuwa yakipanda mwaka hadi mwaka. Mimi binafsi huwa najiuliza ni nini kinacho boost matokeo yao ikiwa walimu morali yao ya kufanya kazi iko vile vile kutokana na kudai haki zao nying tu. Pia syllabus ni zile zile, topics ni zile zile, sasa ni kitu gani kilichobadil upepo wa matokeo? Kabla ya hii BRN mtu wa PCB alikuwa akipata ccc 1.9 alikuwa na uhakika wa kusoma MD chuo chochote alichohitaji leo hii mtu huyo huyo kupata hiyo MD ni mbinde. Je ndo kusema wanafunzi wa sasa wana bidii sana kwenye masomo yao kuliko wale wa kabla ya hii BRN?

Naomba tujadili wakuu.
 
Waache tu, watatukuta kwenye interview table, tutawqambia wajieleze kwanini wanataka kufanya kazi ma sisi, na kwanini wanaishi
 
Yaani hapa ndio rahisi kuchanganua wazee na watoto ndani ya Jf kila upande utaona unatetea upande wake.
 
Ukiangalia matokeo ya form vi toka Brn ianzishwe yamekuwa yakipanda mwaka had mwaka..... Mm binafsi huwa najiuliza ni nn kinacho boost matokeo yao ikiwa walimu morali yao ya kufanya kaz iko vile vile kutokana na kudai haki zao nying tu...... Pia syllabus ni zile zile, topics ni zile zile, sasa ni kitu gan kilichobadil upepo wa matokeo?......... Kabla ya hii BRN mtu wa PCB alikuwa akipata ccc 1.9 alikuwa na uhakika wa kusoma MD chuo chochote alichohitaji leo hii mtu huyo huyo kupata hiyo MD ni mbinde je ndo kusema wanafunzi wa sssa wana bidii sana kwenye masomo yao kuliko wale wa kabla ya hii BRN? ......... Naomba tujadili wakuu.

Good observation! Ni siasa tu na ndio maana Ndalichako alikataa kuchakachua matokea ili shule za kata zionekane zimefaulu sawa na za binafsi. Wakamuondoa! Huyu wa sasa mpuuzi anasema kwa majivuno eti shule za wanainchi ziko sawa na za binafsi wakati likijua fika kuwa wamechakachua marks!
 
Nimesikiliza kipindi cha nipashe radio one jinsi walivyokuwa wanatangaza haya matokeo nikataka hata kulia. Alafu kukoleza kabisa eti wameenda kuyatangazia Zanzibar ili bubalance muungano.
Kinachonishangaza ni jinsi wote kwa umoja wetu tunavyoweza kukumbatia ujinga, sijui tumelishwa nini!
Nimekuwa nikiona 'advantages' za umoja lakini kwa mara ya kwanza naziona 'disadvantages' za umoja!
 
Ninachokiona huko mbeleni kama Hali ikiendelea hiv Kuna matabaka yatatengenezwa Kati ya wale wanaosoma shule za kata za watu maskin na zile za matajir pia tukumbuke kwwmba hao hao wanaotuletea hz sera watoto wao wanasoma nje na shule zenye Viwango,......... Kwa mbaali naona kama wanatutengenezea mazingira ya watoto wao Kuja kuendelea kututawala tu kwa uduni wa elimu yetu ya kata
 
Roho mbaya zitawaua ,ingekua viwango vya ufaulu vinashuka ungelaumu ,Leo vinapanda unalaumu !!

Je unatakaje ?
 
Roho mbaya zitawaua ,ingekua viwango vya ufaulu vinashuka ungelaumu ,Leo vinapanda unalaumu !!

Je unatakaje ?

Acha kuropoka Kuna post moja ulisena ufaulu umeongezeka kwa vile vitendea kaz ambavyo havikuwepo huko nyuma vimeongezwa....... Nikakuuliza naomba unitajie hivyo vitendea kaz hujanijibu mpaka Sasa.
 
Acha kuropoka Kuna post moja ulisena ufaulu umeongezeka kwa vile vitendea kaz ambavyo havikuwepo huko nyuma vimeongezwa....... Nikakuuliza naomba unitajie hivyo vitendea kaz hujanijibu mpaka Sasa.


