Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Nani kakwambia ilikua ni marathon competition...mbna unajitoa ufahamu...

Jibu swali langu...je wale wanaokimbia nyuma ya wenzao katika kikundi cha kwama mbna huaga hawashindi marathon wakati wenzao wanapasua upepo hku waowakibaki nyuma kuvizia ?

NO HUMAN IS LIMITED
This is not a marathon record.

There is no international body of athletics that recognizes this as a record.

It is more like doping.
 
Nani kakwambia ilikua ni marathon competition...mbna unajitoa ufahamu...

Jibu swali langu...je wale wanaokimbia nyuma ya wenzao katika kikundi cha kwama mbna huaga hawashindi marathon wakati wenzao wanapasua upepo hku waowakibaki nyuma kucizia upepo?

NO HUMAN IS LIMITED
"No human is limited" is as vague as it is stupid.

Sasa kama hii si marathon, ni nini? Masturbation?
 
Ebu niambie ni upepo gani ulizuiliwa hapa.
This is a masturbation passing as a marathon.
IMG_20191012_132851.jpeg
 
True, IAAF hawaitambui ila Guineas wameitambua
Guinness (si Guineas) si chama cha mbio za riadha.

Hata wewe unaweza kunya mavi na kuchora ukutani, ukavunja rekodi ya kuchora ukutani kwa kutumia mavi, ukaingia katika Guinness records.
 
Heheeee!!huna uwezo huo baba...
Unafikiria mm nina time ya ku argue na jamaa la vi emojis...duh!!najua huwez maliza siku bila ya ku ni quote..

Kila ninapotoa dozi lazima ikuume uni quote
Bora kutumia viimoji kuliko kutukana bila sababu,
Wanaotoa dozi wakiitwa na wewe utatoka kweli,
Acha matusi au tumia tafsida kama sisi 😂😂😂
 
I see people trying to undermine kipachoge's Achievement. Only a person who doesn't run will type negativity. Distance Running is not a Joke. There is a limited time even the greatest of athletes can clock. This is an amazing achievement world record or not. And to top it all Kipchoge is still the fastest man alive as he holds the world record for a full marathon at 2hrs 2 min clocked at London marathon in April 2019.
 
Jibu swali jomba...je wale wanaokimbia nyuma wa wenzao tusemeje?
Manake kulingna na logic yako uliyoiokota CNN..waliopo mbele yake walizuia baridi..

Sasa mbna wale hukaa nyuma ya wenzao hawshindi marathon km kigezo ni baridi..
NO HUMAN IS LIMITED
"No human is limited" is as vague as it is stupid.

Sasa kama hii si marathon, ni nini? Masturbation?
 
Back
Top Bottom