Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Heheeeee!!mbna basi iaaf wamempongeza...
Jibu swali langu kwanza, no.4 ba 5 katika marathon kulingana na akili zako ai huaga baridi haiwapati kwa sababu ya wale watatu walioko mbele katika kikundi cha kwanza...

Mbna basi huaga hawashindi na wakati wenzao wanapasua upepo hku wao wakiwa nyumba km wasindikizaji katika kundi[emoji1787][emoji1787]
Swali lako nimelijibu.

Wewe kwanza unaelewa tofauti ya baridi na upepo?

Unajua Kiswahili?
 
Heheeeee!!umeanza lini kuangalia marathon jomba...
Manake naoma nimekukamata...hawa arrange watu lkn vile vile kuna wenzao wanne wako mbele yao..lkn hvo hvo wanashindwa hku wenzao wakipasua upepo[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Hakuna chama cha riadha cha kimataifa kinachoitambua hii kama world record.

Hao wa 4 na 5 huwa hawa arrange a deliberate set of people to run ahead to give them an advantage against the wind.

This is like doping. No difference.

Siwezi kuwa na jealousy na mtu ambaye si competitor wangu, mimi sinmwanariadha, sasa jealousy itaanzia wapi?
 
Kamati ya roho mbaya...naona umenichukia sana kw sababu huaga nakuchoma sindano kali kali sana
Hizo zako nazo ni sindano yaani ungejua namna ninavyo kuignore hata usinge ongea hivo😂😂😂
Nimekuuliza tu vizuri kwani huwa hauwezi kubishana kwa kuficha matusi kwa kutumia tafsida.
 
Heheeeee!!umeanza lini kuangalia marathon jomba...
Manake naoma nimekukamata...hawa arrange watu lkn vile vile kuna wenzao wanne wako mbele yao..lkn hvo hvo wanashindwa hku wenzao wakipasua upepo[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
This is not a marathon record.

There is no international body of athletics that recognizes this as a record.

It is more like doping.
 
Mmarekani wa wapi wewe na sai uko kijiweni mwananyamala unapiga domo...

Yani unafuta analysis za wanahabari..heheeeee
Mimi mwenyewe Mmarekani na sijawahi kumuita Mmarekani beberu.

Usikariri nyambafu wewe.
 
Na ndio nakuliza ni upepo gani ulizuiliwa hapa[emoji23][emoji23]
Swali lako nimelijibu.

Wewe kwanza unaelewa tofauti ya baridi na upepo?

Unajua Kiswahili?
IMG_20191012_112800.jpeg
IMG_20191012_115343.jpeg
 
Kumbe ataandika historia na sio kuvunja rekodi....na hii ni kwasababu anakimbia mwenyewe na pia uwepo wa pacemakers ambao wanaingia na kutoka. Ila all in all inatuweka vizuri wanaafrika mashariki kwenye uso wa dunia hususan kwenye michezo.
Currently yeye ndo anashikilia record ya dunia ya 42.2km alikimbia in 2hrs 2min. He's the greatest of all time.
 
What's a record? And what about breaking it? Acha kulenga story.
This is not a marathon record.

There is no international body of athletics that recognizes this as a record.

It is more like doping.
 
Kumbe ataandika historia na sio kuvunja rekodi....na hii ni kwasababu anakimbia mwenyewe na pia uwepo wa pacemakers ambao wanaingia na kutoka. Ila all in all inatuweka vizuri wanaafrika mashariki kwenye uso wa dunia hususan kwenye michezo.
Wakenya wetu hapa ukiwaambia ukweli huu wanakasirika.
 
Heheeee!!huna uwezo huo baba...
Unafikiria mm nina time ya ku argue na jamaa la vi emojis...duh!!najua huwez maliza siku bila ya ku ni quote..

Kila ninapotoa dozi lazima ikuume uni quote
Hizo zako nazo ni sindano yaani ungejua namna ninavyo kuignore hata usinge ongea hivo[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekuuliza tu vizuri kwani huwa hauwezi kubishana kwa kuficha matusi kwa kutumia tafsida.
 
Mambo ya kawaida haya

Sema mimi sikupata nafasi ya kurekodiwa tena nlkua nakimbia saa moja na nusu

Nakumbuka kuna siku nlienda tongoza toto la sheikh akafungulia mbwa

Bhana bhana 😂😂😅
 
Watu billioni mbili watakuwa macho kushuhudia. Again Kenya is on the map as usual.
Haya ni matangazo ya biashara, si rekodi ya riadha.

Ukiniambia mnataka watu wataje Kenya nitakuelewa.

Ukiniambia kavunja rekodi ya marathon notasema wewe ni sawa na mtu anayetafuta kupata mtoto kwa kupiga punyeto na ku flush manii.

Katika marathon, alichofanya Kipchoge ni punyeto.

Unalijua punyeto wewe?
 
Back
Top Bottom