Kila nikiingia kwenye iyo post naambiwa "I don't have permission to open "
Sijui umefutwa!!
Ila nyinyi mliomaliza miaka ya nyuma mna roho mbaya sana kwasababu mlizibgusha hamtaki wenzenu watusue
Badirikeni
 
Watu sasa wanakimbilia Cambridge sylabus
Hiyo BRN ya NECTA wamewaachai nyinyi
 
utakuwa ulifeligi ww thus why now u feel jealous wenzio wakipasua kama vp rudi tena xul nawe result yako ipande kama unaweza
 
Hiyo post nahisi imefutwa
Ila mkuu mbona hujibu maswal yangu hapo juu? Hakuna mtu mwenye Roho mbaya hapa.... Jadil hoja na uache ku attack watu
 
Hiyo post nahisi imefutwa
Ila mkuu mbona hujibu maswal yangu hapo juu? Hakuna mtu mwenye Roho mbaya hapa.... Jadil hoja na uache ku attack watu

Jibu mbona rahisi tu "kujituma"
Watoto wanajituma walimu kugoma sio sababu ya wao kufeli mitihani ,
Kuna tuition
Kuna usomaji Wa makundi au team work mwisho Wa siku wanavuna walichopanda kwa pamoja

Kwangu Mimi hakuna mfumo mgumu kama BRN mfano mwanzo ukipata alama 25 kwenye mtihani unakua na D ila BRN 25 sawa sawa na E ni failed endapo ukiipata hivyo basi hii hupelekea wanafunzi kujituma hata kama walimu wana migomo baridi
Ndio mana wanatusua ipasavyo
 
hiki ni kiini macho ndg zangu kwani aina ya maswali yanayoulizwa kwny mitihani pia ni vituko, hayafikirishi akili ipasavyo. Mfano mzuri tuanzie pindi mtihani wa kidato cha pili ulipofutwa, kilichofuatia ni walipofika form four hali ya matokeo ilikuwa mbaya sana.
 
Jibu mbona rahisi tu "kujituma"
Watoto wanajituma walimu kugoma sio sababu ya wao kufeli mitihani ,
Kuna tuition
Kuna usomaji Wa makundi au team work mwisho Wa siku wanavuna walichopanda kwa pamoja

Kwangu Mimi hakuna mfumo mgumu kama BRN mfano mwanzo ukipata alama 25 kwenye mtihani unakua na D ila BRN 25 sawa sawa na E ni failed endapo ukiipata hivyo basi hii hupelekea wanafunzi kujituma hata kama walimu wana migomo baridi
Ndio mana wanatusua ipasavyo

Hongera umejibu nilichokuuliza.... Kwahiyo kabla ya hii BRN wanafunz walikuwa Hawajitum, kulikuwa hakuna team work, tuition?
Na je hivyo ulivyoandka hapo juu ndo vitendea kaz vilivyoongezwa sio?
 
Hongera umejibu nilichokuuliza.... Kwahiyo kabla ya hii BRN wanafunz walikuwa Hawajitum, kulikuwa hakuna team work, tuition?
Na je hivyo ulivyoandka hapo juu ndo vitendea kaz vilivyoongezwa sio?

Hapa sijajibu kuhusu vitendea kazi mkuu ,
Inawezekana kabla ya BRN walikua hawajitumi ,walikua hawaendi Tuition kwasababu Walimu hawakua na mgomo na kwa mtazamo wangu tuition ni muhimu hata kama walimu hawapo kwenye mgomo haswa kwa shule za serikali walimu wanalipua sana
 
Hahahaha naona unaleta Utan mkuu...... Kwa taarifa yako watu walikuwa wanapiga msuli baraa hasa hiz comb za science na ndicho kilichofanya idadi kubwa wawe wanazikwepa hizo comb za science sio kama Sasa ambapo ni kimbilio la wengi ambalo nahisi ndo lengo kuu la serikal....... Kuhusu tuition zilikuwepo za kumwaga tu tena za wakali kuliko Hawa wa Sasa..... Kuna mtu alikuwa anaitwa Mkandawile,Mtiga Mchwampaka pia kuna mmoja alikuwa Makongo pale nimemsahau alikuwa a napiga biology balaa pia yupo Musa pale Mwenge na watu walikuwa Wana attend karibia zote hizo na bado huna uhakika kivile kutokana na ugumu wa masomo yenyewe
 
Aisee elimu kweli imeingiliwa. Mi naona serikali ingeingilia kati maana hawa madogo watakuja mbwela sana makazini, nchi inazidi kupotea. Wakifika chuo hawa tutawapoteza wote
 
Back
Top Bottom